Utendaji Mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma; Rais Samia tupia jicho lako hapo

Utendaji Mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma; Rais Samia tupia jicho lako hapo

Wewe EISTEIN 112 hapo ndio mwisho wa uelewa wako? ebu tupatie mfano wa kesi iliyoamuliwa kuwa CMA haiwezi tena kushughulikia malalamiko ya watumishi wa umma. Hapo unatupa wasiwasi maana wewe ni mtendaji wa TUME na inaonekana hujui sheria. Sasa maamuzi yenu (TUME) yatakuwa ya haki kweli kwa watumishi wa umma?
Nadhani umeamua kubishana

nimeeleza kuwa Mtumishi wa umma ukiwa na na shida dhidi ya Mamlaka yako ya Nidhamu/ Mwajiri sehemu pekee unapotakiwa kukata rufaa au kulalamika ni TUME YA UTUMISHI WA UMAA na sio CMA? na usiporiadhika na maamuzi ya TUME unakata Rufaa kwa Mh. Rais

Mabadiliko ya Sheria ya Utumishi wa Umma ya mwaka 2019 yamewaondoa watumishi wote wa Umma CMA

ukiamua kuendelea kubishana endelea mi nshamaliza
 
Acha uongo nime mfano wa maamuzi ya Tume kushindwa mahakamani nipe mfano mmoja tu
Ziko nyingi tu nakushangaa kama hujui. Kwa hiyo kesi zote wanazoamua TUME zinashindwa mahakamani? Ujanja mmojawapo wanaofanya TUME wakishirikiana na waajiri ni kuchelewesha sana maamuzi ili watumishi wakate tamaa kutafuta haki kwa Rais na baadae mahakamani.
 
Jamani enhe someni case ya John Mongella HC Labour Division meruhusu kwenda CMA tena ukitaka nenda CMA moja kwa moja achana na hao Tume. Ni ndani ya siku 30 baada ya kufukuzwa
Nadhani umeamua kubishana

nimeeleza kuwa Mtumishi wa umma ukiwa na na shida dhidi ya Mamlaka yako ya Nidhamu/ Mwajiri sehemu pekee unapotakiwa kukata rufaa au kulalamika ni TUME YA UTUMISHI WA UMAA na sio CMA? na usiporiadhika na maamuzi ya TUME unakata Rufaa kwa Mh. Rais

Mabadiliko ya Sheria ya Utumishi wa Umma ya mwaka 2019 yamewaondoa watumishi wote wa Umma CMA

ukiamua kuendelea kubishana endelea mi nshamaliza
 
Ziko nyingi tu nakushangaa kama hujui. Kwa hiyo kesi zote wanazoamua TUME zinashindwa mahakamani? Ujanja mmojawapo wanaofanya TUME wakishirikiana na waajiri ni kuchelewesha sana maamuzi ili watumishi wakate tamaa kutafuta haki kwa Rais na baadae mahakamani.
We huna facts umekaa kubishana tu sasa fuata taratibu zzinavyotaka huko mahakamani pia una rum ya kwenda ukishindwa na Rais, hakuna mtu anakuhujumua, ujinga wako ndio ulikufanya ukafukuzwa kazi
Jamani enhe someni case ya John Mongella HC Labour Division meruhusu kwenda CMA tena ukitaka nenda CMA moja kwa moja achana na hao Tume. Ni ndani ya siku 30 baada ya kufukuzwa
Mkuu haya nenda huko CMA kama hawatakurudisha.

Barua yako ya kufukuzwa kazi PARA YA MWISHO umeelezwa ukate rufaa wapi?? Fuata naelekezo sio kubishana.

jaribu hivi wakata Tume wanaendelea na mchakato wa shauri lako peleka pia CMA shauri lako yaende pamoja
 
Wewe mgumu kuelewa mwepesi kusahau ndo mana maamuzi yenu hovyo.
We huna facts umekaa kubishana tu sasa fuata taratibu zzinavyotaka huko mahakamani pia una rum ya kwenda ukishindwa na Rais, hakuna mtu anakuhujumua, ujinga wako ndio ulikufanya ukafukuzwa kazi

Mkuu haya nenda huko CMA kama hawatakurudisha.

