Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Kilichosababisha soko la kuku kuanguka ni sera mbovu za rais wenu Samia za kufungua nchi!
Eti kufungua nchi,
Watu wameuza mazao yote nje ya nchi wakati soko letu la ndani lilikuwa bado halijitoshelezi.
Kilichotokea sasa ni vyakula vya kuku kupanda bei na wafugaji wameacha kufuga maana hawaoni faida ya kufuga.
Mwezi uliopita Samia akiwa arusha eti anawambia watu kwamba kipindi kile vifaranga vimechomwa haikuwa sawa kama vile yeye hakuwa makamu wa rais.
Tumwache aendelee kufungulia nchi huku wakenya wakijaza mavifaranga yao na huku wa ndani wakikosa soko.
Atajifunza akiwa amechelewa sana.
Eti kufungua nchi,
Watu wameuza mazao yote nje ya nchi wakati soko letu la ndani lilikuwa bado halijitoshelezi.
Kilichotokea sasa ni vyakula vya kuku kupanda bei na wafugaji wameacha kufuga maana hawaoni faida ya kufuga.
Mwezi uliopita Samia akiwa arusha eti anawambia watu kwamba kipindi kile vifaranga vimechomwa haikuwa sawa kama vile yeye hakuwa makamu wa rais.
Tumwache aendelee kufungulia nchi huku wakenya wakijaza mavifaranga yao na huku wa ndani wakikosa soko.
Atajifunza akiwa amechelewa sana.