Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Yule na yule waziri wa vitoweo ni masinchi hatari, yule wa vitowewo alipokuwa naibu,alimsagia kunguni waziri hadi waziri akaondolewa, yeye akapandishwa cheo.Hili nakuunga mkono. Yule jamaa anadumu Kwa umbea.