Kwani sio wewe uliyeandika haya,Hivi unakijua kweli ulicho kiandka mkuu,embu tulia afu rudia kusoma nilichokiandika then angalia na ulichokiandka...
Ninawasiwasi na wewe either akili yako au elimu yako....
56% Hayo ni matokeo ya wanawake kutumia njia za kisasa kupanga uzazi na
40% wengi wao wanahistoria ya kutoa mimba na 4% ni sababu nyingine
Kubali tu kuwa you are morally WRONG.Swine.
Kujifanya mjuaji kwani lazima kilakitu uandikMitazamo ya Mtu haina mipaka Pumbavu.
Bora umwambieKubali tu kuwa you are morally WRONG.
Wanaoumwa ni mama zetu, dada zetu au watoto mabinti zetu, huo ugonjwa wa wa fibroids.
Kuhusisha huo ugonjwa na ulawiti ni morally irresponsible,
Mbaya zaidi kuwa adamant inakupelekea kuwa an idiot mbele za jamii!
Asante mkuu.Haya ni mambo ya kitaalam jamani siyo kila mtu anayafahamu. Tuache ujuaji.
Sisi uvimbe kwenye ini ni tumboni, uvimbe kwenye figo ni tumboni, uvimbe kwenye utumbo mdogo au mpana ni tumboni.
Haya magonjwa kila ugonjwa au uvimbe unasababu zake. Hakuna sababu za jumla jumla. Ndio maana kuna tafiti za kitaalam.
Tuwe makini kujadili haya magonjwa. Wapo wataalam waliosomea haya jamani hizi sio siasa.
Wao utani wa kwenye mpira na siasa wanauleta hata kwenye mambo ya kitaalam.Asante mkuu.
Knowledge is power.
Kuna members wanaji expose kuwa hiyo power ya knowledge imewapitia pembeni.
Kuna member aliwahi kuandika kuwa kuna watu wanaonekana ni werevu, lakini wakiongea tu, heshima yote inapotea.
Wewe ndiyo nimekuelewa Sasa..maana huko juu watu wamen'gan'gana na mavidonge na uzazi wa mpango na Kuna watu nawajua hawajawahi Tumia ivyo vitu na hizo chemicals lakini wamepata hizo vimbe.Kuchelewa kuzaa, kuzaa watoto wachache au kutozaa kabisa ndio sababu. Watawa husumbuliwa sana na vivimbe. Repeated rupture ya ovary wakati wa ovulation ndio risk factor. Hivyo hizo njia za uzazi wa mpango ki ukweli zinapunguza viuvimbe sababu nyengine zinazuwia ovulation.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hujawahi chanjwa? Hebu acha kututisha watu tuna watt wachanga na bado chanjo hajamaliza. Tunawaombea Mungu atawafanya wawe vichwa na sio mikiaInawezekana hata wewe umeathirika na uzazi wa mpango mkuu,kwa hiyo usishangilie sana.Nimesema vidonge vya mpango vinachangie watoto wanaozaliwa kufa,au hata wasizaliwe kabisa wafie tumboni au hata wakizaliwa wakikua wawe na tabia zisizoeleweka.Je,wewe una tabia zinazoeleweka?Huvall suruali matakoni?Sio muasi kwa jamii na wazazi wako nk.?Mkuu kama mama yako aliwahi kutumia hivyo vidonge,lazima umeathirika na wewe.Athari ni mpaka kizazi cha NNE kutoka kwa mtumiaji wa kwanza.Na kumbuka kama hukufa tumboni kuna janga lingine ulikumbana nalo, chanjo.Uzazi wa mpango na chanjo vinapokezana vijiti.Wamehakikisha kwamba kama ulipona vidonge utakumbana na chanjo,so they have you covered.Haya mambo ukifahamu undani wake yanatisha sana.
Kwani sio wewe uliyeandika haya,
King Sae said:
...Ila tusisahau bandugu hao wanao tumia madawa ndo wale baadhi tunao wala tunda kimasihara wakijaga kwnye magheto yetu au wale tunaowabembeleza adi mtoto wa watu huruma inamuingia anakupa tunda afu akitoka apo anaenda kubugia hayo madawa..." Ni ya mtu mzima kweli haya,acha hizo wewe.
