Utetetezi wa Sabaya, haupo kisheria, na pia unavunja kanuni za Kijasusi

Utetetezi wa Sabaya, haupo kisheria, na pia unavunja kanuni za Kijasusi

Mambo ni Moto

Katika sakata linaloendelea linalomkabili Ndugu Lengai Ole Sabaya, utetezi wake unaacha watu midomo wazi.
Mimi sio mwanasheria lakini Kwa akili ndogo tuu niliyonayo namuona Ole Sabaya na mawakili wake wakishindwa kutoa utetezi wenye mantiki.

Utetezi wa Sabaya kuwa alitumwa na Wakuu wake wa kazi waliomteua kufanya Uhalifu ni utetezi wa kijinga Sana ambao mtu mwenye akili asingeweza kuusema Mahakamani.
Kusema alitumwa ni dhahiri anakiri kosa kuwa alifanya, na moja Kwa moja anajitia hatiani.

Ole Sabaya Kiujasusi tayari ameshakosa Weledi katika Kazi yake. Anaposemwa alitumwa na Rais Magufuli ambaye Kwa sasa ni Marehemu, Kwa kazi maalumu, hii inamaanisha kuwa Sabaya yupo katika mfumo wa ujasusi iwe direct au indirectly.
Hivyo Jambo la kwanza kwenye majukumu yake lilipaswa kuwa Siri ndipo mengine yafuate

Moja ya kanuni za kazi maalumu ni siri, hasa kazi maalumu/operations zisizokuwa na majina na zisizoundwa kisheria.
Operations ambazo hazifuati kanuni Rasmi, ni unapigiwa simu na unatekeleza.
Operations za hivi, anayetumwa anapaswa azifanye Kwa weledi pasipo kuleta athari mbaya ambazo zitamtia hatiani, kwani zimtiapo hatiani yeye ndiye atahusika 100% katika adhabu.

Kijasusi, mtu anapopewa kazi maalumu hata akikamatwa hapaswi kusema ukweli kuwa alitumwa na wakubwa wake, hapaswi kuwataja waliomtuma, anapaswa kutumia mbinu zingine za kujihamu au kuficha siri.

Sabaya Kama alitumwa na Hayatti Magufuli, hii ilimaanisha taasisi ya Urais ilikuwa inajua misheni hizo, hivyo hakupaswa ajitetee kuwa alitumwa na Rais kufanya Uhalifu kwani Kwa kufanya hivyo anamdhalilisha Hayatti Magufuli na Taasisi ya Urais ya wakati huo.

Kama ni kweli alitumwa, basi angekaa kimya na kujitetea Kwa namna zingine, alafu Kwa vile alitumwa na taasisi ya Urais, basi mabosi wake Kwa vile wengine wapo na wanatambua misheni hiyo, wangetafuta namna ya kumnasua.
Lakini sio kuwataja, Kwa kuwataja ni tayari ameshavujisha Siri pasipo yeye kujua.

Sabaya pasipo kujua, kauli yake unazidi kuwapa nguvu Wale wote waliokuwa wakiituhumu serikali na watu wasiojulikana.

Kwa kifupi, Sabaya amekosa Weledi.

Hata Kama akitoka basi tayari ameshavujisha Siri za wakubwa wake, na Hana sifa za kuwa mtu wa vitengo Kwa mambo ya kiusalama.

Ilimpasa afe kiume. Akaze Tai shingoni.Mabosi zake ndio wamnasue.
Lakini utetezi wake bado unamuweka pagumu zaidi.

Robert Heriel
Mbeleni tutasikia makubwa "Mnanikamata mie tu mbona makonda mmemuacha,UONEVU huu"
 
Mambo ni Moto

Katika sakata linaloendelea linalomkabili Ndugu Lengai Ole Sabaya, utetezi wake unaacha watu midomo wazi.
Mimi sio mwanasheria lakini Kwa akili ndogo tuu niliyonayo namuona Ole Sabaya na mawakili wake wakishindwa kutoa utetezi wenye mantiki.

Utetezi wa Sabaya kuwa alitumwa na Wakuu wake wa kazi waliomteua kufanya Uhalifu ni utetezi wa kijinga Sana ambao mtu mwenye akili asingeweza kuusema Mahakamani.
Kusema alitumwa ni dhahiri anakiri kosa kuwa alifanya, na moja Kwa moja anajitia hatiani.

