Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

Msimbe, wewe nawe ni tajiri? Nataka majibu kabla sifanya uamuzi wa kukutafuta ili nipate huo utajiri.
kwa haraka naweza sema ni tajiri!kama ameweza kuwa premium member tanzanite hapa JF ambayo fee yake ni 1million per year!basi si mlala hoi kama sie tunaoingia free hapa jf
 
kwa haraka naweza sema ni tajiri!kama ameweza kuwa premium member tanzanite hapa JF ambayo fee yake ni 1million per year!basi si mlala hoi kama sie tunaoingia free hapa jf

Mkuu kuwa tajiri ni mentality maana hakuna scale ya tajiri au masikini. Mimi si tajiri lakini principles za mafanikio zinaeleweka. To me its a matter of information sharing.
 
kwa haraka naweza sema ni tajiri!kama ameweza kuwa premium member tanzanite hapa JF ambayo fee yake ni 1million per year!basi si mlala hoi kama sie tunaoingia free hapa jf
Inferiority complexity..kama analog in kwa kutumia account ya mtu mwingine je? inabidi ufikirie nje ya box mkuu....mambo ya digitali usipime..ni mtizamo tu no offense,,,..!!!
 
Inferiority complexity..kama analog in kwa kutumia account ya mtu mwingine je? inabidi ufikirie nje ya box mkuu....mambo ya digitali usipime..ni mtizamo tu no offense,,,..!!!

hehehe etii? wabongo bana. Kwaio analog in kwa account ya mtu mwingine mwenye jina lake!?
Nani feki hapo sasa?
Frankly kuwa Tanzanite member is very commendable anastahili sana pongezi zake.
 
hehehe etii? wabongo bana. Kwaio analog in kwa account ya mtu mwingine mwenye jina lake!?
Nani feki hapo sasa?
Frankly kuwa Tanzanite member is very commendable anastahili sana pongezi zake.
that was a hypothetical question mkuu..no need to go hard on it..like they say..possibility doesnt mean its a probability..over..
 
Mi ningempata mtaalam anitengenezee dawa ya kimbelembele kwa ajili ya faby ningelipa pesa yeyote. Jamaa yangu ana kiherehere yule kama kuku kishingo
 
Last edited by a moderator:
Ni kazi nzuri umejitahidi kupita hapa na pale na umetupatia darasa. sasa kwa nn usingeandika kwa kiswahili ili akina kayumba waelewe. aafu kuna vitu/mimea hapa bongo haipo kabisaa ni vema utuambie vinapatikana wapi si lazima tukutumie email. Jf ni kusaidiana na si kutangaza biashara km wengine ambao wamegeuza hili jukwaa kuwa la matangazo yao.

umenielewa?

choba


 
wabongo noma kwa kukopi na kupasiti. hawa jamaa wakikukamata walahi wanakula kichwa chako.

http://www.homeveda.com/
Natural Ayurvedic Home Remedies for Baldness
Natural Ayurvedic Home Remedies for Erectile Dysfunction

haya bana mimi nilifikiri kuwa wewe ni mtaalamu kumbe unakusanya info na kutupatia hivo usije sema kuwa unautaalamu wowote.

Nimependa hii maana hata sisi tunaweza kuipata.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…