Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikute kuna muhuni mmoja tu alitoa maelekezo haya yafanyike. Ameingiza ofisi zote kwenye shidaMakosa Yao hao Yapo kwenye Uchawa Mama anataka Kukomesha Uchawa hahahahah
😅😅😅
Ukimletea Uchawa Tu unakula Thank yu..
Wote waliokula Thank Yu walimpongeza Nape na kumshukuru..😅
HII VITA NI KUBWA SANA KUPONGEZA KUMEWAPONZA INAONEKANA MAMA ANA HASIRA NA NAPE SANA View attachment 3050201
View attachment 3050202
View attachment 3050201View attachment 3050202View attachment 3050208View attachment 3050209View attachment 3050210View attachment 3050211
Alkua anadanganya eti wametolewa Kwa purpose ya kutengeneza ilani ya 2025-2030.......mambo yamejipa tayar😅😅😅Kuna alodanganya kwenye Uzi fulan nikamwambia
Mama sikuhizi ameshajua kilahizi kazi za kuteuliwa miyayusho tu mda wowote unaliwa kichwa 😅😅
Jana jioni walibadilisha tangazo laoNaona matangazo yanafanana
Ni kweli asilimia kubwa watanzania Wana waza hela, nyumba na magari.Siongelei hela na magari kwa mtu binafsi. Maharage kwao wako poa long time wala hategemei kazi za serikali kuishi poa.
Naongelea human capital na tapping potential.
Watanzania wengi mbona kila kitu mnaishia kuangalia pesa nyumba na magari?
hawezi kukuelewa hapa.I was being abstract.
Yani nimefanya derivation kwa Pure Math halafu umeleta hesabu za Basic Applied Math.
Inafikirisha sana, jamaa PS alikuwa mtendaji mzuri sana, maybe aliingia circle ya watoto wa town wakamfundisha umafia.Kwa sasa unaweza kupata uteuzi serikalini kutoka private, ukafikiri umeula, kumbe ndiyo career yako inaenda kufa.
Look at Maharage Chande.
😅😅😅Usikute kuna muhuni mmoja tu alitoa maelekezo haya yafanyike. Ameingiza ofisi zote kwenye shida
Mkuu Acha upumbavuMaza ana hasira balaa, huwezi kuona amegusa wateule wa Zanzibar na Pwani
Aisee.. hii imenipita. Nipe LinkWote si wamempongeza nape na kumtakia Kila la kheri wacha wakapongezane huko huko.
Ukiingia serikalini ushaingia kwenye nfumo wa ki Mafia, kukubali appointment tu ni setting yourself for failure.Inafikirisha sana, jamaa PS alikuwa mtendaji mzuri sana, maybe aliingia circle ya watoto wa town wakamfundisha umafia.