Sanctus Mtsimbe
R I P
- Jul 14, 2008
- 1,820
- 1,032
myhem; Mkuu mimi si mganga; utakayoyakuta ni maelezo rahisi ni vipi unaweza kutumia chakula kama matunda, mboga nk kuondoa au kupunguza matatizo ya kiafya.Jamani nyie waganga wa kienyeji mtatumaliza sasa! Kweli hayo matatizo yote uliyoyaorodhesha kuna mtu atakosa kweli? Mbona mnataka kufaidika kupitia mapungufu yetu?
Ok, thanks mkuu..sounds helpful sio wale wengine utakuta...mvuto wa mpenzi,biashara,aliyepotea nk..pamoja
Sasa lugha kwenye blog haieleweki weken tafsri ya kiswahili
MadameX, the blog is not an expert blog, its just for information sharing. I just have researched some facts and have good information sources. Ninachoona kina umuhimu wa kushare na wadau, nafanya hivyo.Mmmh hauwezi kuwa Daktari na Wealth Expert at the same time...
Nice arranged
Hii ya kukoroma nitainunua kuna rafiki yangu anakoroma kama fiat
Asante ...Nitapita hukoMadameX, the blog is not an expert blog, its just for information sharing. I just have researched some facts and have good information sources. Ninachoona kina umuhimu wa kushare na wadau, nafanya hivyo.
haya wale wenye matatizo ya kindoa na kingono njooni hapa
Asante ...Nitapita huko
Pata majibu na maelezo ya maswali yafuatayo kutoka blog ya Afya Njema; Mafanikio Na Utajiri (www.mtsimbe.blogspot.com)
· Je Una Maumivi Ya Gouts (Viungo)?
· Je Una Maumivu Ya Uti Wa Mgongo?
· Je Una Tatizo la Kisukari?
· Je Una Upara?
· Je Ungependa Kuondoa Mabaka Mabaka Kwenye Ngozi?
· Je, Nywele Zako Zinanyonyoka?
· Je Una Fibroids Au Uvimbe Katika Kizazi?
· Je Una Matatizo Ya Kushika Mimba?
· Je Una Matatizo Na Siku Za Hedhi Au Maumivu?
· Jinsi Ya Kupunguza Unene
· Jinsi Ya Kuzuia Kumaliza Mapema
· Je Jogoo Wako Hapandi Mtungi?
· Je, Unapoteza Kumbukumbu?
· Je, Ungependa Kuondoa Michirizi Katika Ngozi?
· Jinsi Ya Kufanya Meno Yawe Meupe
· Jinsi Ya Kuondoa Makunyanzi Ya Ngozi
· Jinsi Ya Kufanya Matiti Yasimame (Yasilale)
· Jinsi Ya Kuondoa Nywele Usoni
· Je, Ungependa Kuwa Na Matiti Makubwa?
· Je Macho Yako Hayaoni Vizuri?
· Je, Una High Blood Pressure?
· Je Una Allergies Na Kitu Chochote?
· Jinsi Ya Kuondoa Vipele Vya Kunyoa Ndevu
· Jinsi Ya Kuondoa Chunusi Usoni
· Je Wewe Unakoroma Usiku Na Ungependa Uache?
Kwa maoni tuandikie: mtsimbe@gmail.com
Msimbe, wewe nawe ni tajiri? Nataka majibu kabla sifanya uamuzi wa kukutafuta ili nipate huo utajiri.
asante kuu nimepitia blog yako,hongera sana
Kuna dawa ya kukuza maumbile ya nanii?
Yaani mwanaume unakua mwanaume kikweli kweli!!
Karibu sana. Kama kuna info zozote unahitaji tujulishe. Au kama kuna kitu hakijaeleweka vema pia tujulishe.