Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

Yaaani nyie unaandikiwa process BT in bora useme in matumizi yako binafsi au ni kwa biashara nikupe kitu cha kukulinda na biashara yako ,maaana unavyotengeneza unatumia chemical so wanaoenda tumia ni binadam pia
 
Kuna wajasiriamali huwa wanazunguka mikoani, nitakupa contact umcheki huyo mwalimu umuulize huko uliko anakuja lini elf 10 unafundishwa vitu kibao

Tupia namba yake hapa ili wadau wote wapate kama hutahali mkuu
 
koo umeona sumbawanga ndo viraza sio??????
acha kuzarau miji ya watu mzee utakula busha
 
Kitu cha kuficha ni formula tu vingine vipo ndio maana sabuni zinatofautiana Sasa hata maelezo ya kawaida mnaficha
 
Back
Top Bottom