Ole Sabaya Kiujasusi tayari ameshakosa Weledi katika Kazi yake. Anaposemwa alitumwa na Rais Magufuli ambaye Kwa sasa ni Marehemu, Kwa kazi maalumu, hii inamaanisha kuwa Sabaya yupo katika mfumo wa ujasusi iwe direct au indirectly.
Hivyo Jambo la kwanza kwenye majukumu yake lilipaswa kuwa Siri ndipo mengine yafuate

Moja ya kanuni za kazi maalumu ni siri, hasa kazi maalumu/operations zisizokuwa na majina na zisizoundwa kisheria.
Operations ambazo hazifuati kanuni Rasmi, ni unapigiwa simu na unatekeleza.
Operations za hivi, anayetumwa anapaswa azifanye Kwa weledi pasipo kuleta athari mbaya ambazo zitamtia hatiani, kwani zimtiapo hatiani yeye ndiye atahusika 100% katika adhabu.

Kijasusi, mtu anapopewa kazi maalumu hata akikamatwa hapaswi kusema ukweli kuwa alitumwa na wakubwa wake, hapaswi kuwataja waliomtuma, anapaswa kutumia mbinu zingine za kujihamu au kuficha siri.

Sabaya Kama alitumwa na Hayatti Magufuli, hii ilimaanisha taasisi ya Urais ilikuwa inajua misheni hizo, hivyo hakupaswa ajitetee kuwa alitumwa na Rais kufanya Uhalifu kwani Kwa kufanya hivyo anamdhalilisha Hayatti Magufuli na Taasisi ya Urais ya wakati huo.

Kama ni kweli alitumwa, basi angekaa kimya na kujitetea Kwa namna zingine, alafu Kwa vile alitumwa na taasisi ya Urais, basi mabosi wake Kwa vile wengine wapo na wanatambua misheni hiyo, wangetafuta namna ya kumnasua.
Lakini sio kuwataja, Kwa kuwataja ni tayari ameshavujisha Siri pasipo yeye kujua.

Sabaya pasipo kujua, kauli yake unazidi kuwapa nguvu Wale wote waliokuwa wakiituhumu serikali na watu wasiojulikana.

Kwa kifupi, Sabaya amekosa Weledi.

Hata Kama akitoka basi tayari ameshavujisha Siri za wakubwa wake, na Hana sifa za kuwa mtu wa vitengo Kwa mambo ya kiusalama.

Ilimpasa afe kiume. Akaze Tai shingoni.Mabosi zake ndio wamnasue.
Lakini utetezi wake bado unamuweka pagumu zaidi.

Robert Heriel

Kwa nini Taasisi ya Urais isimlinde mpaka tumefikia hapo. Ndio majasusisi wengine watie akili sasa utii na maararifa sababu hujui lini utatelekezwa na ulio watii na kuwatumikia.
 
Veronica france aliwahi kusema Hakuna hakimu wa kumfunga labda Magufuli afe,Mungu kasikia ombi lake leo bilioni 7.5 ataitapikia wapi
 
Kwa umri wa Sabaya Rais agizo lake ni kutekeleza tu hakuna kushauriana ni ndio mkuu sawa mkuu basi. Sabaya kafanyiwa umakusudi na Samia na Watuwake hivyo tu.
Sabaya alijitengenezea maadui nje na ndani ya Chama chake na hicho ndicho kinachomcost, alikua ana UBABE wa kishamba, mfano kupaki Gari katikati ya barabara na kufanya kitu, kununua bila kulipa, kulala kwenye mahoteli bila kulipa na hataki umuhoji, too much spending kwenye maclub, kuonesha dharau hadharani wakubwa zake, mfano Marehem Ana mgwira, hata kama alitumwa na wakubwa zake alipaswa kuonesha respect, tatizo bichwa lilijaa sifa kwamba yeye ndo yeye na hakuna atakayemfanya chochote
 
Maybe sabaya na mawakili wake wanatuma ujumbe kwa wakubwa waliohusika au waliokuaa wanajua kua kijana alipewa mission.

Wanaambiwa kuwa,kijana anaweza sema lolote,hivyo either wajue jinsi ya kumsaidia au wajiandae kuanikwa.

Nadhani anawatekenya tu kujua watareact vipi.

Hakuna kitu watu hulinda kwa gharama zote kama reputation...so their reputation imehatarishwa,wanahitaji kufanya jambo

either wamkatae mazima ionekane mwana anasema uongo ili kujinasua,au wao wanyoshe mkono kumnasua kinamna flani.

Ni mawazo yangu tu.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Mambo ni Moto

Katika sakata linaloendelea linalomkabili Ndugu Lengai Ole Sabaya, utetezi wake unaacha watu midomo wazi.
Mimi sio mwanasheria lakini Kwa akili ndogo tuu niliyonayo namuona Ole Sabaya na mawakili wake wakishindwa kutoa utetezi wenye mantiki.

