Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nchi imefika pabaya sana. Saivi tumehamia kwenye personalitiesYaani kumshukuru mtu kwa Utumishi wake napo ni kumkosea Mh Rais?
Huu sasa ni uoga.
Unless otherwise kuwepo na something serious.
Yeye na boss wake walitakiwa kua jela. Hasara walizoingizia taasisi za umma walizokua wakiongoza hazielezeki.Du baaada ya mshikaji wake kupigwa chin naona maharage chande nae anakwenda kula maharage home
Raisi anatengua wewe unapongeza ??Kosa lao kumpongeza Nape Mauya
Walioko chini ya Nape waote wameondoka.Inaknekana hawa jamaa wameiba sana hadi wakatimuliwa wote kuanzia waziri na wakurugenzi wataasis hizo
Kosa lao kumpongeza Nape Mauya
Wamekuwa wanamdhalilisha sana,,lakini hata baada yakuwatebgua walianza juwasiliana kwa sumu nakupeana pole na kuahidi watane delea kusimamia miradi Yao ya upigaji.Wakati wanaongea yote hao kumbe yakawa yanafuatiliwa kwenye mitandao ndo maana wote wameondoka.Waswahili wakikudharau I akuwa shida sanaWamemfanyia nini huyu mama mbona ghafla hataki kuwasikia kabisa.
Bora utafute ugomvi na mtu mkorofi unajua reaction, kuliko mtu mpole wakikasiruka uwa wanarudi vibaya sana utashangaa.
Ni Drama tu hizo za Bitozo 🤣🤣🤣Wamemfanyia nini huyu mama mbona ghafla hataki kuwasikia kabisa.
Bora utafute ugomvi na mtu mkorofi unajua reaction, kuliko mtu mpole wakikasiruka uwa wanarudi vibaya sana utashangaa.
Manina, hivi kwa nini hawakupata muda wa kutafakari hilo bango?View attachment 3050179
Mie namtengua wewe unamwambia asante!
Jamaa wamejichanganya kummshukuru boss wao wa zamanWapambe alionao mama safari ni balaaa,ukijaaa tu wanasemelea
Utenguzi.
View attachment 3050167
Sio udhihirisho wa bond waliyokuwanayo enzi za huyo mwamba.Kama aliharibu maana yake walimuunga mkono ama?View attachment 3050179
Mie namtengua wewe unamwambia asante!