Utendaji Mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma; Rais Samia tupia jicho lako hapo

Utendaji Mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma; Rais Samia tupia jicho lako hapo

Ndugu Mathew iangalie sana kwa makini team iliyokuwa imemzunguka Muhoji, wasije wakakupeleka chaka, hawafai walikuwa wanafanya kazi kwa mazoea bila kufuata Sheria, Taratibu na Kanuni!

Nakumbuka kuna Senior Officer wa Tume alijitetea humu JF kwamba sometimes wanashindwa kufuata Kanuni za Utumishi wa Umma kwasababu manpower ni ndogo!!😆😆😆
Mkuu kuna jamaa yangu alifukuzwa kazi kwa hila na mwajiri akamwambia hata akikata rufaa tume ni kazi bure kwasababu tume na waajiri ni kitu kimoja kwahiyo anajisumbua bure tuu
 
Mheshimiwa Rais wetu ni msikivu amekusikia na leo amemteua Bwana Kirama kuwa Katibu Mtendaji mpya wa Time ya Utumishi wa Umma. Mama anaongeza kwa kalamu na hapigi kelele kama Debe tupu
Mkuu aliyekuwepo mwanzo kastaafu na wala sio kamsikiliza mleta hoja
 
Kwa nini hajampa huyo John Mbisso aliyekuwa akikaimu? Aliona watu walivyomlalamikia hapa mana yeye ndie mkuu wa kitengo cha rufaa kinachopigiwa kilele.
Huyo John Mbisso ilitakiwa afukuzwe kazi bila kufuata taratibu ili akate rufaa na kujionea wanayofanyiwa wengine.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] vilaza??

We pimbi umefukuzwa kwa cheti feki ni "msomi"

Pambana na hali yako halafu Jaji wa mahakama ya rufaa ameamua kesi ngapi?? Ashindwe kashauri kako ka cheti au wizi au utoro?[emoji23][emoji23][emoji23]
Jaji pia anataka pesa aka rushwa, akipewa maburungutu ya fweza hawezi kukataa atapindisha ukweli ili yy na familia yake waneemeke nao ni binadamu,

Ufanisi wa kazi yake hauamuliwi na kesi ngapi alizokwishazifanyia uamuzi bali ni uadilifu na kutenda haki.
 
Sio kweli ukishindwa TUME unakata RUFAA kwa RAIS ukiona umeonewa unakata rufaa MAHAKAMA KUU.

wote wakuonee kwa lipi hasa ulilonalo?

Kama hufahamu UTARATIBU uliza na so kulalama
Mahakama kuu haukati rufaa, unaomba marejeo ya uamuzi kama ulizingatia haki, sheria, kanuni na taratibu, aka judicial review.

Huku napo sio kwa kitoto unakutana na mawakili wakuda wa serikali kwanza utawekewa mapingamizi hata yasiyo na msingi (p.o) mpaka upate kibali utakuwa umesota si chini ya miaka miwili mpaka 3.

Baada ya hapo ndio kesi ya msingi isikilizwe uombe napo umkute jaji asiye mccm anaeongozwa na hofu ya mungu hapo utashinda vinginevyo ni ngumu kupindua uamuzi wa Rais,

Labda mahakama ya rufaa ndio unaweza kutoboa kwa kuwa wale hawana uoga sn juu ya uamuzi ambao ulitolewa na Rais kama nao ulikuwa ni wa uonevu
 
Mahakama kuu haukati rufaa, unaomba marejeo ya uamuzi kama ulizingatia haki, sheria, kanuni na taratibu, aka judicial review.

Huku napo sio kwa kitoto unakutana na mawakili wakuda wa serikali kwanza utawekewa mapingamizi hata yasiyo na msingi (p.o) mpaka upate kibali utakuwa umesota si chini ya miaka miwili mpaka 3.

Baada ya hapo ndio kesi ya msingi isikilizwe uombe napo umkute jaji asiye mccm anaeongozwa na hofu ya mungu hapo utashinda vinginevyo ni ngumu kupindua uamuzi wa Rais,

Labda mahakama ya rufaa ndio unaweza kutoboa kwa kuwa wale hawana uoga sn juu ya uamuzi ambao ulitolewa na Rais kama nao ulikuwa ni wa uonevu
Ndio unapambania haki yako
 
Huo ndio ukweli.

nakuangalia unadai "OOOH ETI SIJAAJIRIWA!!"

