Utetetezi wa Sabaya, haupo kisheria, na pia unavunja kanuni za Kijasusi

Kwa umri wa Sabaya Rais agizo lake ni kutekeleza tu hakuna kushauriana ni ndio mkuu sawa mkuu basi. Sabaya kafanyiwa umakusudi na Samia na Watuwake hivyo tu.


Job descriptions yake inamaelekezo hayo??

Kisheria kijana mwenye miaka 18 ni mtu
 
Kwa umri wa Sabaya Rais agizo lake ni kutekeleza tu hakuna kushauriana ni ndio mkuu sawa mkuu basi. Sabaya kafanyiwa umakusudi na Samia na Watuwake hivyo tu.


Job descriptions yake inamaelekezo hayo??

Kisheria kijana mwenye miaka 18 ni mtu
 
Kwamba sabaya,magufuli,na mpango waliunda genge la kijambazi la kuua kutesa na kupora watu Mali zao!!


Hivyo ndivyo anajaribu Kueleza.


Kama ishu Ipo hivyo angepaswa asubiri Backup kutoka Kwa Wakubwa wake.

Lakini kama ndio Wale Vijana ambao wakiwa karibu na Rais wanawadharau wakubwa wengine basi kazi anayo
 


Kazi ya Mkuu WA wilaya ni kulazimisha watu kulipa Kodi??
 
Sabaya aliwahi kushitakiwa kwa kosa la kujifanya Afisa Usalama wa Taifa.

Na wakati huo alikuwa mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Arusha.

Sasa ukiniambia 7baya ni jasusi, ninapata mashaka kwamba inakuwaje jasusi ashitakiwe kwa kujifanya jasusi?


Inawezekana akawa jasusi na akashtakiwa Kwa Kwa ujasusi
 
Umeajiriwa na jamhuri au private na je uko kwenye shirika, SM au STK? Amiri jeshi unaijua mipaka yake na utisho wake kimaelekezo?


Hakuna mwenye mamlaka ya kumuamuru mtu afanye Uhalifu.
Hakuna aliyejuu ya sheria sijui kama unalijua Jambo Hilo.

Huyo aliyemuagiza mwenyewe Kama angekuwepo na Kama sheria zinatenda kazi vyema wote wanakesi ya kujibu
 
Hamna jasusi humo. Hakunaga ujasusi wa kindezi hivyo!
 


Ndio maana nikakuuliza, angeambiwa akalale na Mama yake au mwanaye angefanya Kwa vile kaambiwa na Rais??

Kuhusu mambo ya kimajukumu atapaswa atoe vielelezo vinavyothibitisha maneno yake.

Lakini mpaka sasa tayari yupo nyavuni
 


Mkuu pengine kuna Jambo hulielewi vyema.

Unapoambiwa anapewa Oda, lazima ujue anapewa Oda Kwa job descriptions yake na sio apewe Oda Kwa mambo yasiyomhusu hapo automatic anaingizwa mkenge.

Yaani mfano mtu sio Daktari alafu aambiwe aende akachome watu sindano hospitalini kisa ni Oda ya Rais naye anaenda kufanya kazi hiyo. Yakutolea madhara moja Kwa moja atakuwa na Kesi ya kujibu.

Kila Oda inamipaka yake kulingana na mtu na mtu.

Pia zingatia kuwa unapopewa Oda hasa yenye viashiria vya kuvunja sheria ambapo ni Uhalifu lazima uelewe kwenye matokeo wewe ndiye utakayehusika 100% kuliko aliyekutuma
 
Hakuna mwenye mamlaka ya kumuamuru mtu afanye Uhalifu.
Hakuna aliyejuu ya sheria sijui kama unalijua Jambo Hilo.

