Utendaji Mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma; Rais Samia tupia jicho lako hapo

Utendaji Mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma; Rais Samia tupia jicho lako hapo

Mbona matusi ndugu kuwa mstaarabu. Tujadili kwa hoja na sio matusi au hasira, wewe kila mtu hapa unamtukana kwa nini uko hivyo?
Naona kila ninapokuelekeza unakuja na majibu ya KEBEHI na nshakuele several times kwamba mi sio msemaji wala mwajiriwa wa Tume, natumia uzoefu wa kuchambua rufaa kwa 5+ years kabla ya kuondoka kuelezea process zilivyo.

Kuna watu wanauliza swali ili kueleweshwa na wengine wanaamua kubishana (kama wewe)
Nadhani unajua vema ofisi zilipo.

Kama una kitu unataka kuwelewa niulize. Kama una malalamiko
Ntakupa physical address na postal pia
 
Naona kila ninapokuelekeza unakuja na majibu ya KEBEHI na nshakuele several times kwamba mi sio msemaji wala mwajiriwa wa Tume, natumia uzoefu wa kuchambua rufaa kwa 5+ years kabla ya kuondoka kuelezea process zilivyo.

Kuna watu wanauliza swali ili kueleweshwa na wengine wanaamua kubishana (kama wewe)
Nadhani unajua vema ofisi zilipo.

Kama una kitu unataka kuwelewa niulize. Kama una malalamiko
Ntakupa physical address na postal pia
Mkuu kama simu kupokea ni shida ndio barua hahahahahahahah
 
Mkuu kama simu kupokea ni shida ndio barua hahahahahahahah
NIAMINI MIMI ANDIKA BARA UONE KAMA NDANI YA 14DAYS HUTAJIBIWA.

Shida ya simu inaenda direct kwa PS wa bosi na mbaya zaidi pale kivukoni wapo kwa muda saivi nimeambiwa wanajiandaa kwenda Dodoma. so extension foni hazikuunganishwa jambo lilipelekea PS kupokea simu nyingi na kulazimika kwenda kwa muhusika (ambaye huwezi kuambiwa jina lake wala kupewa namba yake). Sa imagine atatembea ofisi ngapi kupeleka simu?? (HUO NDIO UKWELI JAPO HAUPENDEZI)
 
Hilo hata kama sifanyi kazi pale tena ila naona HALIWEZEKANI.
GOVERNMENT WORKS ON PAPER.


KUHUSU BARUA KUCHELEWA KUMFIKIA MRUFANI HATA BAADA YA KIKAO IPO HIVI:-
NAKALA ZA RUFAA ZINAENDA OFISI KAMA 6
1.MRUFANI
2 MAMLAKA YA NIDHAMU
3. RAIS/IKULU
4 UTUMISHU
5. TAMISEMI
6. RAS
HIZI ZOTE ZINATAKIWA KUSAINIWA ORIGINAL NA PIA LAZIMA ASAINI MTENDAJI MKUU PEKE YAKE.

IMAGINE KIKAO KIMEAMUA RUFAA 100 NA KILA RUFAA MTU MMOJA ASAINI NAKALA 6 MAANA YAKE ATASAINI BARUA 600 BAADA YA KUHAKIKI MAUDHUI YAKE KAMA YAPO KAMA YALIVYOAMULIWA (KUJIRIDHISHA)

KUMBUKA HAPO BADO ANA DAY TO DAY ACTIVITIES

VUTA SUBIRA HAKI YAKO INAKUJA TU
Mkuu Taasisi nyingi za serikali zimeoutomate shughuli zao nyingi sana mfano wizara ya fedha, Tamisemi wanatumia mifumo iliyoandaliwa na wataalamu kutoka eGA kwahiyo ni muhimu kwa Tume kuwatumia ili kuautomate shughuli zao ili kupunguza paperwork
 
Sasa huo ni utendaji gani Tume haioni aibu ofisi kubwa kama hiyo simu moja tuu? Hao tume wapo hapo kwa zaidi ya miaka 3 simu anapokea mtu mmoja tuu??? ambae anajibu vibaya no customer service mara hapokei simu, mara anakukatia simu kabda hujamaliza ongea mara anaongea kwa speed bila kukusikiliza! hao maboss hapo na makamishna hawalioni hilo? utetezi eti mnahamia dodoma hiyo ndio sababu ya kuwa na huduma mbaya ya simu? na huduma mbaya kwa wateja?
NIAMINI MIMI ANDIKA BARA UONE KAMA NDANI YA 14DAYS HUTAJIBIWA.

