Huyu pesa aliopiga inamtosha hata asipo pata uteuzi tena anaishi vizuri na v8 model 2024 full tank 24/7Kwa sasa unaweza kupata uteuzi serikalini kutoka private, ukafikiri umeula, kumbe ndiyo career yako inaenda kufa.
Look at Maharage Chande.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu pesa aliopiga inamtosha hata asipo pata uteuzi tena anaishi vizuri na v8 model 2024 full tank 24/7Kwa sasa unaweza kupata uteuzi serikalini kutoka private, ukafikiri umeula, kumbe ndiyo career yako inaenda kufa.
Look at Maharage Chande.
Walikuwa wanaiba pamojaMaharage alihama na Makamba kutoka TANESCO.
Katumbuliwa Makamba naye kaliwa kichwa.
Aisee!.
Maza anataka wazanzibar pekeeHii nchi imefika pabaya sana. Saivi tumehamia kwenye personalities
Hili nimeamini Leo hahahah wamejifanya Kuumia na Nape na kuleta Uchawa wakula KambaKama kazi inakushinda kaa pembeni mama harembi haangalii sura
Jamani, huyu mama amekuwa paranoidNilijua tu, baada ya taarifa zao za kumpongeza nape na kumtakia kila la heri baada ya kutumbuliwa nakahisi lazima vichwa vitaliwa hapa, na kweli vimeliwa. Afu na zile post zao za kumpongeza nape wameshafuta.
Siongelei hela na magari kwa mtu binafsi. Maharage kwao wako poa long time wala hategemei kazi za serikali kuishi poa.Huyu pesa aliopiga inamtosha hata asipo pata uteuzi tena anaishi vizuri na v8 model 2024 full tank 24/7
Wazanzibari wanatafutiwa ajira huku TanganyikaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu MkuuKiongozi Balozi Dk.t Moses Kusiluka, viongozi waliotenguliwa ni kama ifuatavyo:-
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
1. Bi Zuhura Sinare Muro, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na Mhandisi Peter Rudolph Ulanga, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).
2. Brigedia Jenerali Mstaafu Yohana Ocholla Mabongo, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Posta Tanzania na Bw. Maharage Aly Chande, Postamasta Mkuu, Shirika la Posta Tanzania.
3. Prof. John Nkoma, Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) na Bi. Justina Tumaini Mashiba, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF).
Pia soma; UTEUZI: Maharage Chande aondolewa TTCL, ateuliwa kuwa Postamasta, Ulanga arudishwa TTCL
🤣😁😁View attachment 3050179
View attachment 3050203
View attachment 3050205
View attachment 3050206
Mie namtengua wewe unamwambia asante na shukurani, unajifanya kiziwi kama chura eeh!
Upungufu wa nidhamu,Hawakusoma alama za nyakati,yaani bosi wako anatengua wewe unapongeza..!
Wangeziacha tuone viwango vya nidhamu.Nilijua tu, baada ya taarifa zao za kumpongeza nape na kumtakia kila la heri baada ya kutumbuliwa nakahisi lazima vichwa vitaliwa hapa, na kweli vimeliwa. Afu na zile post zao za kumpongeza nape wameshafuta.
Ukiona bi mkubwa kishausoma mchezoDu baaada ya mshikaji wake kupigwa chin naona maharage chande nae anakwenda kula maharage home
Ndo mana mzungu alituita nyani. Hizi roho za kishetani tusahau maendeleoHawakusoma alama za nyakati,yaani bosi wako anatengua wewe unapongeza..!
Mkuu hapa kwetu pesa ni first prioroty personal character and personality badaye, wewe huoni watu wazima wanafanya uchawa wa kujidhalilisha kisa pesa, ma professor ma dakitari kisa uteuzi......Siongelei hela na magari kwa mtu binafsi. Maharage kwao wako poa long time wala hategemei kazi za serikali kuishi poa.
Naongelea human capital na tapping potential.
Watanzania wengi mbona kila kitu mnaishia kuangalia pesa nyumba na magari?
Maharage hana cha kupoteza,kapiga pesa vibaya mno huyo jamaaKwa sasa unaweza kupata uteuzi serikalini kutoka private, ukafikiri umeula, kumbe ndiyo career yako inaenda kufa.
Look at Maharage Chande.
Hakuna cha mchezo. Atulie afanye kazi na aachane na personalities.Ukiona bi mkubwa kishausoma mchezo
This is warBeans ana shida gani na January? Mbona upepo wao unavuma na kuzama pamoja kila mara