Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Bado Mwigulu tunataka aliwe kichwa mapema sana kabla mwezi haujaisha..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
- Could there be a problem with our vetting systems? These hirings and firings hazitaonekana kama signs za incompetence on part of appointing authority?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu MkuuKiongozi Balozi Dk.t Moses Kusiluka, viongozi waliotenguliwa ni kama ifuatavyo:-
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
1. Bi Zuhura Sinare Muro, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na Mhandisi Peter Rudolph Ulanga, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).
2. Brigedia Jenerali Mstaafu Yohana Ocholla Mabongo, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Posta Tanzania na Bw. Maharage Aly Chande, Postamasta Mkuu, Shirika la Posta Tanzania.
3. Prof. John Nkoma, Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) na Bi. Justina Tumaini Mashiba, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF).
Pia soma; UTEUZI: Maharage Chande aondolewa TTCL, ateuliwa kuwa Postamasta, Ulanga arudishwa TTCL
Nafikiri ni tatizo la kazi za serikali... Naomba kuuliza ikiwa umetenguliwa hakuna jema hata moja ulishawahi kufanya linalohitaji Asante wakati ukiwa ofisini?Hawakusoma alama za nyakati,yaani bosi wako anatengua wewe unapongeza..!
Maharagee chande anaruka rukaaa hata kama kuruka kwa maharage ndo kuivaa kwenyewee hii too muchh..Dahh...kuna watu hapo hawajamaliza hata mwaka kwenye nafasi zao.....ila kuna Mwamba Mmoja hapo ana saikolojia ya hatari.
Hawa waliwasifiaa kina napeee sasa walidhani mama ni wa mchezo mchezoo..!!Anapunguza kasi ya upigaji
Si mnajua uchaguzi uko karibu,
Hii ni kutokana na kile kikao cha juzi cha hao wakurugenzi kugawana posho au?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu MkuuKiongozi Balozi Dk.t Moses Kusiluka, viongozi waliotenguliwa ni kama ifuatavyo:-
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
1. Bi Zuhura Sinare Muro, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na Mhandisi Peter Rudolph Ulanga, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).
2. Brigedia Jenerali Mstaafu Yohana Ocholla Mabongo, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Posta Tanzania na Bw. Maharage Aly Chande, Postamasta Mkuu, Shirika la Posta Tanzania.
3. Prof. John Nkoma, Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) na Bi. Justina Tumaini Mashiba, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF).
Pia soma; UTEUZI: Maharage Chande aondolewa TTCL, ateuliwa kuwa Postamasta, Ulanga arudishwa TTCL
Na wao wajiandikie tangazo la kujipongeza kutenguliwa sasa
AseeehhhhYeye na boss wake walitakiwa kua jela. Hasara walizoingizia taasisi za umma walizokua wakiongoza hazielezeki.
Ni mabingwa wa kuanzisha miradi isiyo na kichwa wala miguu ili wapige 10% waondoke.
Chande na Makamba wakiwa Tanesco walianzisha miradi hewa inayoitwa Grid Imara, wakatangaza tenda 30 ndani ya mwaka mmoja za zaidi ya trilioni 4. Wakasaini mikataba wameacha wakandarasi hawajalipwa hata 10 kwa sababu serikali imeshindwa kuendana na mahitaji makubwa ya kuwalipa wakandarasi 30 kwa wakati mmoja wa umeme ambao wanadai zaidi ya Trilioni 4.
Makamba hakuishia hapo, akahamia mambo ya nje, akaanzisha mradi wa ujenzi wa vitega uchumi kwenye balozi zetu Duniani kote eti ili tuwe tunapangisha huko tunapata fedha, nia yake ni apate 10% ya watu watakapoewa tenda ya ujenzi wa hayo majengo ale aondoke.
Mama asiishie kuwatumbua tu, wafikishwe mahakamani pia.