Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ya Mahayawani wakenya wanaingiza kila uchafu wawezao! Anafungua bchi saizi yuko Marekani!Havijaingizwa, vimezalishiwa Moshi. Vimekosa soko baada ya vifaranga kutoka nje kuruhusiwa kuingia na hivyo vya ndani kukosa soko.
Inakuwaje vya nje vipate soko halafu vya ndani vikose mpaka ifikie hatua ya kuchoma?Havijaingizwa, vimezalishiwa Moshi. Vimekosa soko baada ya vifaranga kutoka nje kuruhusiwa kuingia na hivyo vya ndani kukosa soko.
Huyu inabidi afilisikeHuu ni upumbavu kabisa!! Si wangevigawa tu bure kwani watu wasingechukua?
Ni roho mbaya ya ubinafsi tu hiyo!! Kwa nini wasingeuza bei shindani ya soko!!
Yaani mwenye kiwanda sijui mhindi huyo sijui mzungu ana roho mbaya sana!!
Sababu mbalimbali, aidha ni ubora ama bei nakadhalika nakadhalika..Inakuwaje vya nje vipate soko halafu vya ndani vikose mpaka ifikie hatua ya kuchoma?
Ukisikiliza mazungumzo ya hao wahusika wa hio kampuni KIBO POULTRYSababu mbalimbali, aidha ni ubora ama bei nakadhalika nakadhalika..
Kwa kweli undani wa jambo hili sijaufahamu vizuri, inawezekana kuna sababu hazijawekwa wazi.Ukisikiliza mazungumzo ya hao wahusika wa hio kampuni KIBO POULTRY
Ni kuwa uzalishaji wa vifaranga ni mzuri unaridhisha na walipata hamasa kutoka kwa serikali, Na ni baada ya serikali kusitisha utoaji wa vibali vya kuagiza vifaranga nje ya nchi ambapo mwisho ilikua ni tarehe 30/7 ili kuwapa nguvu wazalishaji wa ndani. Sasa hivi vifaranga awamu wa hii vinatoka wapi ? Na kama Ni waagizaji vibali wamepata wapi ?
RAIS WETU SAMIA HUWEZI KURUHUSU UCHOMAJI HUU WA VIUMBE HAI, WIZARA YA KILIMO NA MIFUGO IHOJIWE JUU YA HILI, NAAMINI HAYA NI MAAMUZI HOLELA, YA KIUTENDAJI, HUU NI UCHONGANISHI, NA SI SAWA NA SI HAKI KWA VIUMBE HAWA, KWANINI BAADA YA KUKAMATWA VISINGERUDISHWA VILIKOTOKEA?, POLITICAL WAR.Huyu Samia ni muuaji mkubwa.Nchi ameifungulia kiholela na kusababisha wafugaji kukosa soko na kupelekea kuteketeza mifugo yao
Hata mie sijaelewa,nilikuwa nataka kuagiza vifaranga toka Iringa kuja hapa nilipo nikaambiwa kifanga kimoja ni 2500 na usafiri ni juu yangu.Nilikuwa ndo natafuta pesa hapa niagize.Hivi Tanzania [emoji1241] hakuna mashirika ya kutetea haki za wanyama? Mara huyu kachoma vifaranga, mara yule kavitupa mtoni. Jamani si mngenipa mimi kwa bei nzuri?
Mkuu ukiangalia njia za kuvigawa bure zilikuwa nyingi sana, ni kama vile waliingiwa na choyo tu kuzifuata na ndiyo maana nasema sasa si bora wangewalisha samaki tu kuliko kuviua kwa kuvichoma motoHivi Tanzania [emoji1241] hakuna mashirika ya kutetea haki za wanyama? Mara huyu kachoma vifaranga, mara yule kavitupa mtoni. Jamani si mngenipa mimi kwa bei nzuri?