Barua yako ya kufukuzwa kazi PARA YA MWISHO umeelezwa ukate rufaa wapi?? Fuata naelekezo sio kubishana.

jaribu hivi wakata Tume wanaendelea na mchakato wa shauri lako peleka pia CMA shauri lako yaende pamoja
 
Nadhani umeamua kubishana

nimeeleza kuwa Mtumishi wa umma ukiwa na na shida dhidi ya Mamlaka yako ya Nidhamu/ Mwajiri sehemu pekee unapotakiwa kukata rufaa au kulalamika ni TUME YA UTUMISHI WA UMAA na sio CMA? na usiporiadhika na maamuzi ya TUME unakata Rufaa kwa Mh. Rais

Mabadiliko ya Sheria ya Utumishi wa Umma ya mwaka 2019 yamewaondoa watumishi wote wa Umma CMA

ukiamua kuendelea kubishana endelea mi nshamaliza
Rejea ELRA Act of 2004 baada ya ku-exhaust local/internal remedies na case ya John Mongella Vs PSSF ya High Crt Labour Division imetoa ufafanuzi. Ina maana hayo huyajui kama Mtumishi wa TUME?
 
Hata mtu mweny
Kumekuwa na malalamiko mengi sana kutoka kwa wananchi kuhusu utendaji mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma ikiongozwa na ndugu Muhoji aliyezungukwa na wasaidizi vilaza wavivu kutumia akili katika kushughulikia rufaa za watumishi wa umma walioonewa na waajiri enzi zile!

Kumekuwa na biasness kubwa sana katika kushughulikia rufaa za watumishi wa umma pale Tume.

1. Tume imekuwa ikishirikiana na waajiri katika kuhujumu haki za watumishi.

2. Rufaa zimekuwa zinakaa kwa muda mrefu bila kuzitolea maamuzi. Ningefurahi sana kujua kama kuna kipengele chochote kinachoibana Tume kuhusu muda.

3. Maafisa wa Tume hawako makini katika uchambuzi wa rufaa za watumishi.

4. Maafisa wa Tume wamekosa customer service or care kwenye kazi zao na hivyo kupelekea wwtumishi wanaokwenda kuulizia rufaa kuwafanya kama maadui, they are so defensive and protective.

5. Wamekuwa wakipewa rushwa na waajiri ili watumishi wakandamizwe ktk kudai haki zao kwasababu waajiri wengi wamekuwa wakiwabambikkiza makosa watumishi wao.

Hivyo basi, tunaomba Mh. Rais Samia tupia jicho lako kwenye hiyo Tume, wanafanya kazi kwa mazoea na kuminya haki za watumishi.
Mtu mwenyewe anataka ushauri basi????
 
Rejea ELRA Act of 2004 baada ya ku-exhaust local/internal remedies na case ya John Mongella Vs PSSF ya High Crt Labour Division imetoa ufafanuzi. Ina maana hayo huyajui kama Mtumishi wa TUME?
Hii case unayoirejea ina uhusiano gani na TUME?? Nikusahihishe kidogo mi sio mtendaji wa Tuame nlishahama kitambo

nimekuambia ukitoka TUME unaenda kwa Rais ukishindwa huko unaenda MAHAKAMA KUU.

Naadhani umenielewa
 
Yaani ameniacha hoi huyo jamaa halafu kweli watatenda haki hawa jamaa jamani
Rejea ELRA Act of 2004 baada ya ku-exhaust local/internal remedies na case ya John Mongella Vs PSSF ya High Crt Labour Division imetoa ufafanuzi. Ina maana hayo huyajui kama Mtumishi wa TUME?
 
We huna facts umekaa kubishana tu sasa fuata taratibu zzinavyotaka huko mahakamani pia una rum ya kwenda ukishindwa na Rais, hakuna mtu anakuhujumua, ujinga wako ndio ulikufanya ukafukuzwa kazi

Mkuu haya nenda huko CMA kama hawatakurudisha.

Barua yako ya kufukuzwa kazi PARA YA MWISHO umeelezwa ukate rufaa wapi?? Fuata naelekezo sio kubishana.

jaribu hivi wakata Tume wanaendelea na mchakato wa shauri lako peleka pia CMA shauri lako yaende pamoja
Kwa hiyo mnaamua kesi ilimradi kwa kurukia kuwa UJINGA WAKO NDIO ULIKUFANYA UKAVUKUZWA KAZI? Sasa Mtu wa kuhusu bila kusikiliza kama wewe na wenzako hapo TUME mtaweza kutenda haki kweli? Hapo si mpo tu kupoteza fedha za umma na baadae kuumbuka mahakamani? Ndio maana tegemeo lenu pekee ni rushwa na sasa itawatokwa puani maana mtagundulika na kutupiliwa mbali.
 