Shida ya simu inaenda direct kwa PS wa bosi na mbaya zaidi pale kivukoni wapo kwa muda saivi nimeambiwa wanajiandaa kwenda Dodoma. so extension foni hazikuunganishwa jambo lilipelekea PS kupokea simu nyingi na kulazimika kwenda kwa muhusika (ambaye huwezi kuambiwa jina lake wala kupewa namba yake). Sa imagine atatembea ofisi ngapi kupeleka simu?? (HUO NDIO UKWELI JAPO HAUPENDEZI)
 
Mkuu Taasisi nyingi za serikali zimeoutomate shughuli zao nyingi sana mfano wizara ya fedha, Tamisemi wanatumia mifumo iliyoandaliwa na wataalamu kutoka eGA kwahiyo ni muhimu kwa Tume kuwatumia ili kuautomate shughuli zao ili kupunguza paperwork
Huu ushauri mimi haunihusu mkuu nadhani nshajieeleza huko juu, was just helping
 
NIAMINI MIMI ANDIKA BARA UONE KAMA NDANI YA 14DAYS HUTAJIBIWA.

Shida ya simu inaenda direct kwa PS wa bosi na mbaya zaidi pale kivukoni wapo kwa muda saivi nimeambiwa wanajiandaa kwenda Dodoma. so extension foni hazikuunganishwa jambo lilipelekea PS kupokea simu nyingi na kulazimika kwenda kwa muhusika (ambaye huwezi kuambiwa jina lake wala kupewa namba yake). Sa imagine atatembea ofisi ngapi kupeleka simu?? (HUO NDIO UKWELI JAPO HAUPENDEZI)
Mimi nimefuatilia rufaa ya ndugu yangu tokea mwaka juzi mpaka yeye mwenyewe anaona sifuatilii kwasababu majibu ninayoyapata yanafanana kila siku wasipobadilika ninauhakika malalamiko hayataisha
 
Sio lazima mrufani akichelewa kupeleka rufaa yake inatupiliwa mbali soma Reg.61(4). Mamlaka ya Nidhamu sio kila mara wanachelewa kuleta vielelezo. Ukisoma ufafanuzi wa Kaim Katibu amesema "FIRST IN FIRST OUT"

Pia kumbuka vikao vya TUME vinakaa kila robo mwaka kisheria maana yake baada ya miezi3. kwa mfano rufaa imemalizika kuchambuliwa leo na kikao kimeisha jana, itasubiri next kikao. Kulikuwa na mrundikano mwingi wa kesi lilipoisha zoezi la uhakiki wa vyeti.
Sijui unaongea kufurahisha jukwaa hili. Una uhakika na hili kweli wewe? Eti sio kila mrufani akichelewa kupeleka rufaa yake inatupiliwa mbali? Je TUME inafanya hivyo? Je TUME inaangalia sababu ya mrufani kuchelewa? Je huwa TUME inaangalia kama mamlaka ya nidhamu imemuelekeza mtumishi akate rufaa wapi? Hayo unayoeleza humu yangekuwa yanatekelezwa na TUME malalamiko kwayo yangepungua sana.
 
Lingekuwa rahisi Ungekuwa kazini saivi pimbi wewe.

Ufukuzwe kazi kwa upumbavu wako halafu ufundishe kazi waliopo kazini pathetic!!

Nakuelekeza kwa adabu ila unaonekana kichwa maji.

Print uzi huu ukakabidhi pale geti la ikulu au peleka platforms zingine liende viral [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Msemaji wa TUME katika ubora wake wa majibu wa wateja wake.
 
e huwa TUME inaangalia kama mamlaka ya nidhamu imemuelekeza mtumishi akate rufaa wapi?
Hiki ni kigezo cha msingi sana mtu anapopeleka rufaa yake tume HATA IKIWA NJE YA MUDA.

KIPO KWENYE PROCEDURES kama mrufani alielezwa MUDA, NA MAHALI PA KUKATA RUFAA.

HII ITAONEKANA KWENYE BARUA YA UAMUZI.

UKIWA NA SABABU NYINGINE UWE NA SABABU NA BACKups za msingi. HAIWEZI KUTUPWA NJE.
 
