Utendaji Mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma; Rais Samia tupia jicho lako hapo

Utendaji Mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma; Rais Samia tupia jicho lako hapo

Huyu Msemaji wao humu anasema rufaa nyingi ziliongezeka baada ya wale wenye vyeti feki kutimuliwa kwahiyo nina imani kwa sasa hivi idadi ya wanaokata rufaa itakuwa imepungua sana
Ni muongo, maana wale wengi hawakupewa barua za kufukuzwa kazi, waliondolewa tu kienyeji, hivyo hakuna rufaa maana hakuna barua ya rufaa ambayo ni nyaraka ya lazima kwenye kukata rufaa. Wale walikuwa wanatakiwa kufungua kesi CMA kwa uvunjwaji wa mkataba na constructive termination lakini sio Rufaa CMA. Sema tume ya utumishi wa umma ndio ikabaka kazi zisizo zake kisheria na ndio story kama jamaa anavyoeleza hapo.
 
Acha hizo wewe mahakama zinaangalia vielelezo kibao na kusikiliza mashahidi wengi tuuu lakini speed kubwa.
wanaangalia na kusikiliza. Tume WANASOMA TU
Mbona CMA speed ya kesi ni nzuri?
CMA ina ofisi ngapi? Tume ipo moja tu TZ nzima
1. Fair reasons 2. Fair Procedure. Kwa nini wanahangaika na mambo mengine? Public Service Act na Standing orders ndio zimeweka mambo haya bayana hivyo vingine wanavitoa wapi. Matokeo yake ni kutoa maamuzi ya ndivyo sivyo.
Mbona unaongea kana kwamba ushapata uamuzi wako. HAHAHAHAHAA we mtu aisee
 
Wale walikuwa wanatakiwa kufungua kesi CMA kwa uvunjwaji wa mkataba na constructive termination lakini sio Rufaa CMA.
Waulize wafanyakazi kama 100+ wa BANDARI walioenda CMA nini kimewapata. ACHENI U-BUSH LAWYER wa mtaani. Waulize maana kesi zao nimesikia ziliamuliwa mwaka huu mwanzoni. Halafu uje hapa na CMA YAKO. Unatafuta umaarufu wa kijinga sana kila kuwa na ufahamu mpana wa mambo
 
CMA cases zinaenda speed sana
Waulize wafanyakazi kama 100+ wa BANDARI walioenda CMA nini kimewapata. ACHENI U-BUSH LAWYER wa mtaani. Waulize maana kesi zao nimesikia ziliamuliwa mwaka huu mwanzoni. Halafu uje hapa na CMA YAKO. Unatafuta umaarufu wa kijinga sana kila kuwa na ufahamu mpana wa mambo
 
Ni muongo, maana wale wengi hawakupewa barua za kufukuzwa kazi, waliondolewa tu kienyeji, hivyo hakuna rufaa maana hakuna barua ya rufaa ambayo ni nyaraka ya lazima kwenye kukata rufaa.
Hawa walioondolewa Tume huwarudisha kazini ili mashauri yakaanze upya kwa mujibu wa waraka wa Utumishi wa mwaka 2018,2019 na 2021
 
Mkuu e-goverment 90% ya Serikali na ASASI zake bado hawajaingia, anyway ni wazo zuri kama ukilifikisha kwa wahusika.

Email kila mtumishi anayo ila tatizo hairuhusiwi kwa namna yoyote MCHAMBUZI KUWASILIANA NA MRUFANI DIRECT.

EMAIL YA KATIBU ANAFUNGUA PS WAKE unadhani atajibu ngapi TZ nzima? tuongee reality.

Barua IM SURE UKIANDIKA LAZIMA UJIBIWE
Atajibu zote, hiyo ni ofisi. Anayeandikiwa barua ni KM na sio PS wake. Kuwa ba PS mmoja tu ambaye anasoma na kujibu mwenyewe (hata asivyo na majibu navyo) huo ni uzembe wa mwenye ofisi, KM makini atagiza email ziprintiwe na zijibiwe na wasaidizi wake. PS kazi yake iwe kusort tu email za kumhusu KM direct na za kuhusu taasisi na rufaa
 
Atajibu zote, hiyo ni ofisi. Anayeandikiwa barua ni KM na sio PS wake. Kuwa ba PS mmoja tu ambaye anasoma na kujibu mwenyewe (hata asivyo na majibu navyo) huo ni uzembe wa mwenye ofisi, KM makini atagiza email ziprintiwe na zijibiwe na wasaidizi wake. PS kazi yake iwe kusort tu email za kumhusu KM direct na za kuhusu taasisi na rufaa
Acha uvivu andika barua
 
Hawa walioondolewa Tume huwarudisha kazini ili mashauri yakaanze upya kwa mujibu wa waraka wa Utumishi wa mwaka 2018,2019 na 2021
Usidanganye umma mkuu, Tume haina mamlaka hayo. Mambo ya ajira, kuajirwa na kuhitimisha ni mambo yanayofanyika kwa mujibu wa sheria na sio kwa mazoea. Hakuna mtumishi aliyerudishwa kazini na TUME sababu kunakuwa hakuna maamuzi ya kumfukuza kazi wala hakuna shauri lililofanyika.
 
