Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

Kuna mkuu kaniuliza material za kutengeneza tomato sauce,,,, ambazo ni nyanya, citric acid, vitunguu maji, vinegar, sukari kidogo
 
Kuna watu wanulizia kuhusu kampuni a vifungashio. Unaweza wapigia kampni inaitwa mafuko 0723938777 watkup dealer wao wa tz
 

nimependa mchanganuo wako..
 

umefikia wapi baada ya kumaliza kozi..
 
Iwapo utapata formula hii ya kilimo cha kisasa chenye faida, utapata mafunzo mengine bure mfano, kutengeneza sabuni za mche, mango pickle, tomato souce, losheni n.k
 
Iwapo utapata formula hii ya kilimo cha kisasa chenye faida, utapata mafunzo mengine bure mfano, kutengeneza sabuni za mche, mango pickle, tomato souce, losheni n.k

Sijakuelewa, formula gani tena?
 
Mkuu tafadhali gharama za malighafi ni kias gan? mi nipo mby maana mara zote tunashndw endelea na uzalishaji kutokana na gharama za malighafi kuwa juu.
 
Kuna watu ambao wako mikoani na hawana email ambayo ninaweza watumia kitabu changu ila wanataka kujifunza haya mambo ili na wao waweze kuanzisha biashara hii. Wanaweza lipia na kupewa mafunzo haya hatua kwa hatua kwa njia ya simu. Weka mafuta kwenye simu tuongee
 
Watengeneza vifungashio wengine ni Centanza Plastics hawawako tz 255 (22) 2862146 / +255 (22) 2862155 0713-325591, Quality plastics 255 22 2701282

Kaka wanapatikana wapi hawa watu?? Je wanatengeneza vifungashio vyote hata box za sabuni?? Naomba nielekeze pls!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…