Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

Sabuni ya vipande pia? Unaweza? Je kama MTU anataka uje umtengenezee kwake ajifunze akulipe inakuwaje
 
Inategemeana na maeneo uliko ya vipande ndo rahisi kuliko hio ila yenyewe kemikali yake kidogo inahitaji umakini sana coz yaweza kukuletea madhara.
 
Maji lt ngapi i
 
Hayo mahitaji yana cost sh ngapi? Na unatoa kilo ngapi yasabuni?
 
Tanzania ya viwanda

Naomba msaada wa kutengeneza vitu vifuatavyo:

Sabuni ya kipande
Toothpick

Nataka nianze kutengeneza tena nitapiga copy ya jamaa kama Mchina.

Nipo tayari kulipia
 
Kule kyela mbeya niliona wanatengeneza sabuni za mawese, asee wako vizuri jaribu kuwaulizia watu wa huko wakupe maarifa
 
Sasa Moderator umehamisha post yangu wakati unaona hivi ni viwanda viwili tofauti .sitaki sabuni ya maji mimi.please rudisha uzi wangu nitakosa msaada
 
tanzania ya viwanda
naomba msaada wa kutengeneza vitu vifuatavyo
sabuni ya kipande
toothpick
nataka nianze kutengeneza tena nitapiga copy ya jamaa kama mchina.
nipo tayari kulipia
Mods washafanya yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…