Unalalama nini kama hujaajiriwa??
Sema ukweli kwa aliajiriwa ila kwa UPUUZI wako
watu wakala kichwa next time omba ushauri
Kama shauri lako nimechukua muda jua hakuna hujuma zozote dhidi yako

na kwa taarifa yako HAKUNA mtu anaweza kuingilia shauri la mtumishi hata awe katibu mkuu.

Huwezi kuishawishi Tume kutoa uamuzi kwa manufaa yako.

Soma Sheria ya Tume ya Utimshi wa Umma Kifungu cha 19
nimekuwekea hapa chini.

Mamlaka yako ya Nidhamu HAIWEZI KUSHIRIANA NA Tume kukuhujumu

View attachment 1894396
Hayo ni maandishi tu lkn utekelezaji ni kitu kingine hata polisi wamewekewa pgo lkn hawazifuati
 
Mwajiri akuonee
Tume ikuonee
Rais akuonee

we umekuwa nani???
Inawezekana na afteral huyo Rais unayemtaja sidhani kama anaomuda wa kupitia rufaa za watumishi isipokuwa watumishi ambao wapo chini yake wanaoshughulikia rufaa za watumishi, ambao in one way or another wana connection na watumishi wa Tume ,

Kwa hiyo shauri lako kupita dry ktk mikono hiyo ni mkubwa
 
Kumekuwa na malalamiko mengi sana kutoka kwa wananchi kuhusu utendaji mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma ikiongozwa na ndugu Muhoji aliyezungukwa na wasaidizi vilaza wavivu kutumia akili katika kushughulikia rufaa za watumishi wa umma walioonewa na waajiri enzi zile!

Kumekuwa na biasness kubwa sana katika kushughulikia rufaa za watumishi wa umma pale Tume.

1. Tume imekuwa ikishirikiana na waajiri katika kuhujumu haki za watumishi.

2. Rufaa zimekuwa zinakaa kwa muda mrefu bila kuzitolea maamuzi. Ningefurahi sana kujua kama kuna kipengele chochote kinachoibana Tume kuhusu muda.

3. Maafisa wa Tume hawako makini katika uchambuzi wa rufaa za watumishi.

4. Maafisa wa Tume wamekosa customer service or care kwenye kazi zao na hivyo kupelekea wwtumishi wanaokwenda kuulizia rufaa kuwafanya kama maadui, they are so defensive and protective.

5. Wamekuwa wakipewa rushwa na waajiri ili watumishi wakandamizwe ktk kudai haki zao kwasababu waajiri wengi wamekuwa wakiwabambikkiza makosa watumishi wao.

Hivyo basi, tunaomba Mh. Rais Samia tupia jicho lako kwenye hiyo Tume, wanafanya kazi kwa mazoea na kuminya haki za watumishi.
waziri mwenyewe anatoa kauli tu maafisa utumishi wanazipuuza hata kupandishwa madaraka imekuwa kizungumkuti.malimbikizo ya watumishi mpaka leo hakuna kitu.hii nchi imestuck somewhere labda tusubiri sokoine mwingine.
 
Ukishamalizana na Tume na Raisi unaenda CMA sio HC usipotoshe watu Hujui sheria wewe hapo Tume unafanyaje kazi kwa ufahamu huo?
CMA is a wrong place to go after President decision, the right place is HC, amigo

CMA hawana jurisdiction ya kujadili uamuzi wa Rais
 
Inawezekana na afteral huyo Rais unayemtaja sidhani kama anaomuda wa kupitia rufaa za watumishi isipokuwa watumishi ambao wapo chini yake wanaoshughulikia rufaa za watumishi, ambao in one way or another wana connection na watumishi wa Tume ,

Kwa hiyo shauri lako kupita dry ktk mikono hiyo ni mkubwa
"Rais" ni title kweli ila ana kitengo kinachofanya kazi za RUFAA wanapitia kwa niaba yake ye anapelekewa end results anatia saini.

Tume haina muingiliani na ofisi ya Rais?

Ni kama mahakama kuu na Mahakama ya Rufaa.

Unaweze kujua ofisi ilipo ila huna ushawishi wa maamuzi yao
 
Back
Top Bottom