Utenguzi: Maharage Chande wa Posta, Ulanga wa TTCL na Justina Mashiba wa UCSAF watumbuliwa

Utenguzi: Maharage Chande wa Posta, Ulanga wa TTCL na Justina Mashiba wa UCSAF watumbuliwa

Makosa Yao hao Yapo kwenye Uchawa Mama anataka Kukomesha Uchawa hahahahah
[emoji28][emoji28][emoji28]
Ukimletea Uchawa Tu unakula Thank yu..

Wote waliokula Thank Yu walimpongeza Nape na kumshukuru..[emoji28]

HII VITA NI KUBWA SANA KUPONGEZA KUMEWAPONZA INAONEKANA MAMA ANA HASIRA NA NAPE SANA View attachment 3050201
View attachment 3050202


View attachment 3050201View attachment 3050202View attachment 3050208View attachment 3050209View attachment 3050210View attachment 3050211
Eti unakula thank you[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu MkuuKiongozi Balozi Dk.t Moses Kusiluka, viongozi waliotenguliwa ni kama ifuatavyo:-

1. Bi Zuhura Sinare Muro, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na Mhandisi Peter Rudolph Ulanga, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).

2. Brigedia Jenerali Mstaafu Yohana Ocholla Mabongo, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Posta Tanzania na Bw. Maharage Aly Chande, Postamasta Mkuu, Shirika la Posta Tanzania.

3. Prof. John Nkoma, Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) na Bi. Justina Tumaini Mashiba, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF).

Sharifa B. Nyanga
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu

View attachment 3050160
Pia soma; UTEUZI: Maharage Chande aondolewa TTCL, ateuliwa kuwa Postamasta, Ulanga arudishwa TTCL
Mama kacharuka. Wanaotumbuliwa kama ni wale wamepata hizo nafasi kwa michongo na kishikaji na hawana weledi au sio waadilifu ni jambo zuri. Sisi tunawajua kipara na nape. Hao nao kama ni aina moja basi mama anafanya kazi japo kachelewa sana kuwajua hawa binadamu.
 
Siongelei hela na magari kwa mtu binafsi. Maharage kwao wako poa long time wala hategemei kazi za serikali kuishi poa.

Naongelea human capital na tapping potential.

Watanzania wengi mbona kila kitu mnaishia kuangalia pesa nyumba na magari?
Anategemea "system" kuishi poa...
 
Huwa nasema kule juu kuna watu ni maboss lakini akili ndogo kishenzi. Unawezaje kufanya hivyo

nafikiri hiyo ni modus operandi ya nape, alivyotumbuliwa na Magu alikuja pia na gari tena la serikali kutaka kuhutubia kuonyesha umwamba, sasa kafanya tena na siajabu alishapanga nao kwani alijua kwamba siku zake zinahesabika …
 
Mpiga mwing has a very thin skin. Yani watu kutoa pongezi tu anawatimua? She couldn't stoop lower.
 
Back
Top Bottom