Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Mimi, nikiwa kama mwenyekiti wa ukoo natamka yafuatayo-kwanza kabisa huruhusiwi kutoa tamko,maagizo,wala kutoa amri yoyote kwa niaba ya ukoo, pili, bado utabakiwa na haki ya kutoa maoni nje ya vikao rasmi vya ukoo,,hata hivyo maoni yako hayatazingatiwa isipokuwa kwa ridhaa yangu tu,tatu, maagizo,maamuzi,amri, na chochote ulichoamua kwa niaba ya ukoo, kuanzia tarehe hii ya leo kitachukuliwa kama null and void,hayatatambulika wala kuzingatiwa na wana ukoo, vilevile, kamati tendaji ya ukoo itakutana haraka iwezekanavyo kwa hatua zaidi dhidi yako.Asiyemkubali mama akapimwe akili, tulimuona mpole au haelewi kinachoendelea kumbe yupo zaidi ya makini mama ana kura yangu na ukoo wangu
Mwenyekiti wa ukoo.