Huna habari waajiriwa wengi sana ni vilaza? Soma taarifa ya aliyekuwa CAG Prof. Assad uone jinsi mlivyo weupe kichwani! Bila godfather ungekuwa unalima matikitimaji!Mchakato nimekueleza
Ningekuwa "mweupe kichani" ningeshafukuzwa kazi ila bado nadunda
We uliye "mweusi" kichwani wamekula kichwa
😆😆😆😆halafu kwa ukilaza wa TUME eti wanamtumia mtu kama huyu awatetee!! Shame on them!!Huna habari waajiriwa wengi sana ni vilaza? Soma taarifa ya aliyekuwa CAG Prof. Assad uone jinsi mlivyo weupe kichwani! Bila godfather ungekuwa unalima matikitimaji!
Asante kwa taarifa we mwenye akili kuuubwa mbona unalalama[emoji1787][emoji1787]Huna habari waajiriwa wengi sana ni vilaza? Soma taarifa ya aliyekuwa CAG Prof. Assad uone jinsi mlivyo weupe kichwani! Bila godfather ungekuwa unalima matikitimaji!
Yaani TUME hawana experience ya kazi??[emoji848][emoji848][emoji848] kazi gani unazungumzia??Ni miungu watu hao, hata experience ya kazi hawana
We pimbi ushaoshwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwajiri wako alipata shida saana acha tu upigwe chini na kwa akili kama hizi sidhani kama utatoboa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]halafu kwa ukilaza wa TUME eti wanamtumia mtu kama huyu awatetee!! Shame on them!!
We boya bado unamtetea Muhoji tu, duh amakweli kuna mijitu ni kama Kenge yaani hata lipigwe vipi haliamini mpaka litoke Damu masikioni TUME ULAJI haina nafasi mnatia aibu , sijui umepewa shilingi ngapi kukomaza misuli kutetea upuuzi, hakuna TUME hapo mbona mgumu kuelewa weweWe pimbi ushaoshwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwajiri wako alipata shida saana acha tu upigwe chini na kwa akili kama hizi sidhani kama utatoboa
Kama nlivyotangulia kusema mi ni TUME ALUMNI, so sijatumwa na ofisi nakufafanulia facts
Najua ushaelewa ila ila unaleta ligi ya KIJINGA watu washakuelewa na unajidhalilisha
Kama unadhani unaichafua Tume unajidanganya
Pole sana Ndugu, mimi siko huko sijawi ajiliwa na Serikali kama wewe isipokuwa tunaangalia mambo hasa utendaji wa TUME in a global perspective, don't be so much defensive my friend.We pimbi ushaoshwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwajiri wako alipata shida saana acha tu upigwe chini na kwa akili kama hizi sidhani kama utatoboa
Kama nlivyotangulia kusema mi ni TUME ALUMNI, so sijatumwa na ofisi nakufafanulia facts
Najua ushaelewa ila ila unaleta ligi ya KIJINGA watu washakuelewa na unajidhalilisha
Kama unadhani unaichafua Tume unajidanganya
Sa kama hujaariwa unalalamikiaje UTENDAJI WA TUME na hauujui?P
Pole sana Ndugu, mimi siko huko sijawi ajiliwa na Serikali kama wewe isipokuwa tunaangalia mambo hasa utendaji wa TUME in a global perspective, don't be so much defensive my friend.
Issue sio kwamba unawaelewa au unawafahamu, the central issue here ni utopolo wa TUME nothing more nothing less!!
.....tena ni Kenge Blue kabisa!!! Muhoji has totally failed to lead this institution!!! Hopeless kabisa!!We boya bado unamtetea Muhoji tu, duh amakweli kuna mijitu ni kama Kenge yaani hata lipigwe vipi haliamini mpaka litoke Damu masikioni TUME ULAJI haina nafasi mnatia aibu , sijui umepewa shilingi ngapi kukomaza misuli kutetea upuuzi, hakuna TUME hapo mbona mgumu kuelewa wewe
People look things in a global perspective na wanazitest hypothesis zao, sio lazima uwe unafanya kazi serikalini!!Sa kama hujaariwa unalalamikiaje UTENDAJI WA TUME na hauujui?
Unazungumzia vitu huvijui unataja jina la kiongozi ambaye kwanza.ameshastaafu unamchafua.People look things in a global perspective na wanazitest hypothesis zao, sio lazima uwe unafanya kazi serikalini!!
