EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Naona kila ninapokuelekeza unakuja na majibu ya KEBEHI na nshakuele several times kwamba mi sio msemaji wala mwajiriwa wa Tume, natumia uzoefu wa kuchambua rufaa kwa 5+ years kabla ya kuondoka kuelezea process zilivyo.Mbona matusi ndugu kuwa mstaarabu. Tujadili kwa hoja na sio matusi au hasira, wewe kila mtu hapa unamtukana kwa nini uko hivyo?
Mkuu kama simu kupokea ni shida ndio barua hahahahahahahahNaona kila ninapokuelekeza unakuja na majibu ya KEBEHI na nshakuele several times kwamba mi sio msemaji wala mwajiriwa wa Tume, natumia uzoefu wa kuchambua rufaa kwa 5+ years kabla ya kuondoka kuelezea process zilivyo.
Kuna watu wanauliza swali ili kueleweshwa na wengine wanaamua kubishana (kama wewe)
Nadhani unajua vema ofisi zilipo.
Kama una kitu unataka kuwelewa niulize. Kama una malalamiko
Ntakupa physical address na postal pia
NIAMINI MIMI ANDIKA BARA UONE KAMA NDANI YA 14DAYS HUTAJIBIWA.Mkuu kama simu kupokea ni shida ndio barua hahahahahahahah
Mkuu Taasisi nyingi za serikali zimeoutomate shughuli zao nyingi sana mfano wizara ya fedha, Tamisemi wanatumia mifumo iliyoandaliwa na wataalamu kutoka eGA kwahiyo ni muhimu kwa Tume kuwatumia ili kuautomate shughuli zao ili kupunguza paperworkHilo hata kama sifanyi kazi pale tena ila naona HALIWEZEKANI.
GOVERNMENT WORKS ON PAPER.
KUHUSU BARUA KUCHELEWA KUMFIKIA MRUFANI HATA BAADA YA KIKAO IPO HIVI:-
NAKALA ZA RUFAA ZINAENDA OFISI KAMA 6
1.MRUFANI
2 MAMLAKA YA NIDHAMU
3. RAIS/IKULU
4 UTUMISHU
5. TAMISEMI
6. RAS
HIZI ZOTE ZINATAKIWA KUSAINIWA ORIGINAL NA PIA LAZIMA ASAINI MTENDAJI MKUU PEKE YAKE.
IMAGINE KIKAO KIMEAMUA RUFAA 100 NA KILA RUFAA MTU MMOJA ASAINI NAKALA 6 MAANA YAKE ATASAINI BARUA 600 BAADA YA KUHAKIKI MAUDHUI YAKE KAMA YAPO KAMA YALIVYOAMULIWA (KUJIRIDHISHA)
KUMBUKA HAPO BADO ANA DAY TO DAY ACTIVITIES
VUTA SUBIRA HAKI YAKO INAKUJA TU
NIAMINI MIMI ANDIKA BARA UONE KAMA NDANI YA 14DAYS HUTAJIBIWA.
Shida ya simu inaenda direct kwa PS wa bosi na mbaya zaidi pale kivukoni wapo kwa muda saivi nimeambiwa wanajiandaa kwenda Dodoma. so extension foni hazikuunganishwa jambo lilipelekea PS kupokea simu nyingi na kulazimika kwenda kwa muhusika (ambaye huwezi kuambiwa jina lake wala kupewa namba yake). Sa imagine atatembea ofisi ngapi kupeleka simu?? (HUO NDIO UKWELI JAPO HAUPENDEZI)
Huu ushauri mimi haunihusu mkuu nadhani nshajieeleza huko juu, was just helpingMkuu Taasisi nyingi za serikali zimeoutomate shughuli zao nyingi sana mfano wizara ya fedha, Tamisemi wanatumia mifumo iliyoandaliwa na wataalamu kutoka eGA kwahiyo ni muhimu kwa Tume kuwatumia ili kuautomate shughuli zao ili kupunguza paperwork
Mimi nimefuatilia rufaa ya ndugu yangu tokea mwaka juzi mpaka yeye mwenyewe anaona sifuatilii kwasababu majibu ninayoyapata yanafanana kila siku wasipobadilika ninauhakika malalamiko hayataishaNIAMINI MIMI ANDIKA BARA UONE KAMA NDANI YA 14DAYS HUTAJIBIWA.
