Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania mnapenda sana kulaumuWatu badala ya kuilaumu serikali wanailaumu kampuni
Pia hii yako inaonesha kweli hatuna akiliUKITAKA KUJUA WAAFRIKA HAWANA AKILI TIMAMU,SOMA COMMENTS
Kwa nini wasivigawe burehapo pana utata inawezekana hata wao hawajapenda ila mazingira yalikuwa ni limited kwao! Maana ilikuwa inatakiwa kuvilisha na kuvitibu kila siku, so kuliko kubiacha vife na njaa wameona bora vichomwe tu
Hahahahaha nadhani Rais Samia atakuwa keshapata sasa ile habari yake ya kuwaonea huruma vifaranga wanaochomwa moto. Hapo wazee wa kazi wamemuonesha kuwa yeye hajui anajua na kuvichoma vile vifaranga yalikuwa maelekezo ya hao hao wanaomlinda usiku na mchana. Ni funzo aheshimu mamlaka maana urais siyo mtu ni taasisi wakitoa maelekezo yanakuwa siyo ya rais bali ni ya taasisi maana yeye anajifanya kupinga wakati watu wamo humo humo. Ila hii dunia haiachagi kuumbua binaadamu. Pole sana Rais Dkt Samia sijui hiyo kauli yake ya kuwahurumia hao vifaranga wa bebapari Kenyata ataendelea kuwalilia.Kupitia taarifa ya habari jana jumatatu saa mbili usiku azam tv imeripoti habari ya kiwanda kimoja cha kuzalisha vifaranga cha mjini Moshi kuteketeza mamia ya vifaranga kwa kuwatosa kwenye moto mkaili eti kisa tu vifaranga hao wamekosa soko!
Kweli japo kuku wanaliwa kila siku lakini kitendo kilichofanywa na uongozi wa kiwanda hicho ni cha kinyama tena kinyama mno,
Kwa kweli nimepigwa na butwaa baada ya kusikiliza habari ile na kumshuhudia mmoja wa wafanyakazi akitupia box moja baada ya jingine juu ya moto mkali huku vifaranga vikilia kwa uchungu!..aisee imeniuma mno.
Sababu za mkurugenzi:
Walivisafirisha vifaranga hivyo hadi Dar ili viuzwe kwa tsh 1000@..biashara ikawa ngumu kwa sababu ati kuna watu wengi sasa hivi wana ingiza vifaranga toka nje hivyo soko limetibuka..wakaamua washushe bei hadi tsh 900...bado hawakupata soko..wakaamua mzigo urudi kiwandani Moshi huko nako wakatangaza bei ya tsh 900 ikashindikana..uamuzi wao wa mwisho ukawa ni kuwateketeza kwa moto mkali!
Tuiombe serikali kitengo cha watu wa mifugo au kama bado ipo taasisi ya kutetea wanyama iwafuatilie wamiliki wa kiwanda hiki na ikibidi wachukuliwe hatua kali ili iwe onyo kwa wengine watakaofikiria kufanya upuuzi huu.maana mkurugenzi wao ameshasema kuwa vifaranga wengine laki nane na nusu wanatarajiwa hivi karibuni na hajui pa kuwapeleka.
Nimejiuliza kwanini basi hata huku Dar na Moshi wasivigawe kwa mtu yeyote atakayeweza kutunza?hata kama mtu angechukua 20 mwingine box 4,mwenye vifaranga 60 nk wangetangaza tu hadharani..au kuwatangazia hata majeshini,vyuoni pengine wangejaribu kuwakuza vifaranga hao wa nyama na mayai.
Nimalizie kwa kusema kitendo kile ni cha kishetani na hakina budi kulaaniwa na serikali ichukue hatua stahiki na hili lisijirudie.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Mkurugenzi hujamuona ni mzungu? Huwenda aliamrisha yeyeyani aise ngozi nyeusii ni takatakaaaaaa....yani laaan kabisaa
Kuna kanuni za biashara mkuu. Yeye kama anadaiwa kwa mfano, akikosa rejesho bank watamuambia hapana uliuza, ushahidi pekee ni kuchoma and it’s a common practice. Nyie mnaojifanya kuhurumia hamjui.Huyu mkurugenzi wa kiwanda naye dishi limeyumba yaani unahojiwa unatoa maelezo comfortable kabisa.
Kama hadi 900 hawajanunuliwa si bora mngeuza 500? Ok hata kama 500 hawakununuliwa si mngetoa bure? Kuchoma na kutoa bure ipi nzuri?
Yes, ni mambo ya kibiashara
Mi nilikuwa hadi na viatu spesho vya kuingilia mabandani ili nisiingize wadudu lakini wapi wakaugua 😢😢Nilifuga wangu wakapata ugonjwa sijui unaitwa Coccidiosis nilichanganyikiwa ...
Wanakufa kama hawana akili, nililia na nikakata tamaa ya kufuga
Sent using Jamii Forums mobile app
Gawa tu buleee kwa watu wanaokuzungukaHiko kiwanda wamefanya hivyo kupunguza hasara. Unazalisha umuuzie mfugaji let say una stock ya vifaranga 4000 unasubiri vitoke hakuna wanunuzi utafanyaje
Kama kuchoma ni faida, angegawa ingekuwa hasara?Zaidi ya vifaranga 50,000 vimechomwa moto na mwekezaji mkoani Kilimanjaro baada ya Kukosa soko
Afisa mifugo wa Wilaya bi Swai amesema Serikali ilitoa kibali cha uchomaji na kanuni zote zimefuatwa
Chadema ambao ndio chama maarufu pale Moshi hadi sasa hawajaongea chochote wala kukemea kama walivyofanya vilipochomwa vifaranga vigonjwa kutoka Kenya
Habari hii imeripotiwa Katika Taarifa ya Habari ya ITV
"However, some certified pasture-raised egg farms are taking steps to eliminate the practice entirely"It is a common practice kuuwa vifaranga, labda kwa vile sie watz sio deep thinkers kivile ndo tunarukia mambo kama haya
Mkuu CHADEMA imekuumiza sana ,katiba mpya ni sasa,halafu inaonekana CCM hawataki soko huria kama vile hawataki vyama vingiZaidi ya vifaranga 50,000 vimechomwa moto na mwekezaji mkoani Kilimanjaro baada ya Kukosa soko
Afisa mifugo wa Wilaya bi Swai amesema Serikali ilitoa kibali cha uchomaji na kanuni zote zimefuatwa
Chadema ambao ndio chama maarufu pale Moshi hadi sasa hawajaongea chochote wala kukemea kama walivyofanya vilipochomwa vifaranga vigonjwa kutoka Kenya
Habari hii imeripotiwa Katika Taarifa ya Habari ya ITV
Punguzeni ujuaji kwenye vitu msivovijua, Ni kweli saiz soko la kuku wa nyama hakuna na ubaya zaidi vyakula vya kuku vimepanda sana Kwa sababu nafaka zimepanda ndomana ata unga unaona bei ni kubwa na hiyo kupelekea wafugaji wengi kuachaHii ni sababu ya kipumbavu eti kukosa soko wasitudanganye kuna ukweli wameficha na soon mtapata majibu lazima hivyo viwanda vya nje wapigwe zakichwa hio ni kamari ndogo sana imechezwa na mtu sasa hivi anashindua kama ni kukosa soko basi na hao wa nje wangechoma ila kiwanda ni kimoja kimechoma jiongezeni mnaotetea mnaonekana wabichi sana kwenye nchi hii