Kuhusu muda niwasemee.wanaenda na wakati.nilipeleka rufaa yangu pale ndani miezi 8.nikawa nimejibiwa japo majibu hayakuwa mazuri.kuhusu uonezi hilo halipingiki.nilipokuwa nakata rufaa tume.mwajiri aliniambia siwezi toboa niende niendako.mimi nilikata rufaa hivyohivyo.pamoja na vielelezo vyote vya uhakika.tume ilikataa rufaa yangu.kielelezo kimoja wapo ni ushahidi wa mtoto aliyedai kupewa majibu na mimi alipohojiwa na kamati.huyo mtoto huo mwaka hakufanya mtihani.nikweka nakala za matokeo za miaka yote.ili tume ione kuwa ni kweli huyo mtoto hakufanya mtihani huo mwaka.sasa nilimpaje majibu mtoto asye mtahiniwa?nikirejea kauli za mwajiri.naona kama walikuwa na connection.nipo tayari kuweka hapa ushahidi wangu wote.kwa hoja.nidhahiri shahiri.tume ilinioneaHuu ndio tunaita "upotoshaji"
Tume ina maafisa wasiozidi 35
Wanashughulikia rufaa za watumishi wooote wa umma ukiondoa walimu, polisi, magereza, na wanajeshi
Unajua workload ya rufaa au unalalama tu.
===
Ufafanuzi wa taarifa ya upotoshaji kuhusu utendaji kazi wa Tume ya Utumishi wa Umma
NA MWANDISHI MAALUM-PSC
Tume ya Utumishi wa Umma imeanzishwa chini ya Kifungu cha 9 (1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma (Sura ya 298 marejeo ya mwaka 2019), pamoja na majukumu mengine Tume ina jukumu la kupokea na kushughulikia rufaa kutoka kwa Watumishi wa Umma na Mamlaka za Nidhamu ambao hawakuridhika na uamuzi uliotolewa dhidi yao, kwa mujibu wa Kifungu cha 25 (1) cha Sheria hii na Kanuni ya 60 ya Kanuni za Utumishi wa Umma za mwaka 2003.
Tume ya Utumishi wa Umma inapenda kutoa ufafanuzi wa taarifa ya upotoshaji kuhusu utendaji kazi wa Tume iliyotolewa kupitia mtandao wa kijamii wa “Jamii Forum” tarehe 12 Agosti 2021 kama ifuatavyo:-
1. Kwa mujibu wa Kifungu cha 9(1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma Sura ya 298 (marejeo ya mwaka 2019), Tume inaundwa na Mwenyekiti na Wajumbe 6 ambao huteuliwa na Rais ambao pamoja na majukumu mengine wana jukumu la kisheria la kutolea uamuzi rufaa na malalamiko yanayowasilishwa mbele ya Tume. Aidha, kwa mujibu wa Kifungu cha 14(1) na (2) cha Sheria ya Utumishi wa Umma Sura ya 298 (marejeo ya mwaka 2019), Tume ina Katibu ambaye ndiye Mtendaji Mkuu. Katibu na Wasaidizi wake (Sekretarieti) ndio watendaji wa kazi za kila siku katika Tume ya Utumishi wa Umma ambao wameteuliwa baada ya kukidhi sifa na vigezo katika nafasi walizo nazo.
2. Pamoja na Sheria zilizopo, Tume inashughulikia rufaa kwa mujibu wa Mwongozo Kuhusu Mashauri ya Nidhamu na Rufaa kwa Watumishi wa Umma wa Mwaka 2009 ambapo rufaa hupokelewa, husajiliwa, huchambuliwa na kupitiwa na Kikao cha Menejimenti na hatimaye kuwasilishwa mbele ya Tume kwa uamuzi. Hatua ya mwisho ni Mrufani na Mrufaniwa kujulishwa kwa barua juu ya uamuzi unaotolewa na Tume. Utaratibu huu umewekwa ili kuimarisha utendaji kazi, kudhibiti upendeleo, rushwa na kuimarisha utoaji wa haki. Aidha, elimu kuhusiana na utaratibu huu imekuwa ikitolewa kwa wadau kupitia majukwaa mbalimbali.
3. Tume katika kushughulikia rufaa na malalamiko haitoi uamuzi kwa shinikizo au ushawishi wa Mwajiri au Mamlaka ya Nidhamu yoyote ili kuwakandamiza watumishi wasipate haki zao. Tafsiri kuwa Tume ni chombo cha kulinda maslahi ya Waajiri na Serikali. Tume inapenda kuufahamisha umma kuwa inatekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo iliyopo.
4. Rufaa na malalamiko yanayopokelewa Tume yenye vielelezo vilivyokamilika ndio yanayoshughulikiwa na kutolewa uamuzi kwa kadri yalivyopokelewa (First in, First Out).
