Utenguzi: Maharage Chande wa Posta, Ulanga wa TTCL na Justina Mashiba wa UCSAF watumbuliwa

Utenguzi: Maharage Chande wa Posta, Ulanga wa TTCL na Justina Mashiba wa UCSAF watumbuliwa

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu MkuuKiongozi Balozi Dk.t Moses Kusiluka, viongozi waliotenguliwa ni kama ifuatavyo:-

1. Bi Zuhura Sinare Muro, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na Mhandisi Peter Rudolph Ulanga, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).

2. Brigedia Jenerali Mstaafu Yohana Ocholla Mabongo, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Posta Tanzania na Bw. Maharage Aly Chande, Postamasta Mkuu, Shirika la Posta Tanzania.

3. Prof. John Nkoma, Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) na Bi. Justina Tumaini Mashiba, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF).

Sharifa B. Nyanga
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu

View attachment 3050160
Pia soma; UTEUZI: Maharage Chande aondolewa TTCL, ateuliwa kuwa Postamasta, Ulanga arudishwa TTCL
Kumekucha
 
Hakuna cha mchezo. Atulie afanye kazi na aachane na personalities.

Kumtumbua mtu kwa kumshukuru aliyetoka sio sahihi! Hizo ni roho za kishetani na zinakuonesha kuwa you are not competent.

Kuna shida mahali. It's either anazungukwa na watu ambao sio sahihi au she is incompetent.

Hili la kubadili wakuu wa TISS 4 in 3 years tu ni a very serious red flag.

Samia atulie. Anajipa pressure unnecessary!
Hizo hisia zako,wewe kwa akili zako timamu hao ttcl wana tija gani,yan hata vocha tu hawana huku mitaani ulitaka wasitumbuliwe ili iweje,watu wametuma maombi ya internet cable yao mwaka wa 3 sasa hawajawaunganishia,hao shwai ndio wale mshahara unaingia mwisho wa mwezi hawajali majukumu yao
 
This is war


Seems walikuwa wanamzingua mama
Hapana. Atulie tu. Hakuna wa kumzingua. Ni kuendekeza personalities tu badala ya masuala ya msingi.

Kama kuna mtu anazingua basi ni huyu Mwigulu aliyeshindwa kusimamia uchumi dola hazipatikani na kuna inflation ya kutisha ya bidhaa! Ila hajatumbuliwa na hadi sasa ni Waziri wa Fedha!

Mwingine labda Nape kwa kauli aliyotoa. Ila hawa Wakurugenzi hawana shida yeyote. Kumshukuru mtu kwa utumishi wake ni suala la kawaida sana kwenye dunia iliyostaarabika.
 
Acha uongo! Kuna watu wanaendelea kupukutishwa soon
Wale wa TCRA na TTCL walioandika mabango ya pongezi kwa Nape unadhani Peter Ulanga au Justina Mashiba wako salama? 😁
Wale walio karibu na Janaury Makamba na timu yake ambao wamekuwa kutwa nzima ni kumbrand kuliko Rais wenyewe na wale Mawaziri marafiki zake Mfano mapingili akiponea hapa baaasi hatarudia upuuzi wa kumbrand Mtanga mwenzake,

Account za bwana mmoja ambaye ana 81B alizokuwa akibadilisha kwa dollars kama njugu wamei freeze hapo kwenye Ngamia mchangani


Kwa kifupi mambo si mambo hapa ikulu


Britanicca
Kuna alodanganya kwenye Uzi fulan nikamwambia
 

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu MkuuKiongozi Balozi Dk.t Moses Kusiluka, viongozi waliotenguliwa ni kama ifuatavyo:-

1. Bi Zuhura Sinare Muro, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na Mhandisi Peter Rudolph Ulanga, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).

2. Brigedia Jenerali Mstaafu Yohana Ocholla Mabongo, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Posta Tanzania na Bw. Maharage Aly Chande, Postamasta Mkuu, Shirika la Posta Tanzania.

3. Prof. John Nkoma, Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) na Bi. Justina Tumaini Mashiba, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF).

Sharifa B. Nyanga
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu

View attachment 3050160
Pia soma; UTEUZI: Maharage Chande aondolewa TTCL, ateuliwa kuwa Postamasta, Ulanga arudishwa TTCL
Kama mtu mzima lazima nijiulize, je kuna nini kinaendelea? Hii hatari! Je kuna watu walikuwa wanatembeza mafaili na pengine watu waliramba teuzi fake/premature - kabla ya vetting? AU ndo kutengua hili waanze kutangaza nafasi za wajumbe wa bodi na watu wapiganie kama ilivyo tangazwa na msajiri wa mashirika ya umma
 

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu MkuuKiongozi Balozi Dk.t Moses Kusiluka, viongozi waliotenguliwa ni kama ifuatavyo:-

1. Bi Zuhura Sinare Muro, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na Mhandisi Peter Rudolph Ulanga, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).

2. Brigedia Jenerali Mstaafu Yohana Ocholla Mabongo, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Posta Tanzania na Bw. Maharage Aly Chande, Postamasta Mkuu, Shirika la Posta Tanzania.

3. Prof. John Nkoma, Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) na Bi. Justina Tumaini Mashiba, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF).

Sharifa B. Nyanga
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu

View attachment 3050160
Pia soma; UTEUZI: Maharage Chande aondolewa TTCL, ateuliwa kuwa Postamasta, Ulanga arudishwa TTCL
kUNA POST HUKO x WALIKUWA WANAMPONGEZA NAPE KWA KUFANYA NAYE KAZI.. THIS MIGHT B THE REASON i GUESS
 
Mkuu hapa kwetu pesa ni first prioroty personal character and personality badaye, wewe huoni watu wazima wanafanya uchawa wa kujidhalilisha kisa pesa, ma professor ma dakitari kisa uteuzi......
I was being abstract.

Yani nimefanya derivation kwa Pure Math halafu umeleta hesabu za Basic Applied Math.
 
Maharage hana cha kupoteza,kapiga pesa vibaya mno huyo jamaa
Ana cha kupiteza, kikubwa sana.

Tatizo Tanzania watu mnaangaliabkila kitu kwa pesa.

Kashaharibu CV yake anaonekana mtu wa kuharibu haribu na kufujuzwa kila anapokwenda.

Akitaka kufanya kitu kikubwa na watu wanaonielewa, hilo linaweza kuwa tatizo.

Ila, sitegemei Watanzania wengi waelewe hilo.

Kwa sababu, kama ulivyosema wewe, akili zao zinaishia kwenye kuangalia pesa tu.
 
Back
Top Bottom