Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

Hivi unakijua kweli ulicho kiandka mkuu,embu tulia afu rudia kusoma nilichokiandika then angalia na ulichokiandka...

Ninawasiwasi na wewe either akili yako au elimu yako....
Kwani sio wewe uliyeandika haya,
King Sae said:
...Ila tusisahau bandugu hao wanao tumia madawa ndo wale baadhi tunao wala tunda kimasihara wakijaga kwnye magheto yetu au wale tunaowabembeleza adi mtoto wa watu huruma inamuingia anakupa tunda afu akitoka apo anaenda kubugia hayo madawa..." Ni ya mtu mzima kweli haya,acha hizo wewe.
 
56% Hayo ni matokeo ya wanawake kutumia njia za kisasa kupanga uzazi na
40% wengi wao wanahistoria ya kutoa mimba na 4% ni sababu nyingine

umetoa wapi takwimu..???????????????
 
Haya ni mambo ya kitaalam jamani siyo kila mtu anayafahamu. Tuache ujuaji.

Sisi uvimbe kwenye ini ni tumboni, uvimbe kwenye figo ni tumboni, uvimbe kwenye utumbo mdogo au mpana ni tumboni.

Haya magonjwa kila ugonjwa au uvimbe unasababu zake. Hakuna sababu za jumla jumla. Ndio maana kuna tafiti za kitaalam.

Tuwe makini kujadili haya magonjwa. Wapo wataalam waliosomea haya jamani hizi sio siasa.
 
Asante mkuu.
Knowledge is power.
Kuna members wanaji expose kuwa hiyo power ya knowledge imewapitia pembeni.
Kuna member aliwahi kuandika kuwa kuna watu wanaonekana ni werevu, lakini wakiongea tu, heshima yote inapotea.
 
Asante mkuu.
Knowledge is power.
Kuna members wanaji expose kuwa hiyo power ya knowledge imewapitia pembeni.
Kuna member aliwahi kuandika kuwa kuna watu wanaonekana ni werevu, lakini wakiongea tu, heshima yote inapotea.
Wao utani wa kwenye mpira na siasa wanauleta hata kwenye mambo ya kitaalam.

Kuna watu wanapotoshwa humu, kwa michango isiyozingatia taaluma.
 
Wewe ndiyo nimekuelewa Sasa..maana huko juu watu wamen'gan'gana na mavidonge na uzazi wa mpango na Kuna watu nawajua hawajawahi Tumia ivyo vitu na hizo chemicals lakini wamepata hizo vimbe.
 
Wewe hujawahi chanjwa? Hebu acha kututisha watu tuna watt wachanga na bado chanjo hajamaliza. Tunawaombea Mungu atawafanya wawe vichwa na sio mikia
 

Bado unanipa wasiwasi zaid mkuu....

Polee sanaa.
 
Je, waamini unachokitumia wewe kina ubora sawa na wakitumiacho whites? Pia kumbuka kuna long term impacts. Vile vile
sio kila uvimbe kisababishi ni contraceptives.
Natoa mfano kwa Americans wengi wanatumia hizo contraceptives sawa lakini effect inaonekana kwa blacks ambao ina relate na genetics. Kwenye magonjwa kuna causes nyingi sana contraceptives inawezekana ikawepo au isiwepo na pia inategemea mtu na mtu.
Kwa mfano Kuna baadhi ya contraceptives wengine wakitumia wananenepa na wengine hawaongezeki chochote.
Hata cancer na kidney diseases tunaambiwa ni Coz of lifestyles na diet ndio maana cases zinaongezeka ila kuna vijiji nimeenda watu hawajui hata chips wako na natural environment na hata ukienda na gari wanakushangaa lakini still nilikutana na cases za cancer na hata kidney disease mpk kwa watoto wa below 10 years.
Hii dunia ukiwa mzima shukuru Mungu na tuache kunyooshea watu vidole kuwa walifanya hivi ndio maana wanaumwa bali tushukuru Mungu na tuzidi kumuomba atupe uzima.
 
Na hiii kitu hawawezi kuwaelimisha watu wanaogopa ongezeko la watu mbona sigara wameandika kabisa ni hatari kwa afya yako unaamua kuacha au kutumia sidhani kama kuna ma dr wanawake hasa hawa wa magonjwa ya kina mama kama wanatumiaga hii kitu sidhani
 
Nilidhani ni mchina!
 
Sasa kama mpenzi wangu mwaka jana wakati tunamaliza NECTA alimeza P2 ili asipate mimba, unategemea nini uko mbeleni. That time alikuwa na 19 yrs na kashaanza hayo matumizi.

Kwingine watu wanadai vipodozi na njia za kisasa za uzazi wa mpango. Ila mi naongeza viwe feki au bei nafuu. Bongo tunatumia bidhaa za ovyo sana na zinaruhusiwa. Nenda Kariakoo utakutana na viodozi copy za famous brands. Hizo kina Nivea na Johnson ni za uongo.

Hata dawa zetu zina ubora pungufu, linganisha ARVs za bongo na za duniani. Magic Johnson angetumia hizi za kwetu hatungekuwa naye hata kama angekula magunia ya soya na mapipa ya maziwa.
 
Na hiii kitu hawawezi kuwaelimisha watu wanaogopa ongezeko la watu mbona sigara wameandika kabisa ni hatari kwa afya yako unaamua kuacha au kutumia sidhani kama kuna ma dr wanawake hasa hawa wa magonjwa ya kina mama kama wanatumiaga hii kitu sidhani
yah kabisa MKUU walitakiwa waandike ila kwauwepo wa ma dr wanaotumia hizo ishu zamadawa wapo tena naamini watakua wengi wanatumia

Nna mama angu mdogo aliwahi ozesha mwanawe ila hakumridhia mume ss katika safaf safar alikuja kusomea udokta UCHINA tukaonana kupiga stori nikamuuliza c* tayar mambo akasema bado maana mume mwenyewe haeleweki(hapa nilijiongeza tu kama p2 ama njia yauzazi wampango ilitumika)

Haya mauzazi yampango ynatakiwa yapigwe maeufuku basi tuuu.....
 
P2 nazo mwanamke akimeza Sana zinasababisha ugumba chakushangaza madada duu daily kuvimeza ka njia ya uzazi wa mpango
Hizo p2 maximum kama sikosei sijui ni mara moja kwa mwaka. Na huruhusiwi kumeza kama hujawahi kuzaa . wanachostahili kujua watumiaji wa hizi njia za uzazi wa mpango ni kwamba ziba very bad effects kwenye mfumo mzima wa uzazi kuanzia kwenye mfumo wa mawasiliano na ubongo,level of production ya mbezi, na mfumo mzima . na mbaya zaidi wanatumia kwa kuambizana kati yao na si kuuliza wataalam
 
Hii
Pointi naisapport as kuna namfahamu alipimwa akakutwa na hili tatizo na ni bikra on her 30's
Hospitali akaambiwa hiyo ndio sababu
 
Kubali tu kuwa you are morally WRONG.
Wanaoumwa ni mama zetu, dada zetu au watoto mabinti zetu, huo ugonjwa wa fibroids.
Kuhusisha huo ugonjwa na ulawiti ni morally irresponsible,
Mbaya zaidi kuwa adamant inakupelekea kuwa an idiot mbele za jamii!

Stupid.
 
Kujifanya mjuaji kwani lazima kilakitu uandik
Kama melo amekuajiri andiika Basi ya maana SI unakurupuka Kama umefumaniwa
Sio kila uzi ujibu Kama huna utaalamu
Eti mawazo yaheshimiwe hayo uliyoandika NI mawazo au utopolo

Stupid.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…