Utendaji Mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma; Rais Samia tupia jicho lako hapo

Utendaji Mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma; Rais Samia tupia jicho lako hapo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama hujawahi kuajiriwa UNALALAMA nini

Hata kama ikivunjwa waliopo hawapotezi kazi watahamishiwa sehemu nyingine.

Nimeamini wewe ni MPUUZI SANA
😆😆😆😆😆wanahamishiwa sehemu nyingine ili nako wakaharibu!!!! Hopeless kabisa!!
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]wanahamishiwa sehemu nyingine ili nako wakaharibu!!!! Hopeless kabisa!!
Wakiharibu WANAFUKUZWA KAMA WEWE[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu wasio na akili wanatumwa kutetea wasio na akili , hivi unaachaje kujibu mambo ya msingi unakuja kushupaa hapa sijui taratibu sijui takataka gani sijui Takokuru wakati mnatuhumiwa kwa Rushwa , mlitakiwa mlete jopo la watu wenye akili zao sio wewe uliyejipa jukumu la kutetea TUME MASLAHI. cc EINSTEIN 112
 
Wakiharibu WANAFUKUZWA KAMA WEWE[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😆😆😆 very shallow minded!! Unafikili kila mleta au mchangia mada basi ameajiriwa Serikalini kama wewe!!
 
[emoji38][emoji38][emoji38] very shallow minded!! Unafikili kila mleta au mchangia mada basi ameajiriwa Serikalini kama wewe!!
Haya mfanyabiashara[emoji38][emoji38][emoji38]

Shallow minded ninayejua sheria za kazi. Na biashara pia
 
Ndio.maana nikakuambia only 2% ya mashauri ya Tume yamewahi kubatilishwa.


Hata mahakamani kuna mahakama kuu ya rufaa
Hizo takwimu umezitoa wapi? Chanzo cha takwimu hiyo ni wapi? Au unamaanisha maamuzi ya TUME? Maana kesi nyingi ziko kwenye hatua mbalimbali za maamuzi baada ya uamuzi mbovu wa TUME na kesi zingine nyingi zimekaliwa na TUME kwa kisingizio cha workload.
 
Sio kweli ukishindwa TUME unakata RUFAA kwa RAIS ukiona umeonewa unakata rufaa MAHAKAMA KUU.

wote wakuonee kwa lipi hasa ulilonalo?

Kama hufahamu UTARATIBU uliza na so kulalama

Nyie Tume nakusalimuni nyote kwa jina la jamhuri hapo ofisini kwenu na mnijibu "kazi iendelee"

Naomba mkaze ili vaccum pressure ipande juu na ikinogeshwa na madudu mengine huenda ya rais lungu tukayaona mapema
 
Nyie Tume nakusalimuni nyote kwa jina la jamhuri hapo ofisini kwenu na mnijibu "kazi iendelee"

Naomba mkaze ili vaccum pressure ipande juu na ikinogeshwa na madudu mengine huenda ya rais lungu tukayaona mapema
Acha awaone nimetoa ufafanuzi kama alumni wa Tume.

Coz naijua vema
 
Hizo takwimu umezitoa wapi? Chanzo cha takwimu hiyo ni wapi? Au unamaanisha maamuzi ya TUME? Maana kesi nyingi ziko kwenye hatua mbalimbali za maamuzi baada ya uamuzi mbovu wa TUME na kesi zingine nyingi zimekaliwa na TUME kwa kisingizio cha workload.
Nimezitoa ofisini unataka nizipublish??
 
Nimezitoa ofisini unataka nizipublish??
Kwahiyo TUME kila malalamiko 100 yanayoletwa ni mawili (2) tu yanayobadilishwa? Hongera zenu. Hizo ndio moja ya kasoro zinazolalamikiwa kuwa TUME ni uchochoro haki za watumishi zinachezewa.
 
Ni tume gani hapa Tanzania inayotimiza majukumu yake vyema,kwa haraka, bila upendeleo na kwa weledi!!??
 
Kwahiyo TUME kila malalamiko 100 yanayoletwa ni mawili (2) tu yanayobadilishwa? Hongera zenu. Hizo ndio moja ya kasoro zinazolalamikiwa kuwa TUME ni uchochoro haki za watumishi zinachezewa.
Hakuna taasisi iko perfect 100% hapa mlalamikaji ameongea UPUUZI mwingi nahisi sasa ameelewa haki yake atapata tu.
 
Hii Tume ni hovyo kabisa! Wanachezea haki za wafanyakazi kirahisirahisi tu. Sheri zinawekwa halafu wanakuwa wa kwanza kuzikiuka....pumbavu kabisa.

Afisa Mwandamizi mzima eti anajibu very simple kwamba wana workload kubwa, kwani hiyo workload inamsaidia nini mtumishi?, kwani umuhimu umuhimu wa kuweka Sheria na Kanuni ni upi?
Ni miungu watu hao, hata experience ya kazi hawana
 
Back
Top Bottom