Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Inasikitisha sana. Kuna mtu alisema haya mauaji ya viumbe hai sio bure ni makafaraHata mie sijaelewa,nilikuwa nataka kuagiza vifaranga toka Iringa kuja hapa nilipo nikaambiwa kifanga kimoja ni 2500 na usafiri ni juu yangu.Nilikuwa ndo natafuta pesa hapa niagize.Du ningejua kn vya bei nafuu hapo Moshi ningechangamkia fursa make moshi na hapa nilipo ni karibu.Je walitangaza wapi mpk watanzania tushindwe hiyo bei wakaona soln ni kuchoma?Sijapenda,nashauri serikali iwachukulie hatua kwa ukatili dhid ya hao ndege