Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Bado hujasema Hadi useme 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C9xUJt7IW0m/?igsh=bXJ4azI1cTgwMXZv
Ndiyo nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hujasema Hadi useme 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C9xUJt7IW0m/?igsh=bXJ4azI1cTgwMXZv
Majangili haswaCCM ndo wezi namba moja.
Ndo ujinga CCM waliotupandikiza kwa wengi wetu.Siongelei hela na magari kwa mtu binafsi. Maharage kwao wako poa long time wala hategemei kazi za serikali kuishi poa.
Naongelea human capital na tapping potential.
Watanzania wengi mbona kila kitu mnaishia kuangalia pesa nyumba na magari?
Ubaya wake, jitu likiingia madarakani likijua litatenguliwa muda wowote, litaiba kwa pupa sana. Ni ngumu kutenda kwa uzalendo akijua muda wowote nyasi zinaota. hasa jamii ya mtu mweusi.Nimeupenda huu utaratibu wa kutengua tengua, hii inasaidia sana kutokujisahau madarakani!
Mbarawa na Masauni wanafanya nini cha maana? lakini huwezi kuona wametenguliwaUpumbavu wake uko wapi? Kusema ukweli ndo umwite mpumbavu? Kama unanufaika na hii tabia ya kutengua wa bara tu, kaa kimya. Wengine inatuumiza, tumeamua kusema.
wapi, liniWote si wamempongeza nape na kumtakia Kila la kheri wacha wakapongezane huko huko.
Ukijiona unatumia neno kutumbua ....mara flani katumbuliwa sijui Rais anatumbua ujue wewe una vimelea vya.....wewe ni maskini mlalahoi, wewe ni mmoja kati ya majinga jinga majuha ambayo ni mtaji mkubwa wa ccm, wewe una roho mbaya........wewe ni jobless, wewe una kazi ambayo mishahara haikutani, wewe ni mwajiriwa wa halmashauri.......
Kama wengi tunawaza pesa na magari basi jua ndiyo jamii yetu ilivyo. Usilazimishe jamii flani ifate maisha ya jamii nyingine. Kama wengi tunapenda pesa na magari basi hao wachache watakuwa collateral damage.Ni kweli asilimia kubwa watanzania Wana waza hela, nyumba na magari.
hawa elewi influence ya mtu ina pungua, aidha moja kwa moja au kwa njia yoyote Ile.
siasa si teuzi tu, ila ni long game plan hapo kasha anza kuchafua kitabu isije muharibia Baadae.
Kina Maharage wapo kwenye system kwa vizazi, tangu enzi za Nyerere. Maharage huyu alikuwa CEO wa Multichoice kabla ya kuingia serikalini.Anategemea "system" kuishi poa...
Mitanzania aina yako hamna jema. Kwahiyo hata mtu akiharibu amuache kisa tu ataonekana aanateua na kutengua?Nadhani hii kuteua na kutengua hapo mama Samia anaona ndo kufanya kazi.... Huyu mama Kila nikikumbuka kwamba ndio rais wangu nakata tamaa kabisa.....
Ndiyo sababu, haiwezekani kuwa ni coincidenceWote si wamempongeza nape na kumtakia Kila la kheri wacha wakapongezane huko huko.