Utenguzi: Maharage Chande wa Posta, Ulanga wa TTCL na Justina Mashiba wa UCSAF watumbuliwa

Utenguzi: Maharage Chande wa Posta, Ulanga wa TTCL na Justina Mashiba wa UCSAF watumbuliwa

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu MkuuKiongozi Balozi Dk.t Moses Kusiluka, viongozi waliotenguliwa ni kama ifuatavyo:-

1. Bi Zuhura Sinare Muro, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na Mhandisi Peter Rudolph Ulanga, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).

2. Brigedia Jenerali Mstaafu Yohana Ocholla Mabongo, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Posta Tanzania na Bw. Maharage Aly Chande, Postamasta Mkuu, Shirika la Posta Tanzania.

3. Prof. John Nkoma, Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) na Bi. Justina Tumaini Mashiba, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF).

Sharifa B. Nyanga
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu

View attachment 3050160
Pia soma; UTEUZI: Maharage Chande aondolewa TTCL, ateuliwa kuwa Postamasta, Ulanga arudishwa TTCL
- Could there be a problem with our vetting systems? These hirings and firings hazitaonekana kama signs za incompetence on part of appointing authority?
P
 
Wewe unampongeza vipi na kumpa asante mtu ambaye amefukuzwa kazi na boss wako? Kwani unajua kamfiukuza kwa kazi gani? Huu ulikuwa utovu wa nidhamu na dharau kuwa wewe humtaki ila sisi tulimpenda!

Hakika Nape na Makamba have what we call curse!
 
IMG-20240723-WA0183.jpg
 

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu MkuuKiongozi Balozi Dk.t Moses Kusiluka, viongozi waliotenguliwa ni kama ifuatavyo:-

1. Bi Zuhura Sinare Muro, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na Mhandisi Peter Rudolph Ulanga, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).

2. Brigedia Jenerali Mstaafu Yohana Ocholla Mabongo, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Posta Tanzania na Bw. Maharage Aly Chande, Postamasta Mkuu, Shirika la Posta Tanzania.

3. Prof. John Nkoma, Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) na Bi. Justina Tumaini Mashiba, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF).

Sharifa B. Nyanga
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu

View attachment 3050160
Pia soma; UTEUZI: Maharage Chande aondolewa TTCL, ateuliwa kuwa Postamasta, Ulanga arudishwa TTCL
Hii ni kutokana na kile kikao cha juzi cha hao wakurugenzi kugawana posho au?
 
Yeye na boss wake walitakiwa kua jela. Hasara walizoingizia taasisi za umma walizokua wakiongoza hazielezeki.

Ni mabingwa wa kuanzisha miradi isiyo na kichwa wala miguu ili wapige 10% waondoke.

Chande na Makamba wakiwa Tanesco walianzisha miradi hewa inayoitwa Grid Imara, wakatangaza tenda 30 ndani ya mwaka mmoja za zaidi ya trilioni 4. Wakasaini mikataba wameacha wakandarasi hawajalipwa hata 10 kwa sababu serikali imeshindwa kuendana na mahitaji makubwa ya kuwalipa wakandarasi 30 kwa wakati mmoja wa umeme ambao wanadai zaidi ya Trilioni 4.

Makamba hakuishia hapo, akahamia mambo ya nje, akaanzisha mradi wa ujenzi wa vitega uchumi kwenye balozi zetu Duniani kote eti ili tuwe tunapangisha huko tunapata fedha, nia yake ni apate 10% ya watu watakapoewa tenda ya ujenzi wa hayo majengo ale aondoke.

Mama asiishie kuwatumbua tu, wafikishwe mahakamani pia.
Aseeehhhh
 
Back
Top Bottom