Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

Tunaona hili tatizo sasa hivi kwa sababu tuko na advance technology kama ni fibroids hii iko sana kwa blacks kuliko whites na kuna cases za wanawake kuwa nazo ambao hata hawajawahi kutumia contraceptives wala cosmetics na kuna wanawake wanatumia contraceptives na wala hawa zipati mpk wanakufa uzeeni. Whites wanatumia sana madawa lakini hili tatizo kwao ni dogo sana
 

Usicheke Madame, hiyo inaitwa black and white..
macastle light yanawamaliza...muanze kunywa JD na JW πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
We jamaa bhana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbabe sana
Cha mwisho kuna western agenda against the black women ,kwa sababu ndio wanabeba mimba wanazaa, so kuna agenda ya kama kuwakomoa ili wapunguze vizazi vya watu weusi ndio maana hizo untested and unregistered medicines zinakuja kwa wingi. Hawa watu hawana jema ,na hivi wanasema wanatuletea cheap medecines kulingana na uchumi wetu. Ndipo wanapoanzia kutuuwa kimya kimya. Kuna haja ya viongizi wa kiafrica kuwekeza kwenye swala la afya kwa ujumla kuliko kuwaachu hawa wenzetu wa magharibi. Wawekeze kwenye miundombinu ya afya kuanzia maabara na wataalam. Hatuwezi kuwa independent wakati kiuchumi na kiafya tunakua tegemezi. Nchi zilizotawaliwa na wafaransa wanategemea Institut Pasteur ya Ufaransa na matawi yake kuwanyia vipimo, na zilizotawaliwa na UK nao pia wanategemea UK based companies. Hawa watu wote wako ethically bound kulinda maslahi ya wakubwa zao na si host countries. Kuna mengi mazito nyuma ya pazia.
 
Kweli kabisa tatizo la uvimbe tumboni kwa wanawake imekuwa ni case inayojitokeza sana katika nyakati hizi. Chanzo kikubwa ni matumizi ya njia za uzazi wa mpango wa kisasa. Wataalamu wanadai side effects ni maudhi madogo madogo lakini nafikiri ingekuwa vyema mambo yawekwe wazi tu ili mwanamke anayeamua kutumia atumie akijua nini kinafuata baada ya muda fulani.

Cha kusikitisha zaidi hadi mabinti ambao hawajaanza kupata watoto wanaamua kujiingiza huko lengo likiwa ni kuzuia ujauzito, Unatumia njia za uzazi wa mpango hata mtoto mmoja huna una panga nini? Hata hizi changamoto za kutafuta watoto muda mrefu bila mafanikio katika ndoa baadhi zimechangiwa na matumizi ya hizi njia + illegal abortion.
 
sana asee nakumbuka kuna nyakati nilikua tz nikaenda kwa project mikoa flan flan hali kule mbaya asee watoto wanahimizwa hayo madude mashuleni kabisa kuzuia upatikanaji mimba holela

Hali mbaya sana mbeleni

Wanameza tu kiholela bila kujua side effects au labda kwa mwezi/mwaka mtu ameze ngapi wao wana bugia tu kila siku.

Mbaya zaidi wanaona hizo za kuzuia mimba hazitoshi, bado wana meza na vidonge vya kuzuia/kukata hedhi. Ni tafrani kwa kweli kwa hawa watoto walioamua kutafuta kipato kwa kutumia kati kati katika huu uchumi wa kati.
 
Kitu pekee tu ninachokijua ni kwamba 99.999% ya Wanawake 'Warembo' na pia ni 'Maarufu' nchini ndiyo wanaongozwa Kuingiliwa Kinyumenyume.
Hayo ni mawazo yako ya kifedhuli.
Kuingiliwa kinyume kwa unao wafahamu wewe kuna uhusiano gani na uvimbe kwenye kizazi(fibroids).
Usitangulize hisia zako potofu katika mambo ya kidaktari.
 
Kama hauna uelewa juu ya jambo flani,ni vizuri ukakaa kimya wanaojua wakajibu then ukapata elimu[emoji848]

Stupid ni wapi nimekuamuru au nimewaamuru kuwa mkiamini nilichokisema? Sasa kama Mimi sina uhakika Wewe uhakika wako uko wapi tuuone?
 
Hayo ni mawazo yako ya kifedhuli.
Kuingiliwa kinyume kwa unao wafahamu wewe kuna uhusiano gani na uvimbe kwenye kizazi(fibroids).
Usitangulize hisia zako potofu katika mambo ya kidaktari.

Mbona 'umepovuka' sana Mkuu? au 'Masela' walishawahi kupita nawe kwa huo Mfumo mzima wa Gari kupitia barabara ya Vumbi yenye Miba sana?
 
Jana nilikuwa hosp nimekuta kijana wa kiume tumbo limevimba anasumbuliwa na uvimbe kwenye Ini. Jee uvimbe wa kwenye ini chanzo ni kitu gani?
 
Mbona 'umepovuka' sana Mkuu? au 'Masela' walishawahi kupita nawe kwa huo Mfumo mzima wa Gari kupitia barabara ya Vumbi yenye Miba sana?
Usipoteze mada na muda kwa mifano yako ya kihuni isiyo na tija.
Kama hujui udaktari kaa kimya na ueleweshwe.
Kujitia mjanja kwa utaalam wako wa mapito ya nyuma kunakupunguzia hadi mtandaoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…