Natoa mfano kwa Americans wengi wanatumia hizo contraceptives sawa lakini effect inaonekana kwa blacks ambao ina relate na genetics. Kwenye magonjwa kuna causes nyingi sana contraceptives inawezekana ikawepo au isiwepo na pia inategemea mtu na mtu.Je, waamini unachokitumia wewe kina ubora sawa na wakitumiacho whites? Pia kumbuka kuna long term impacts. Vile vile
sio kila uvimbe kisababishi ni contraceptives.
Na hiii kitu hawawezi kuwaelimisha watu wanaogopa ongezeko la watu mbona sigara wameandika kabisa ni hatari kwa afya yako unaamua kuacha au kutumia sidhani kama kuna ma dr wanawake hasa hawa wa magonjwa ya kina mama kama wanatumiaga hii kitu sidhaniNiliwahi ambiwa yakwamba madonge masindano nanjia zote ambazo sio zakutumia kalenda kuzuia mimba zinapelekea haya matatizo nandio maana hata waathirika wake wengi nikina mama(wanawake)
kiufupi njia zauzazi wampango(zakisasa)ambazo sio kufuata kalenda(mpangilio wasiku kwawanawake) nihatari sana kwamama zetu nawanawake kwaujumla nahazifai
Nilidhani ni mchina!Shida ni kwamba wanawake wengi ni watumiaji Wa madawa na sindano za uzazi Wa mpango lakini kingine cha hatari zaidi kinachosababisha kidonda kitoe usaha kisipone inawezekana huyu Dada alimeza vidonge vya kujichubua hivyo kufanya seli za mwili kufa na kushindwa kujijenga anyway labda pia wanapomfanyia upasuaji wanamuachia viuzi vimesimama ila sizani kama Mara tano unaweza sahau kutoa nyuzi vizuri kila Nina wasiwasi asilimia kubwa itakuwa alimeza kidonge awe mweupe peeee
yah kabisa MKUU walitakiwa waandike ila kwauwepo wa ma dr wanaotumia hizo ishu zamadawa wapo tena naamini watakua wengi wanatumiaNa hiii kitu hawawezi kuwaelimisha watu wanaogopa ongezeko la watu mbona sigara wameandika kabisa ni hatari kwa afya yako unaamua kuacha au kutumia sidhani kama kuna ma dr wanawake hasa hawa wa magonjwa ya kina mama kama wanatumiaga hii kitu sidhani
Hizo p2 maximum kama sikosei sijui ni mara moja kwa mwaka. Na huruhusiwi kumeza kama hujawahi kuzaa . wanachostahili kujua watumiaji wa hizi njia za uzazi wa mpango ni kwamba ziba very bad effects kwenye mfumo mzima wa uzazi kuanzia kwenye mfumo wa mawasiliano na ubongo,level of production ya mbezi, na mfumo mzima . na mbaya zaidi wanatumia kwa kuambizana kati yao na si kuuliza wataalamP2 nazo mwanamke akimeza Sana zinasababisha ugumba chakushangaza madada duu daily kuvimeza ka njia ya uzazi wa mpango
Pointi naisapport as kuna namfahamu alipimwa akakutwa na hili tatizo na ni bikra on her 30'sKuchelewa kuzaa, kuzaa watoto wachache au kutozaa kabisa ndio sababu. Watawa husumbuliwa sana na vivimbe. Repeated rupture ya ovary wakati wa ovulation ndio risk factor. Hivyo hizo njia za uzazi wa mpango ki ukweli zinapunguza viuvimbe sababu nyengine zinazuwia ovulation.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kubali tu kuwa you are morally WRONG.
Wanaoumwa ni mama zetu, dada zetu au watoto mabinti zetu, huo ugonjwa wa fibroids.
Kuhusisha huo ugonjwa na ulawiti ni morally irresponsible,
Mbaya zaidi kuwa adamant inakupelekea kuwa an idiot mbele za jamii!
Kujifanya mjuaji kwani lazima kilakitu uandik
Kama melo amekuajiri andiika Basi ya maana SI unakurupuka Kama umefumaniwa
Sio kila uzi ujibu Kama huna utaalamu
Eti mawazo yaheshimiwe hayo uliyoandika NI mawazo au utopolo