Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Tumia earphones unaisikia vyemaNimeiona clip lkn maneno hayasikiki vema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia earphones unaisikia vyemaNimeiona clip lkn maneno hayasikiki vema.
Huyu dada ana dharau kubwa mno. Ile ilikuwa 40 yakeHuyo dada Kemikimba hata kama ni home BK ni mjinga sana! Hastahili kuwa kiongozi kabisa.
Namjua. Mpumbavu sanaHuyu dada ana dharau kubwa mno. Ile ilikuwa 40 yake
Ndicho kilichotokea, na yale maneno ya aweso alipopanda jukwaani ndio yakamaliza kabisa.Alionesha udhaifu wa kiuongozi jukwaani. Waziri ikabidi amuombe radhi yeye badala ya kumuombea radhi.
Wakati anahutubia aliletewa kimemo na mtu mmoja pale jukwaani. Akakereheka akafedheheka akakitupa kile kimemo na kuzira kuendelea na hotuba akisema wasimletee utani utani. Inaonekana kimemo kimetoka kwa Waziri labda
Nadhani kushindwa kwake kujidhibiti ama kudhibiti hasira kumepelekea rais kuondoa imani kwake
Kimemo kimeenda kubonyeza panic button kwa Katibu Mkuu kisha Mwanasiasa akaja kugongelea jeneza for exitNdicho kilichotokea, na yale maneno ya aweso alipopanda jukwaani ndio yakamaliza kabisa.
Hata huyo nae, hadi leo kashindwa kuleta maji hata hapo karibu Mwanza, palipo na ziwa Victoria tu, bali wamebakia na ' mbambamba' za ahadi tupu za kisiasa huku wananchi wanaendelea kutaabika Kwa karaha ya shida ya maji.....kazi kwelikweli.Aweso effect.
Ana dharau sana huyo mama. Tuliofanya kazi nae tumekesha bar tukilewa kushangilia kuondolewa kwake.What happened kwa huyu Mama wa maji?
Kaolewa?Hiyo imekuja kuhitimisha ya nyuma. Huyo mama ana dharau, hasira na kiburi sana. Hashauriki wala kumsikiliza mtu hata kwenye jambo lenye tija. Hapaswi kupewa mamlaka makubwa ya kuongoza watu.
Huyo wa nyumbani kwenu kabisa sijui ni kaisiki wa wilaya ipi,ila wanadai ni mtu wa msimamo sana ...kiutaalam ni mkemiaNamjua. Mpumbavu sana
Tatizo la Mwanza ni miundombinu mibovu ya usafirishaji Maji! Maji mengi yanamwagika Mtaani!Hata huyo nae, hadi leo kashindwa kuleta maji hata hapo karibu Mwanza, palipo na ziwa Victoria tu, bali wamebakia na ' mbambamba' za ahadi tupu za kisiasa huku wananchi wanaendelea kutaabika Kwa karaha ya shida ya maji.....kazi kwelikweli.