Shida ya simu inaenda direct kwa PS wa bosi na mbaya zaidi pale kivukoni wapo kwa muda saivi nimeambiwa wanajiandaa kwenda Dodoma. so extension foni hazikuunganishwa jambo lilipelekea PS kupokea simu nyingi na kulazimika kwenda kwa muhusika (ambaye huwezi kuambiwa jina lake wala kupewa namba yake). Sa imagine atatembea ofisi ngapi kupeleka simu?? (HUO NDIO UKWELI JAPO HAUPENDEZI)
Sijui unaongea kufurahisha jukwaa hili. Una uhakika na hili kweli wewe? Eti sio kila mrufani akichelewa kupeleka rufaa yake inatupiliwa mbali? Je TUME inafanya hivyo? Je TUME inaangalia sababu ya mrufani kuchelewa? Je huwa TUME inaangalia kama mamlaka ya nidhamu imemuelekeza mtumishi akate rufaa wapi? Hayo unayoeleza humu yangekuwa yanatekelezwa na TUME malalamiko kwayo yangepungua sana.Sio lazima mrufani akichelewa kupeleka rufaa yake inatupiliwa mbali soma Reg.61(4). Mamlaka ya Nidhamu sio kila mara wanachelewa kuleta vielelezo. Ukisoma ufafanuzi wa Kaim Katibu amesema "FIRST IN FIRST OUT"
Pia kumbuka vikao vya TUME vinakaa kila robo mwaka kisheria maana yake baada ya miezi3. kwa mfano rufaa imemalizika kuchambuliwa leo na kikao kimeisha jana, itasubiri next kikao. Kulikuwa na mrundikano mwingi wa kesi lilipoisha zoezi la uhakiki wa vyeti.
hapa ndio tunatofautiana, mbona mgumu wa kuelewa, una uhakika kesi yako sito ya CHETI FEKI WEWE.mnahamia dodoma
Wewe ni rahisi kuwasiliana nao waje wasome hoja za wadau hapaHuu ushauri mimi haunihusu mkuu nadhani nshajieeleza huko juu, was just helpings
Msemaji wa TUME katika ubora wake wa majibu wa wateja wake.Lingekuwa rahisi Ungekuwa kazini saivi pimbi wewe.
Ufukuzwe kazi kwa upumbavu wako halafu ufundishe kazi waliopo kazini pathetic!!
Nakuelekeza kwa adabu ila unaonekana kichwa maji.
Print uzi huu ukakabidhi pale geti la ikulu au peleka platforms zingine liende viral [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Hiki ni kigezo cha msingi sana mtu anapopeleka rufaa yake tume HATA IKIWA NJE YA MUDA.e huwa TUME inaangalia kama mamlaka ya nidhamu imemuelekeza mtumishi akate rufaa wapi?
Walisoma ndio maana walitoa ufafanuzi, na mimi nikauweka hapa soma reply yangu ya kwanza kwenye huu uzi post #11Wewe ni rahisi kuwasiliana nao waje wasome hoja za wadau hapa
Nenda kaniripoti Tume kama mimi msemaji waoMsemaji wa TUME katika ubora wake wa majibu wa wateja wake.
Msemaji wa TUME katika ubora wake wa majibu wa wateja wake.
Wewe ni rahisi kuwasiliana nao waje wasome hoja za wadau hapa
NAOMBA NIWAACHE NIENDELEE NA KUFURAHIA MAJUKWAA MENGINE.Sasa huo ni utendaji gani Tume haioni aibu ofisi kubwa kama hiyo simu moja tuu? Hao tume wapo hapo kwa zaidi ya miaka 3 simu anapokea mtu mmoja tuu??? ambae anajibu vibaya no customer service mara hapokei simu, mara anakukatia simu kabda hujamaliza ongea mara anaongea kwa speed bila kukusikiliza! hao maboss hapo na makamishna hawalioni hilo? utetezi eti mnahamia dodoma hiyo ndio sababu ya kuwa na huduma mbaya ya simu? na huduma mbaya kwa wateja?
NAOMBA NIWAACHE NIENDELEE NA KUFURAHIA MAJUKWAA MENGINE.
KILA LA HERI WAKUU.
