Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

Jamani nyie waganga wa kienyeji mtatumaliza sasa! Kweli hayo matatizo yote uliyoyaorodhesha kuna mtu atakosa kweli? Mbona mnataka kufaidika kupitia mapungufu yetu?
myhem; Mkuu mimi si mganga; utakayoyakuta ni maelezo rahisi ni vipi unaweza kutumia chakula kama matunda, mboga nk kuondoa au kupunguza matatizo ya kiafya.

Kuhusu mafanikio katika maisha na utajiri maelezo yanafuata misingi ya ujumla ambayo kupitia hiyo wengi wamefanikiwa.

Mwishoni maelezo yote ni bure 100%. Its just for sharing.
 
Last edited by a moderator:
Ok, thanks mkuu..sounds helpful sio wale wengine utakuta...mvuto wa mpenzi,biashara,aliyepotea nk..pamoja

Mkuu Kiteitei; asante sana.

Mkuu mimi si mganga; utakayoyakuta ni maelezo rahisi ni vipi unaweza kutumia chakula kama matunda, mboga nk kuondoa au kupunguza matatizo ya kiafya.

Kuhusu mafanikio katika maisha na utajiri maelezo yanafuata misingi ya ujumla ambayo kupitia hiyo wengi wamefanikiwa.

Mwishoni maelezo yote ni bure 100%. Its just for sharing.
 
Last edited by a moderator:
Sasa lugha kwenye blog haieleweki weken tafsri ya kiswahili

Mkuu mbona lugha ni nyepesi sana. Kama kuna swala husika unapenda utafsiriwe, please niandikie. Muhimu ni kuwa kuna wadau katika nchi kama 15 wa EA ambao wanafuatilia hivyo inabidi kitumike Ki-Swanglish.
 
Mmmh hauwezi kuwa Daktari na Wealth Expert at the same time...
MadameX, the blog is not an expert blog, its just for information sharing. I just have researched some facts and have good information sources. Ninachoona kina umuhimu wa kushare na wadau, nafanya hivyo.
 
Last edited by a moderator:
Pata majibu na maelezo ya maswali yafuatayo kutoka blog ya Afya Njema; Mafanikio Na Utajiri (www.mtsimbe.blogspot.com)

· Je Una Maumivi Ya Gouts (Viungo)?
· Je Una Maumivu Ya Uti Wa Mgongo?
· Je Una Tatizo la Kisukari?
· Je Una Upara?
· Je Ungependa Kuondoa Mabaka Mabaka Kwenye Ngozi?
· Je, Nywele Zako Zinanyonyoka?
· Je Una Fibroids Au Uvimbe Katika Kizazi?
· Je Una Matatizo Ya Kushika Mimba?
· Je Una Matatizo Na Siku Za Hedhi Au Maumivu?
· Jinsi Ya Kupunguza Unene
· Jinsi Ya Kuzuia Kumaliza Mapema
· Je Jogoo Wako Hapandi Mtungi?
· Je, Unapoteza Kumbukumbu?
· Je, Ungependa Kuondoa Michirizi Katika Ngozi?
· Jinsi Ya Kufanya Meno Yawe Meupe
· Jinsi Ya Kuondoa Makunyanzi Ya Ngozi
· Jinsi Ya Kufanya Matiti Yasimame (Yasilale)
· Jinsi Ya Kuondoa Nywele Usoni
· Je, Ungependa Kuwa Na Matiti Makubwa?
· Je Macho Yako Hayaoni Vizuri?
· Je, Una High Blood Pressure?
· Je Una Allergies Na Kitu Chochote?
· Jinsi Ya Kuondoa Vipele Vya Kunyoa Ndevu
· Jinsi Ya Kuondoa Chunusi Usoni
· Je Wewe Unakoroma Usiku Na Ungependa Uache?

Kwa maoni tuandikie: mtsimbe@gmail.com

Msimbe, wewe nawe ni tajiri? Nataka majibu kabla sifanya uamuzi wa kukutafuta ili nipate huo utajiri.
 
Msimbe, wewe nawe ni tajiri? Nataka majibu kabla sifanya uamuzi wa kukutafuta ili nipate huo utajiri.

Haaaa haaa nutajiri mkuu si lazima uwe wa mali, bali hata wa moyon au mawazo. Information nyingi ziko based kwenye scientific proven principles ambazo waliofanikiwa wamepitia mapito hayo hayo. So si tajiri, wala si mganga na wala sina mafanikio makubwa, lakini naamini sharing is caring.
 
Back
Top Bottom