Acha uvivu andika barua
Waulize wafanyakazi kama 100+ wa BANDARI walioenda CMA nini kimewapata. ACHENI U-BUSH LAWYER wa mtaani. Waulize maana kesi zao nimesikia ziliamuliwa mwaka huu mwanzoni. Halafu uje hapa na CMA YAKO. Unatafuta umaarufu wa kijinga sana kila kuwa na ufahamu mpana wa mambo
Endelea kusikia na luwaza kuwa ninatafuta umaarufu. Kuna kesi ipo Mahakama ya Rufaa ndio itatoa uamuzi kuhusu exhaustion ya local remedies, itawaelekeza wafanyakazi wa tume na wengine kama wewe namna sahihi ya kusoma na kutafsiri sheria. Kesi ipo hapa Tanzania Posts Corporation vs Jeremiah Mwandi (Civil Appeal No.474 of 2020) [2021] TZCA 311; (16 July 2021) | Tanzania Legal Information Institute
 
Usidanganye umma mkuu, Tume haina mamlaka hayo. Mambo ya ajira, kuajirwa na kuhitimisha ni mambo yanayofanyika kwa mujibu wa sheria na sio kwa mazoea. Hakuna mtumishi aliyerudishwa kazini na TUME sababu kunakuwa hakuna maamuzi ya kumfukuza kazi wala hakuna shauri lililofanyika.
Mjinga mkubwa.wewe nachati na punguani kiasi hiki

Huna unalolijua nyamaza

Mijitu inalalama kumbe ngumbaru tu. Nadhani tuishie hapa
 
Endelea kusikia na luwaza kuwa ninatafuta umaarufu. Kuna kesi ipo Mahakama ya Rufaa ndio itatoa uamuzi kuhusu exhaustion ya local remedies, itawaelekeza wafanyakazi wa tume na wengine kama wewe namna sahihi ya kusoma na kutafsiri sheria. Kesi ipo hapa Tanzania Posts Corporation vs Jeremiah Mwandi (Civil Appeal No.474 of 2020) [2021] TZCA 311; (16 July 2021) | Tanzania Legal Information Institute
We kashughulike na mahakama Tume wana njia zao za utendaji na sheria kila siku inarekebishwa kukidhi matakwa na wakati

Hizo tafsiri za sheria zikija wataelekezwa na kazi itaendelea
 
We kashughulike na mahakama Tume wana njia zao za utendaji na sheria kila siku inarekebishwa kukidhi matakwa na wakati

Hizo tafsiri za sheria zikija wataelekezwa na kazi itaendelea
Ni kweli, wao tume ni untouchable na ndio maana watu wanalalamika, sababu hawana cha kuwafanya tume. Lakini u-untouchable wao hauzuii watu kutumia haki yao ya kutoa maoni (malalamiko) yakiwa ni sehemu ya maoni.

Tume wanafanya kazi pasipo kufuata sheria inayowaongoza, lakini hawagusiki. Watu hawaombi tume iwafeve ila wanaitaka tume ibadilike, ifuate sheria na sio utaratibu iliojiwekea ambao haupo kisheria.
 
Ni kweli, wao tume ni untouchable na ndio maana watu wanalalamika, sababu hawana cha kuwafanya tume. Lakini u-untouchable wao hauzuii watu kutumia haki yao ya kutoa maoni (malalamiko) yakiwa ni sehemu ya maoni.

Tume wanafanya kazi pasipo kufuata sheria inayowaongoza, lakini hawagusiki. Watu hawaombi tume iwafeve ila wanaitaka tume ibadilike, ifuate sheria na sio utaratibu iliojiwekea ambao haupo kisheria.
Kumbe ufahamu wako ni mdogo sana, umesema walioodolewa Tume haiwezi kuwarudisha kazini ili mashauri yao yaanze upya?? kwaio tume inawafanyaje?? Umesoma Nyaraka zinazohusu namna ya kushughulikiwa watumisho WALIOONDOLEWA kwenye PAYROLL bila kuchukuliwa hatua za kinidhamu?? PROBABLY hata huzijui unanichosha tu. Hujui hata Mamlaka ya Tume.

We subiri rufaa yako na nshapata picha rufaa yako ni ya CHETI. Kama ulishindwa kuthibitisha MWAJIRI, BARAZA, KAMATI YA UCHUNGUZI. TUME ITAKUSAIDIA KUELEWA
 
Mjinga mkubwa.wewe nachati na punguani kiasi hiki

Huna unalolijua nyamaza

Mijitu inalalama kumbe ngumbaru tu. Nadhani tuishie hapa
Nachokueleza ndicho sahihi, kusema au kuniona mimi ni mjinga ni haki yako kikatiba, siinyang'anyi.

Ila ukweli ni kwamba hao vyeti feki na darasa la saba hawakupewa barua za kufukuzwa kazi na ndicho kilichosababisha washindwe kuchukua michango yao kwenye mifuko ya hifadhi za jamii maana hawakuonekana kama wamefukuzwa kazi. Kilichotokea kilizalisha mgogoro wa ajira ambao ungepaswa kusuluhishwa CMA na sio tume, maana tume zinaenda rufaa tu na sio migogoro mibichi. Mtu anaona mshahara haujaingia, hawezi kuwa amefukuzwa kazi, ila mkataba umevunjwa (breach of contract) na anatengenezewa mazingira ya yeye kuacha kazi (constructive termination).
 
Hoja 30 za nini hoja ni 2 tuu as per Public service act, msijikite kwenye hoja zingine za nini?
Ushawahi kuhudhuria kikao ikaona items ngapi zinaingia per kikao, Tume inakaa 14 ipitie taarifa mbalimbali na rufaa 150+ unasema chache.

Kuna rufaa inahoja 30+ Taarifa ya kamati kubwa kama Biblia hapo hujapitia majobu ya hoja, Standing Oder09, P.S Regulation2003, hujapitia Regs za Taasisi husika.

NI RAHISI SANA KUSEMA RUFAA NI SIMPLE

hii ilishafanywa na KAMATI YA UCHUNGUZI

Mrufani anachelewaje kupeleka rufaa Tume wakati ana siku 45?
 
Back
Top Bottom