BEST SOLUTION ANDIKENI BARUA KWA KATIBU MKUU UTUMISHI NAKALA IKULU KWA KUSPEED UP ISHU ZENU AU ANDIKE MAKALA GAZETINI BILA KUWEKA MAJINA YENU.
UJUMBE UTAFIKA MAPEMA ZAIDI
Wamekaa tu kama robot kazi kusumbua watu. Hawana ubunifu.HII tume kiukweli ni Disaster kwa watumishi wa Umma kuna jamaa namfahamu mpaka amekufa hakuna alichosaidiwa na hao vilaza, Nimeona wamejitia Kujibu kwa mihemko kwa Kuandika Press Release, Ni ukweli mtupu wanaopeleke Malalamiko ni wengi lakini hayashughulikiwi kwa wakati , inawezekanaje mtu ana madai yake yanazidi miaka miwili hadi mitatu hakuna anachojibiwa hakuna anachosaidiwa, watu wanawafuata fuata mpaka soli za viatu zinakwisha, hawatoi majibu hawapokei simu, hawana majibu mazuri kwa watumishi ambao ndio wanawafanya wawepo mjini, Wakati umefika hivi vitume vya dizaini hii vifutwe ili kama watu wana mambo yao wayapeleka MAHAKAMANI na si vinginevyo.
Yaani wanalundika mashauri ya watu, hawashughulikii ukiuliza unaambiwa wanasubiri fedha , yaani kukaa vikao vya kuamua na kusaidia hatma ye wenzenu ni mpaka Mlipwe POSHO enzi za mwendazake ndio kabisaaaa hawa mchwa wala posho walikua ndio hawana kazi kabisaaaa, maana jamaa alikua anaajiri yeye anafukuza yeye anaamua yeye keshi na wao wapo tu, mavyeo makuubwa utasikia sijui Katibu, Sijui Naibu Katibu Sijui takataka gani ,na wooote wanaenda kazini na kurudi kila siku, wanachofanya hakuna.
Kuna jamaa wengi wameomba sauti ipazwe kwenye mitanmdao yote ili haki zao zipatikane ni hivi watumishi wa Tanzania njaa kali hata haki zao wanalazimika wakati mwingine kuzinunua , ingekua huku kwa wenzetu maujinga haya yasingekuwepo kabisa, Kimsingi kwa TANZANIA Utumishi wa Umma ni Utumwa na ni Balaa.
Ushawahi kuhudhuria kikao ikaona items ngapi zinaingia per kikao, Tume inakaa 14 ipitie taarifa mbalimbali na rufaa 150+ unasema chache.Ni simple hivyo sasa wao kila kikao wanaleta rufaa chache mno.
hii ilishafanywa na KAMATI YA UCHUNGUZIkila rufaa ingeangalia vitu viwili vya msingi 1. je mfanyakazi alifukuzwa kazi kwa sababu za msingi na za kweli (fair reasons) 2. Je utaratibu ulifuatwa. Kimojawapo kikikosekana au vyote vikikosekana basi ushindi ni wa mrufani. kama vyote vipo basi mamlaka ya nidhamu ipo sasa.
Mrufani anachelewaje kupeleka rufaa Tume wakati ana siku 45?Hawafanyi maamuzi by circular resolution kwa rufaa ambazo ni simple mfano mrufani kuchelewa sana kupeleka rufaa tume nk.
USICHANGANYE OFISI WE MTU. TUME HAIHUSIKI NA HIKI ULICHOANDIKA NAONA UNATAFUTA HURUMAIngefaa kuwe na utaratibu tofauti kwa wale mumewapa ajira kujitolea ili waweze kupewa ajira za kudumu.
Ushawahi kuhudhuria kikao ikaona items ngapi zinaingia per kikao, Tume inakaa 14 ipitie taarifa mbalimbali na rufaa 150+ unasema chache.
Kuna rufaa inahoja 30+ Taarifa ya kamati kubwa kama Biblia hapo hujapitia majobu ya hoja, Standing Oder09, P.S Regulation2003, hujapitia Regs za Taasisi husika.
NI RAHISI SANA KUSEMA RUFAA NI SIMPLE
hii ilishafanywa na KAMATI YA UCHUNGUZI
Mrufani anachelewaje kupeleka rufaa Tume wakati ana siku 45?