Kwa hiyo mnaamua kesi ilimradi kwa kurukia kuwa UJINGA WAKO NDIO ULIKUFANYA UKAVUKUZWA KAZI? Sasa Mtu wa kuhusu bila kusikiliza kama wewe na wenzako hapo TUME mtaweza kutenda haki kweli? Hapo si mpo tu kupoteza fedha za umma na baadae kuumbuka mahakamani? Ndio maana tegemeo lenu pekee ni rushwa na sasa itawatokwa puani maana mtagundulika na kutupiliwa mbali.
We lialia ila mimi nimekupa utaratibu, kama Tume ikiumbuka sio swala lako, we subiri maamuzi ya shauri lako usonge mbele
 
Hii case unayoirejea ina uhusiano gani na TUME?? Nikusahihishe kidogo mi sio mtendaji wa Tuame nlishahama kitambo

nimekuambia ukitoka TUME unaenda kwa Rais ukishindwa huko unaenda MAHAKAMA KUU.

Naadhani umenielewa
Ndugu hapo ndio mwisho wako wa uelewa? si uwaulize hata wenzako. CMA kuna mashauri mengi tu yanaendelea baada ya maamuzi ya Rais (ku-exhaust internal/local remedies). Ulizia CMA usiendelee kujiaibisha na kuiaibisha TUME na maamuzi yenu mabovu.
 
Ndugu hapo ndio mwisho wako wa uelewa? si uwaulize hata wenzako. CMA kuna mashauri mengi tu yanaendelea baada ya maamuzi ya Rais (ku-exhaust internal/local remedies). Ulizia CMA usiendelee kujiaibisha na kuiaibisha TUME na maamuzi yenu mabovu.
Sijakuzuia kwenda CMA naona akili zako fupi sana

Nenda huko CMA kama ni mtumishi wa Umma watakuelewesha, naona unakichwa kigumu sana bila shaka ndio maana ukafukuzwa.
 
We lialia ila mimi nimekupa utaratibu, kama Tume ikiumbuka sio swala lako, we subiri maamuzi ya shauri lako usonge mbele
Kwa hiyo niache kulialia muendelee tu kuamua ovyoovyo mashauri ya watumishi kwa kurukia hitimisho kama ulivyosema badala ya kupitia vizuri vielelezo? Kwanza umesema umehama TUME sasa unaisemea kama nani? Na inawezekama umehamishwa kwa utendaji mbovu huohuo unaolalamikiwa na watumishi.
 
Kwa hiyo niache kulialia muendelee tu kuamua ovyoovyo mashauri ya watumishi kwa kurukia hitimisho kama ulivyosema badala ya kupitia vizuri vielelezo? Kwanza umesema umehama TUME sasa unaisemea kama nani? Na inawezekama umehamishwa kwa utendaji mbovu huohuo unaolalamikiwa na watumishi.
Kwa hiyo niache kulialia muendelee tu kuamua ovyoovyo mashauri ya watumishi kwa kurukia hitimisho kama ulivyosema badala ya kupitia vizuri vielelezo? Kwanza umesema umehama TUME sasa unaisemea kama nani? Na inawezekama umehamishwa kwa utendaji mbovu huohuo unaolalamikiwa na watumishi.
Mwajiri akuonee
Tume ikuonee
Rais akuonee

we umekuwa nani???
 
Sijakuzuia kwenda CMA naona akili zako fupi sana

Nenda huko CMA kama ni mtumishi wa Umma watakuelewesha, naona unakichwa kigumu sana bila shaka ndio maana ukafukuzwa.
Naona huo uelewa wako mdogo ndio umefanya ukahamishwa TUME. CMA mashauri yanaendelea na wanasema wanahaki nayo tofauti na unavyobwabwaja humu. Acha kupotosha watu kwa vitu usivyovijua na pia sio msemaji wa TUME au CMA.
 
Naona huo uelewa wako mdogo ndio umefanya ukahamishwa TUME. CMA mashauri yanaendelea na wanasema wanahaki nayo tofauti na unavyobwabwaja humu. Acha kupotosha watu kwa vitu usivyovijua na pia sio msemaji wa TUME au CMA.
Si uende huko CMA? Mnona unalalamika hapa
Kuna aliyekuzuia mi nimekupa facts kama hutaki unaenda unapotaka kwenda simple tu. Kwanini uendelee kunisumbua we ni mtu huru una utashi wa kufanya maamuzi yako. mimi nimejitolea kukuelewesha ila kama unahisi upo sahihi go ahead. Kitu gani kilikusukuma uende TUME na sio CMA??

Barua yako ya uamuzi umeelekezwaje unahisi hawana akili kukuelekeza kwenda TUME??

Naona unanichosha bure fanya vile unataka
 
Back
Top Bottom