Huyo aliyemuagiza mwenyewe Kama angekuwepo na Kama sheria zinatenda kazi vyema wote wanakesi ya kujibu
Socialist states huwaga kuna deep state in a state
 
Angekuwa mjanja angerokodi mazungumzo yake na Magufuli kama ni kweli alikuwa anatumwa kufanya uhalifu. Unapotumwa na mtu yoyote yule kufanya uhalifu hakikisha una ushahidi ili baadaye asikuruke. Hii ni bima yako ya maisha ambayo ukipata matatizo itakulipa.
 
Yule mwenyekiti wa ccm Mwanzao Bwana Diallo alisemaje kama unakumbuka??? Acheni kutesa watu pasipo sababu za msingi mwone kama mtaumbuka,ila Sabaya angemtaja Mbowe au Lissu mngesema Sabaya ni shujaa amewafichua waovu,kwa mwendazake hapana kisa alikuwa rais,je rais hawezi kukosea katika maamuzi yake?Na hilo la uteuzi wa Sabaya na Bashite huoni kuwa rais wako alikuwa na mapungufu kwa kiasi fulani?
 
Tatizo la Jamaa ni ushamba,mtu mwenye akili hawezi kufanya uhalifu kwa kuacha alama kiasi hicho ikiwa ni kweli alikua mwanausalama basi ni ziro tu.
 
Socialist states huwaga kuna deep state in a state


Kwenye misheni za hatari mara nyingi ukikamatwa unajijua mwenyewe, huo ndio utaratibu.

Sio kutaja taja watu kijinga jinga.

Sijui kama unanielewa lakini.

Hata Kama serikali ndio imekutuma unapaswa ufanye Kwa akili, ukishikwa unajitetea kivingine kulinda Siri za Serikali.

Majasusi wanapofanya misheni zao hasa zile zilizokinyume na haki za binadamu Kama vile mauaji, ukatili, uporaji, NK.
Wakamatwapo hawatakiwi kutoa Siri ili kuilinda serikali isionekane inafanya mambo ya hovyo.

Kusema umetumwa na serikali tafsiri yake ni kuwa unaichafua serikali kimataifa.

Hapo alipaswa atafute mbinu zingine kisha waserikali wangejua namna ya kumtoa.


Yaani Kama ni mtihani wa usaili ili aingie kwenye vitengo nyeti vya usalama wa taifa, tayari Sabaya ka/-disqualify
 
Huyu Sabaya huenda akawaumbua wengi na hasa wahuju u uchumi wenye mitambo ya kutengeneza fedha, madawa ya kulevya na wakwepa Kodi...itabidi apewe ulinzi mkubwa huko mahabusu...siyo kesi nzuri kwa baadhi ya watu...
 


Mkuu hapa tunazungumzia yanayoendelea mahakamani kuhusu kesi inayomkabili Sebaya.

Hayo mengine tutajadili siku nyingine
 
Mtamalizana wenyewe,sisi hatujui yote hayo mnayoyaongea ni ushahidi tosha kuwa mwendazake alimtumia Sabaya kwaumiza baadhi ya watu hasa hasa wapinzani wa ccm,tosha.
 
Huyu Sabaya huenda akawaumbua wengi na hasa wahuju u uchumi wenye mitambo ya kutengeneza fedha, madawa ya kulevya na wakwepa Kodi...itabidi apewe ulinzi mkubwa huko mahabusu...siyo kesi nzuri kwa baadhi ya watu...


Hana atakayemuumbua na sifikirii Kama muelekeo wake utakuwa ni mzuri.

Atawaumbuaje pasipo ushahidi?

Yaani porojo zake ndio ziwe kumuumbua mtu?

Sebaya anapawa awe makini zaidi katika maneno yake, lazima aelewe kuwa pale ni mahakamani sio kijiweni ambapo unaweza sema neno lolote hata bila ya ushahidi.

Alifanya mahakama kiwe kijiwe bado anajitengenezea mazingira mabovu.

Kingine,
Sebaya alisema anashahidi mmoja katika kesi inayomkabili,
Kuwataja wengine Kama Isdori mpango na huyo Gavana bado kunamuweka katika nafasi ngumu zaidi kuliko alivyotegemea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…