Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siempre SSH[emoji2956]Ndio vyeo vya uteuzi vilivyo......mnafanya kazi kwa hisani ya mteuaji.
Only baba yake Magabe ndo imeniuma, I personally know him.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu MkuuKiongozi Balozi Dk.t Moses Kusiluka, viongozi waliotenguliwa ni kama ifuatavyo:-
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
1. Bi Zuhura Sinare Muro, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na Mhandisi Peter Rudolph Ulanga, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).
2. Brigedia Jenerali Mstaafu Yohana Ocholla Mabongo, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Posta Tanzania na Bw. Maharage Aly Chande, Postamasta Mkuu, Shirika la Posta Tanzania.
3. Prof. John Nkoma, Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) na Bi. Justina Tumaini Mashiba, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF).
Pia soma; UTEUZI: Maharage Chande aondolewa TTCL, ateuliwa kuwa Postamasta, Ulanga arudishwa TTCL
Chizi unamtupa na makopo yakeMpiga mwing has a very thin skin. Yani watu kutoa pongezi tu anawatimua? She couldn't stoop lower.
Kwani unakaa mazingira ya karibu na jalalaa?Chizi unamtupa na makopo yake
Ukiyaacha makopo anaweza asiondoke
Nimezungumzia kwa namna nyingine kilichotokea kwenye tenguziKwani unakaa mazingira ya karibu na jalalaa?
Aisee..
Hapa tunasema "Wanakulitafuta Wanakulipata"na walilolipata linawatosha kwa viwango walivyostahili.
mtendaji mkuu alikuwa ni kiazi, periodManina, hivi kwa nini hawakupata muda wa kutafakari hilo bango?
Kwahiyo hao jamaa kesho wanabaki home masikini... Hawaendi Job!Hapa tunasema "Wanakulitafuta Wanakulipata"na walilolipata linawatosha kwa viwango walivyostahili.
Ila chakujiuliza kwanini wote hao na kwapamoja hapo bado wapo ambao hawakuguswa,kuna nini,walikuwa na bond nzito sanaa au kukataa matokeo ya uamuzi uliofanywa.Vinginevyo nitafananisha na siasa za taifa moja kiuubwa duniani,Baada ya babu kutema bungo wapo viongozi washirika wanufaika wa babu walituma salamu za pongezi,isije kuwa ni kuponzwa na copy&paste?mtendaji mkuu alikuwa ni kiazi, period