Utenguzi: Rais Samia atengua nafasi za Viongozi wafuatao

Acheni chuki za kidini.
Wewe ni mpumbavu! Hakuna hata mmoja anayepewa madaraka kwenda kuwatumikia wanadini wenzake badala ya Watanzania

Dini dini hizi' ziishie kwenye milango ya kuabudia tuu' mitaani wote ni Watanzania" dini zinachelewesha saana na zina magomvi kibao na sio za kubembeleza hizi! Mtu akileta fyoko akihusisha dini, tafahari afyekwe haraka sana! Dini ni kama mafuta ya petrol!
 
Sijakuelewa ww m*vi... unamjibu nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…