Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
P duniani ndio mwendo,hirings and firings hasa pale penye uwajibikaji wa kweli wa kizalendo.Ila vipi P,hata pale posta hufiti kwa kuwakuna kauhusiano na mambo ya mawasiliano vile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
P duniani ndio mwendo,hirings and firings hasa pale penye uwajibikaji wa kweli wa kizalendo.Ila vipi P,hata pale posta hufiti kwa kuwakuna kauhusiano na mambo ya mawasiliano vile.
Eti unakula thank you[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Makosa Yao hao Yapo kwenye Uchawa Mama anataka Kukomesha Uchawa hahahahah
[emoji28][emoji28][emoji28]
Ukimletea Uchawa Tu unakula Thank yu..
Wote waliokula Thank Yu walimpongeza Nape na kumshukuru..[emoji28]
HII VITA NI KUBWA SANA KUPONGEZA KUMEWAPONZA INAONEKANA MAMA ANA HASIRA NA NAPE SANA View attachment 3050201
View attachment 3050202
View attachment 3050201View attachment 3050202View attachment 3050208View attachment 3050209View attachment 3050210View attachment 3050211
Mama kacharuka. Wanaotumbuliwa kama ni wale wamepata hizo nafasi kwa michongo na kishikaji na hawana weledi au sio waadilifu ni jambo zuri. Sisi tunawajua kipara na nape. Hao nao kama ni aina moja basi mama anafanya kazi japo kachelewa sana kuwajua hawa binadamu.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu MkuuKiongozi Balozi Dk.t Moses Kusiluka, viongozi waliotenguliwa ni kama ifuatavyo:-
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
1. Bi Zuhura Sinare Muro, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na Mhandisi Peter Rudolph Ulanga, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).
2. Brigedia Jenerali Mstaafu Yohana Ocholla Mabongo, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Posta Tanzania na Bw. Maharage Aly Chande, Postamasta Mkuu, Shirika la Posta Tanzania.
3. Prof. John Nkoma, Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) na Bi. Justina Tumaini Mashiba, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF).
Pia soma; UTEUZI: Maharage Chande aondolewa TTCL, ateuliwa kuwa Postamasta, Ulanga arudishwa TTCL
Huwa nasema kule juu kuna watu ni maboss lakini akili ndogo kishenzi. Unawezaje kufanya hivyoBado kuna watu watawapongeza hao waliotenguliwa leo😂😂
Walisaini hilo tangazo au ni maafisa habari walipokea maagizo kutoka kwa nape baada ya utenguziJamaa wamejichanganya kummshukuru boss wao wa zaman
Huyu bogas tayari kashaanza kuwatumia watu wake kumpongeza. Tusubiri mtaona scene zake huyu msanii.
Huyu bogas tayari kashaanza kuwatumia watu wake kumpongeza. Tusubiri mtaona scene zake huyu msanii.
Anategemea "system" kuishi poa...Siongelei hela na magari kwa mtu binafsi. Maharage kwao wako poa long time wala hategemei kazi za serikali kuishi poa.
Naongelea human capital na tapping potential.
Watanzania wengi mbona kila kitu mnaishia kuangalia pesa nyumba na magari?
Hii nchi imefika pabaya sana. Saivi tumehamia kwenye personalities
Huwa nasema kule juu kuna watu ni maboss lakini akili ndogo kishenzi. Unawezaje kufanya hivyo
Basi ahamie kwa machawa wadogo baada ya kuwapa thank you wala kwa kamba MaPapaEti unakula thank you[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Thubutuasije kuleta shida 😀 😀 😀 🙄 😀😀