Utenguzi: Maharage Chande wa Posta, Ulanga wa TTCL na Justina Mashiba wa UCSAF watumbuliwa

Utenguzi: Maharage Chande wa Posta, Ulanga wa TTCL na Justina Mashiba wa UCSAF watumbuliwa

Imeharibiwa na mifumo ya wizi na kujuana, kwanini huwezi sikia Vodacom, Airtel, Tigo n.K wamefilisika lakini ni mashirika ya umma pekee ambayo yanafilisika pamoja na kupewa ruzuku? kama nafasi zingetangazwa tungepata watu wazuri sn, huu mfumo wa kuteua ndugu na chawa ndiyo ujinga wetu.
Sikubaliani nawe kwenye NAFASI KUTANGAZWA. Hakuna kitu fisadi anakipenda kama kutangaza nafasi, na wahusika wagombee au waombe. Kwa sababu Fisadi silaha yake kubwa ni pesa, na wanazo. Kwa hiyo mfumo huo wanauwezo mkubwa wa kupenyeza watu wao na wakawahudumia wao sio wananchi. Kwani hao mawaziri si walichaguliwa na wananchi, huku nafasi za majimbo yakitangazwa. Wakapita kwa kutumia pesa.

China ilitupilia mbali huo mfumo, kwa sababu ukiwa na masikini wengi kama nchi zetu ni balaa tupu. Urusi alicheleweshwa na hayo, sasa wanarudi kule kule.

Leo tunajua bei za ubunge na nafasi nyingine tofauti zinazotangazwa na wenye nia wakaomba.

Narudia msemo wa Nyerere "Watanzania wana majibu RAHISI kwa maswali MAGUMA sana."
 
Safi sana fagio linaendelea kupita👇👇
---

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, viongozi waliotenguliwa ni kama ifuatavyo:-

i. B.i Zuhura Sinare Muro, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na Mhandisi Peter Rudolph Ulanga, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).

ii. Brigedia Jenerali Mstaafu Yohana Ocholla Mabongo, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Posta Tanzania na Bw. Maharage Aly Chande, Postamasta Mkuu, Shirika la Posta Tanzania.

iii. Prof. John Nkoma, Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) na Bi. Justina Tumaini Mashiba, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF).
kutumbuliwa kwa maharagwe kumefurahisha wengi sana.
 
Sikubaliani nawe kwenye NAFASI KUTANGAZWA. Hakuna kitu fisadi anakipenda kama kutangaza nafasi, na wahusika wagombee au waombe. Kwa sababu Fisadi silaha yake kubwa ni pesa, na wanazo. Kwa hiyo mfumo huo wanauwezo mkubwa wa kupenyeza watu wao na wakawahudumia wao sio wananchi. Kwani hao mawaziri si walichaguliwa na wananchi, huku nafasi za majimbo yakitangazwa. Wakapita kwa kutumia pesa.

China ilitupilia mbali huo mfumo, kwa sababu ukiwa na masikini wengi kama nchi zetu ni balaa tupu. Urusi alicheleweshwa na hayo, sasa wanarudi kule kule.

Leo tunajua bei za ubunge na nafasi nyingine tofauti zinazotangazwa na wenye nia wakaomba.

Narudia msemo wa Nyerere "Watanzania wana majibu RAHISI kwa maswali MAGUMA sana."
CEO wa mashirika kuna shida gani wakiomba wakafanyiwa public interview?
 
Hapa kuna mchezo tunachezewa wa kisaikolojia. Hawa matapeli wana ajenda yao ya Siri.

Nape na makamba jr hawajatolewa kwasababu za kiutendaji wametolewa ili waanze kuingia mtaani kufanyia utekelezaji zoezi la kutengeneza kura kwaajiri ya uchaguzi ujao.
Siamini
Ila Muda utaongea ngoja tuone
 
Shida ni hivi: Hizo Public interview si public kama unavyofikiri. Wanaoendesha interview wamelipwa ili wachague mtu wanaompenda wao a.k.a Fisadi. Utakuwa umeokoa nini? Ni kama uchaguzi mkuu vile!
No kwenye kujieleza watu wataona live kama wakenya wanavyofanya
 
Back
Top Bottom