Msemaji wa TUME katika ubora wake wa majibu wa wateja wake.
Wewe ni rahisi kuwasiliana nao waje wasome hoja za wadau hapa
Sasa huo ni utendaji gani Tume haioni aibu ofisi kubwa kama hiyo simu moja tuu? Hao tume wapo hapo kwa zaidi ya miaka 3 simu anapokea mtu mmoja tuu??? ambae anajibu vibaya no customer service mara hapokei simu, mara anakukatia simu kabda hujamaliza ongea mara anaongea kwa speed bila kukusikiliza! hao maboss hapo na makamishna hawalioni hilo? utetezi eti mnahamia dodoma hiyo ndio sababu ya kuwa na huduma mbaya ya simu? na huduma mbaya kwa wateja?
NAOMBA NIWAACHE NIENDELEE NA KUFURAHIA MAJUKWAA MENGINE.

KILA LA HERI WAKUU.

BEST SOLUTION ANDIKENI BARUA KWA KATIBU MKUU UTUMISHI NAKALA IKULU KWA KUSPEED UP ISHU ZENU AU ANDIKE MAKALA GAZETINI BILA KUWEKA MAJINA YENU.

UJUMBE UTAFIKA MAPEMA ZAIDI
 
Hao Tume wajirekebishe kwa nini rufaa nyingi zipo pending wakati muajiri amejibu na vielelezo vipo. Wangedesign template ambayo wangeitumua mfano template hiyo pamoja na mambo mengine ktk kila rufaa ingeangalia vitu viwili vya msingi 1. je mfanyakazi alifukuzwa kazi kwa sababu za msingi na za kweli (fair reasons) 2. Je utaratibu ulifuatwa. Kimojawapo kikikosekana au vyote vikikosekana basi ushindi ni wa mrufani. kama vyote vipo basi mamlaka ya nidhamu ipo sasa. Ni simple hivyo sasa wao kila kikao wanaleta rufaa chache mno. Hawana extra ordinary meetings!!! Hawafanyi maamuzi by circular resolution kwa rufaa ambazo ni simple mfano mrufani kuchelewa sana kupeleka rufaa tume nk.
NAOMBA NIWAACHE NIENDELEE NA KUFURAHIA MAJUKWAA MENGINE.

KILA LA HERI WAKUU.

BEST SOLUTION ANDIKENI BARUA KWA KATIBU MKUU UTUMISHI NAKALA IKULU KWA KUSPEED UP ISHU ZENU AU ANDIKE MAKALA GAZETINI BILA KUWEKA MAJINA YENU.

UJUMBE UTAFIKA MAPEMA ZAIDI
 
HII tume kiukweli ni Disaster kwa watumishi wa Umma kuna jamaa namfahamu mpaka amekufa hakuna alichosaidiwa na hao vilaza, Nimeona wamejitia Kujibu kwa mihemko kwa Kuandika Press Release, Ni ukweli mtupu wanaopeleke Malalamiko ni wengi lakini hayashughulikiwi kwa wakati , inawezekanaje mtu ana madai yake yanazidi miaka miwili hadi mitatu hakuna anachojibiwa hakuna anachosaidiwa, watu wanawafuata fuata mpaka soli za viatu zinakwisha, hawatoi majibu hawapokei simu, hawana majibu mazuri kwa watumishi ambao ndio wanawafanya wawepo mjini, Wakati umefika hivi vitume vya dizaini hii vifutwe ili kama watu wana mambo yao wayapeleka MAHAKAMANI na si vinginevyo.

Yaani wanalundika mashauri ya watu, hawashughulikii ukiuliza unaambiwa wanasubiri fedha , yaani kukaa vikao vya kuamua na kusaidia hatma ye wenzenu ni mpaka Mlipwe POSHO enzi za mwendazake ndio kabisaaaa hawa mchwa wala posho walikua ndio hawana kazi kabisaaaa, maana jamaa alikua anaajiri yeye anafukuza yeye anaamua yeye keshi na wao wapo tu, mavyeo makuubwa utasikia sijui Katibu, Sijui Naibu Katibu Sijui takataka gani ,na wooote wanaenda kazini na kurudi kila siku, wanachofanya hakuna.