5. Tume ya Utumishi wa Umma, inaomba umma kuupuuza upotoshwaji huu uliotolewa kupitia mtandao wa kijamii wa “Jamii Forum” na inatoa wito kwa umma na wadau wote kuwasiliana na Tume kwa ufafanuzi, maoni au suala lolote kuhusu Tume kupitia simu namba 0738166703, 0733 005 974 na barua pepe, secretary@psc.go.tz.
Imetolewa na:
John C. Mbisso
KAIMU KATIBU
TUME YA UTUMISHI WA UMMA
DAR ES SALAAM
13 AGOSTI, 2021
Ufafanuzi wa taarifa ya upotoshaji kuhusu utendaji kazi wa Tume ya Utumishi wa Umma
www.diramakini.co.tz
😆😆😆😆halafu kwa ukilaza wa TUME eti wanamtumia mtu kama huyu awatetee!! Shame on them!!
Asante kwa compliment.Kuhusu muda niwasemee.wanaenda na wakati.nilipeleka rufaa yangu pale ndani miezi 8.nikawa nimejibiwa japo majibu hayakuwa mazuri.kuhusu uonezi hilo halipingiki.nilipokuwa nakata rufaa tume.mwajiri aliniambia siwezi toboa niende niendako.mimi nilikata rufaa hivyohivyo.pamoja na vielelezo vyote vya uhakika.tume ilikataa rufaa yangu.kielelezo kimoja wapo ni ushahidi wa mtoto aliyedai kupewa majibu na mimi alipohojiwa na kamati.huyo mtoto huo mwaka hakufanya mtihani.nikweka nakala za matokeo za miaka yote.ili tume ione kuwa ni kweli huyo mtoto hakufanya mtihani huo mwaka.sasa nilimpaje majibu mtoto asye mtahiniwa?nikirejea kauli za mwajiri.naona kama walikuwa na connection.nipo tayari kuweka hapa ushahidi wangu wote.kwa hoja.nidhahiri shahiri.tume ilinionea
[emoji28][emoji28][emoji28] haya mkuuSawa na Simba walivyokuwa wanamtumia mbumbumbu Hwji Manara kwa position iliyotaka msomi
Kustaafu kwa mtu ni kitu kimoja na UTOPOLO alioufanya Tume ni kitu kingine, don't be shallow minded please!!Unazungumzia vitu huvijui unataja jina la kiongozi ambaye kwanza.ameshastaafu unamchafua.
Unachafua tawswira ya ofisi.
Acha UJINGA anza kukua hicho kichwa usifugie nywele pekee[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
We umeliwa kichwa kaa kwa kutuliaKustaafu kwa mtu ni kitu kimoja na UTOPOLO alioufanya Tume ni kitu kingine, don't be shallow minded please!!
Kuhusu muda niwasemee.wanaenda na wakati.nilipeleka rufaa yangu pale ndani miezi 8.nikawa nimejibiwa japo majibu hayakuwa mazuri.kuhusu uonezi hilo halipingiki.nilipokuwa nakata rufaa tume.mwajiri aliniambia siwezi toboa niende niendako.mimi nilikata rufaa hivyohivyo.pamoja na vielelezo vyote vya uhakika.tume ilikataa rufaa yangu.kielelezo kimoja wapo ni ushahidi wa mtoto aliyedai kupewa majibu na mimi alipohojiwa na kamati.huyo mtoto huo mwaka hakufanya mtihani.nikweka nakala za matokeo za miaka yote.ili tume ione kuwa ni kweli huyo mtoto hakufanya mtihani huo mwaka.sasa nilimpaje majibu mtoto asye mtahiniwa?nikirejea kauli za mwajiri.naona kama walikuwa na connection.nipo tayari kuweka hapa ushahidi wangu wote.kwa hoja.nidhahiri
Unaleta mizaha kwenye serious issues!!We umeliwa kichwa kaa kwa kutulia
Sio hujaajiriwa UMEFUKUZWA!!!
We umeliwa kichwa kaa kwa kutulia
Sio hujaajiriwa UMEFUKUZWA!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We umeliwa kichwa kaa kwa kutulia
Sio hujaajiriwa UMEFUKUZWA!!!
[emoji2w3]
Huo ndio ukweli.Unaleta mizaha kwenye serious issues!!
Nakuelimisha na kukupa taarifa ili uzinduke na usiwe mjinga tena!Asante kwa taarifa we mwenye akili kuuubwa mbona unalalama[emoji1787][emoji1787]