Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wanaenda Kutoa swalaaaa au kuwatumikia wananchi?Toa makafir tuweke wa dini yetu
Tukitoka makanisani na Miskitini, sote tujione ni Watanzania na tunapaswa kuijenga nchi yetu bila kuangalia majina yetu'Toa makafir tuweke wa dini yetu
Tunaweka dini yetu. Hao wote ni makafir.
Tunaweka dini yetu. Hao wote ni makafir.
Ruangwa, LindiDC wa Mbarali afikishwa mahakamani kwa ufisadi wa tsh 200 milioni
Mkuu wa wilaya ya Mbarali amepandishwa kizimbani mkoani Lindi DC alifisadi Fedha za kuchimba Visima alipokuwa akihudumu kama DED wa Ruangwa Jimboni kwa Waziri mkuu mh Majaliwa Source ITV habariwww.jamiiforums.com
Sio mimi bali chawa fulani mkuuUmaskini huo. Ungekuwa na pesa usingewaza hivyo. Tafuta pesa kijana
Tunaweka dini yetu. Hao wote ni makafir.
Tunaweka dini yetu. Hao wote ni makafir.
Wewe ni mpumbavu! Hakuna hata mmoja anayepewa madaraka kwenda kuwatumikia wanadini wenzake badala ya Watanzania
Dini dini hizi' ziishie kwenye milango ya kuabudia tuu' mitaani wote ni Watanzania" dini zinachelewesha saana na zina magomvi kibao na sio za kubembeleza hizi! Mtu akileta fyoko akihusisha dini, tafahari afyekwe haraka sana! Dini ni kama mafuta ya petrol!
TAKUKURU inafanya kazi sana msimu huu. Wakikudaka huchomoki kirahisi, wameondoa ule uzembe.Reuben Mfune anakesi Ruangwa alipokua DED anadaiwa kupiga 200 Mil. Kinyume na utaratibu, hao wengine pia wana vimeo TAKUKURU
Bora muweke tu hao wa dini yenu...vijana wa kigalatia siku hizi wamekuwa wapigaji balaa.Tunaweka dini yetu. Hao wote ni makafir.
Wenzetu katika imaniNafasi zao zitashikwa na wafuatao
Bwana Idd Mrisho
bwana Juma Khamis
bi husna Rajabu
Na bi Shamsa nasoro
Jamani, nabashiri tuu
Dini dini hizi' ziishie kwenye milango ya kuabudia tuu' mitaani wote ni Watanzania
Hivyo ni vidagaa tu!Watu wanamdharau mama eti siyo mkali. Wanasahau kuwa alishaweka wazi kwamba makuzi na Imani yake havimuruhusu kumfokea mtu mzima, na kwamba yeye anatumia kalamu. Huwezi kufanya Kazi za utawala majukwaani, huko ni kutafuta political popularity ambayo Rais wa nchi haiitaji kwa sababu tayari ni popular kwa nafasi yake. Mama yuko kazini wanaobisha wataendelea kuumia tu.
Wa Sumbawanga licha ya madudu yote ila Sio PM au Kinana Wala Rais wanaoweza kumtengua..
Toa upuuzi wako hapa. Umejaa fikra za udini tu.Nafasi zao zitashikwa na wafuatao
Bwana Idd Mrisho
bwana Juma Khamis
bi husna Rajabu
Na bi Shamsa nasoro
Jamani, nabashiri tuu
Kuna mkutano wa viongozi wa Afrika huko kaendaSijaelewa
Dakar
24 January 2023
Hio Dakar Ina maana gan?
Hiyo moja ya kumi umewapa kubwa sana mkuuTAKUKURU inafanya kazi sana msimu huu. Wakikudaka huchomoki kirahisi, wameondoa ule uzembe.
Ila kazi waifanyayo TAKUKURU ni 1/10 ya kazi wanayotakiwa fanya.
Bado halmashauri na taasisi nyingi za serikali zina ubadhirifu.
Takukuru iongezewe nguvu zaidi kifedha, vifaa.