Kuna jamaa wengi wameomba sauti ipazwe kwenye mitanmdao yote ili haki zao zipatikane ni hivi watumishi wa Tanzania njaa kali hata haki zao wanalazimika wakati mwingine kuzinunua , ingekua huku kwa wenzetu maujinga haya yasingekuwepo kabisa, Kimsingi kwa TANZANIA Utumishi wa Umma ni Utumwa na ni Balaa.
Wamekaa tu kama robot kazi kusumbua watu. Hawana ubunifu.
Kwa mfano wanaajiri kwa utaratibu wa usaili ila wameruhusu utaratibu wa ajira za kujitolea kwa mkataba. Vijana wahitimu wanajitolea hadi wamekua nguvu kazi ya kutegemewa. Unakuta mtu yuko miaka miwili hapati ajira ya kudumu. Ingefaa kuwe na utaratibu tofauti kwa wale mumewapa ajira kujitolea ili waweze kupewa ajira za kudumu.
 
Ni simple hivyo sasa wao kila kikao wanaleta rufaa chache mno.
Ushawahi kuhudhuria kikao ikaona items ngapi zinaingia per kikao, Tume inakaa 14 ipitie taarifa mbalimbali na rufaa 150+ unasema chache.

Kuna rufaa inahoja 30+ Taarifa ya kamati kubwa kama Biblia hapo hujapitia majobu ya hoja, Standing Oder09, P.S Regulation2003, hujapitia Regs za Taasisi husika.

NI RAHISI SANA KUSEMA RUFAA NI SIMPLE
kila rufaa ingeangalia vitu viwili vya msingi 1. je mfanyakazi alifukuzwa kazi kwa sababu za msingi na za kweli (fair reasons) 2. Je utaratibu ulifuatwa. Kimojawapo kikikosekana au vyote vikikosekana basi ushindi ni wa mrufani. kama vyote vipo basi mamlaka ya nidhamu ipo sasa.
hii ilishafanywa na KAMATI YA UCHUNGUZI
Hawafanyi maamuzi by circular resolution kwa rufaa ambazo ni simple mfano mrufani kuchelewa sana kupeleka rufaa tume nk.
Mrufani anachelewaje kupeleka rufaa Tume wakati ana siku 45?
 
Ingefaa kuwe na utaratibu tofauti kwa wale mumewapa ajira kujitolea ili waweze kupewa ajira za kudumu.
USICHANGANYE OFISI WE MTU. TUME HAIHUSIKI NA HIKI ULICHOANDIKA NAONA UNATAFUTA HURUMA

VIBALI VYA AJIRA VINATOKA UTUMISHI NA AJIRA NI KWA "USHINDANI" TENA ZOEZI LINAENDESHWA NA SEKRETARIETI YA AJIRA

KAMA UMEHITIMU CHUO NA UNAUZOEFU WA MIAKA MIWILI YA KUJITOLEA UNAZIDIWAJE INTERVIEW NA FRESH GRADUATES???
 
Acha hizo wewe mahakama zinaangalia vielelezo kibao na kusikiliza mashahidi wengi tuuu lakini speed kubwa. Mbona CMA speed ya kesi ni nzuri? Shida tume haingalii hizo sababu mbili kwa mujibu wa sheria. 1. Fair reasons 2. Fair Procedure. Kwa nini wanahangaika na mambo mengine? Public Service Act na Standing orders ndio zimeweka mambo haya bayana hivyo vingine wanavitoa wapi. Matokeo yake ni kutoa maamuzi ya ndivyo sivyo.

Hii Tume imepewa dhamana ya kusimamia utumishi wa umma mizaha ya nini hapo. Walipaswa kujipanga na kurekebisha mambo. Wakirekebisha kasoro nani atalalamika?
Ushawahi kuhudhuria kikao ikaona items ngapi zinaingia per kikao, Tume inakaa 14 ipitie taarifa mbalimbali na rufaa 150+ unasema chache.

Kuna rufaa inahoja 30+ Taarifa ya kamati kubwa kama Biblia hapo hujapitia majobu ya hoja, Standing Oder09, P.S Regulation2003, hujapitia Regs za Taasisi husika.

NI RAHISI SANA KUSEMA RUFAA NI SIMPLE

hii ilishafanywa na KAMATI YA UCHUNGUZI

Mrufani anachelewaje kupeleka rufaa Tume wakati ana siku 45?
 
Back
Top Bottom