Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

Safi.kuna machine ya kuzalisha sabuni ya unga. Dola 1500 .Je sihitaji machine kwa njia ya kitabu chako?
 
ndugu pls ni call kwa0767310320 tuongee niependa uzi wako pls
 
kutengeneza sabuni ya unga ninajua. sabuni ya maji, kunawia, dawa ya usafi, mishumaa, mafuta ya kupaka... batiki..n.k. ni-pm tubonge..achana na huyu mtoa post!
 
Kuna watu wanauliza vipi kuhusu sabuni ya maji. Mi nasema kuwa ni nzuri na ni cheap kuimake na ina faida kubwa
 

nitafute ninunue 0658087412
 
Mwaka huu unaelekea mwaka mpya na mambo mapya. Km mwaka huu ullikuwa hunha biahara inayokuingizia kipato amua sasa hivi kuwa mwakani ni mwaka wako. Anza kutengeneza sabuni za maji, mche na unga kwa mtaji wa elfu kumi leo hii
 
Ila watengeneza sabuni inatakiwa tbs iwaangalie hizi sabuni zenu mtakuja kutuua, yani kuna sabuni ukiifungua unapiga chafya tu yani ni chafya muda wote sa ndo nini
 
hahahaaaaa kumbe ni we tapeli? wasiokujua wacha watapeliwe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…