Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

Habari zenu wadau, naomba mnielekeze hospital nzuri ya magonjwa ya wanawake ili niweze kumpeleka mgonjwa akapatiwe huduma. Niko mkoa wa pwani
Ukimpeleka Mgonjwa wako Hospitali kwa ajili ya Tiba ya Fibroid atafanyiw aoperesheni lakini baada ya miak 2 itarudi tena hiyo Fibroid ukitaka dawa ya kumaliz akabisa hiyo fibrois pasipo na kufanya operesheni mimi ninayo nitafute kwa wakati wako nikupatie dawa ya kutumia pasipo na kufanya operesheni. Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
Mimi nna tatizo la Fibroids kubwa mbili na ndogo ndogo nyingi. Sahv nna ujauzito wa Miezi Minne Dr kasema hv uwezekano wa Mimba kutoka ni mkubwa sana vile vile kama isipotoka basi nitazaa Mtoto Premature. Je naweza pata dawa ili niokoe mtoto wangu? MziziMkavu
 
TATIZO LA UVIMBE KWENYE KIZAZI NA TIBA YAKE.
By Dokta Mathew

Siku hizi kuna ongezeko kubwa sana la tatizo la uvimbe kwenye kizazi kwa akina mama ama wanawake wengi.

Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la uzazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi (ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.
Kuna aina tatu za fibroids:
1.Submucosal fibroids (ndani ya kizazi)
2.intramural fibroid (ndani ya nyama za kizazi)
3. Subserosal (nje ya kizazi)

Ni watu gani wenye hatari ya kupata fibroids
1. Mwanamkehajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2. Miaka kuanzia kubarehe mpaka hedhi kukoma
3. Kurithi
4. Uzito wa juu au Unene
5. Kuingia hedhi mapema

Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubarehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini. Na mara nyingi uvimbe huu waga unaongezeka kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani
vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda
makazi ya mtoto.
Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids au kitaalam leomyoma.

Dalili za fibroids
1.Kutokwa damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi.
2. Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya au ambao hauna harufu lakini mwingi na mweupe.
3. Maumivu ya kiuno hasa wakati wa hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe, wengi hupata maumivu makali sana.
4.Tumbo kuuma sana chini ya kitovu.
5. Hedhi zisizokuwa na mpango
6. Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7. Kukosa hamu ya tendo la ndoa
8. Maumivu makali wakati wa hedhi
Uvimbe unapokua mkubwa unaweza kusababisha dalili zifuatazo.
1.Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo
2.Mkojo kubaki kwenye kibofu cha mkojo (U.T.I isiyokoma)
3.Haja kuwa ngumu
4. Miguu kuvimba
5. Kupungukiwa damu

Jinsi fibroids zinavyoweza kuzuia kupata mtoto:
1.Fibriods zikikua sana zinakandamiza mishipa ya kupitisha mayai kutoka kwenye kiwanda yaani ovaries

2.Uvimbe pia unazuia yai lililorutubishwa kujishikiza kwenye kizazi, hasa submucosal fibroids

3. Pia huzuia mfuko wa kizazi kukaza kusukuma mbegu kwenda kwenye mishipa ya kupitisha mayai.

______
Tunakuhakikishia kuwa na afya njema zaidi ukiitunza na kuihudumia afya yako kwa vyakula na bidhaa za tibalishe daima.
 
Mwambie mwenzio usimfiche
Huwenda mama mkwe wako mtafajiwa anajuwa mti shamba[emoji849] wa kukutibu.
Btw Pole sana
 
Watu wa miti shamba kweli kwa hili msaada wenu ni wamuhimu.

But ushauri wangu, tafuta mtoto mapema.
 
Hebu wasiliana na huyu doctor 0686527039 alimsaidia sana mke wangu kwa shida kama hiyo, anaweza kukusaidia
 
Mama yangu mdogo alikua na Fibroids zilimsumbua Sana... Alifanyiwa op lakini zikawa zinarudi, akapata Dawa za kienyeji akapona.

Sasa tatizo Ni kwamba alishafariki... Ndo maana naamini Kuna Dawa out there

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu..wife anacase kama yako...tumeangaika na dawa ya mitishamba mwaka na nusu sasa bila mafanikio...tumeamua kurudi kwa specialist sasa...

appointment ni kesho kuanza process za operation....ushauri wangu kwako bora ufate ushauri wa dactari wako tu..huku kwingine ni mateso na kupoteza mda na pesa.
 
Asante mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu heshima.

Tuna watoto wawili tayari, wife ana tatizo la fibroids mbili kwenye nyumba ya uzazi. Solution ni operation ya kutoa viuvimbe au uzazi kabisa. Ushauri please kwa wataalam humu. Thanks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…