Utetezi wa Sabaya kuwa alitumwa na Wakuu wake wa kazi waliomteua kufanya Uhalifu ni utetezi wa kijinga Sana ambao mtu mwenye akili asingeweza kuusema Mahakamani.
Kusema alitumwa ni dhahiri anakiri kosa kuwa alifanya, na moja Kwa moja anajitia hatiani.

Ole Sabaya Kiujasusi tayari ameshakosa Weledi katika Kazi yake. Anaposemwa alitumwa na Rais Magufuli ambaye Kwa sasa ni Marehemu, Kwa kazi maalumu, hii inamaanisha kuwa Sabaya yupo katika mfumo wa ujasusi iwe direct au indirectly.
Hivyo Jambo la kwanza kwenye majukumu yake lilipaswa kuwa Siri ndipo mengine yafuate

Moja ya kanuni za kazi maalumu ni siri, hasa kazi maalumu/operations zisizokuwa na majina na zisizoundwa kisheria.
Operations ambazo hazifuati kanuni Rasmi, ni unapigiwa simu na unatekeleza.

Operations za hivi, anayetumwa anapaswa azifanye Kwa weledi pasipo kuleta athari mbaya ambazo zitamtia hatiani, kwani zimtiapo hatiani yeye ndiye atahusika 100% katika adhabu.

Kijasusi, mtu anapopewa kazi maalumu hata akikamatwa hapaswi kusema ukweli kuwa alitumwa na wakubwa wake, hapaswi kuwataja waliomtuma, anapaswa kutumia mbinu zingine za kujihamu au kuficha siri.

Sabaya Kama alitumwa na Hayatti Magufuli, hii ilimaanisha taasisi ya Urais ilikuwa inajua misheni hizo, hivyo hakupaswa ajitetee kuwa alitumwa na Rais kufanya Uhalifu kwani Kwa kufanya hivyo anamdhalilisha Hayatti Magufuli na Taasisi ya Urais ya wakati huo.

Kama ni kweli alitumwa, basi angekaa kimya na kujitetea Kwa namna zingine, alafu Kwa vile alitumwa na taasisi ya Urais, basi mabosi wake Kwa vile wengine wapo na wanatambua misheni hiyo, wangetafuta namna ya kumnasua. Lakini sio kuwataja, Kwa kuwataja ni tayari ameshavujisha Siri pasipo yeye kujua.

Sabaya pasipo kujua, kauli yake unazidi kuwapa nguvu Wale wote waliokuwa wakiituhumu serikali na watu wasiojulikana.

Kwa kifupi, Sabaya amekosa Weledi.

Hata Kama akitoka basi tayari ameshavujisha Siri za wakubwa wake, na Hana sifa za kuwa mtu wa vitengo Kwa mambo ya kiusalama.

Ilimpasa afe kiume. Akaze Tai shingoni.Mabosi zake ndio wamnasue. Lakini utetezi wake bado unamuweka pagumu zaidi.

Robert Heriel
Mimi nazani mpka kusema hivyo ameona mabosi kama wamemtelekeza
 
Hapo anamaanisha hata Mama anajua yote ila anamdemkia tu.
 
Maybe sabaya na mawakili wake wanatuma ujumbe kwa wakubwa waliohusika au waliokuaa wanajua kua kijana alipewa mission.

Wanaambiwa kuwa,kijana anaweza sema lolote,hivyo either wajue jinsi ya kumsaidia au wajiandae kuanikwa.

Nadhani anawatekenya tu kujua watareact vipi.

Hakuna kitu watu hulinda kwa gharama zote kama reputation...so their reputation imehatarishwa,wanahitaji kufanya jambo

either wamkatae mazima ionekane mwana anasema uongo ili kujinasua,au wao wanyoshe mkono kumnasua kinamna flani.

Ni mawazo yangu tu.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app


Labda wakubwa wamsaidie lakini Kama alikuwa anajifanya ni mkubwa na kudharau wakubwa wenzake kisa Magufuli, sioni msaada akiupata.

Unajua watu wengine huweza kuleta dharau Kwa wengine kisa wanaukaribu na Kiongozi Mkuu Jambo ambalo sio sahihi kabisa
 
Kwa nini Taasisi ya Urais isimlinde mpaka tumefikia hapo. Ndio majasusisi wengine watie akili sasa utii na maararifa sababu hujui lini utatelekezwa na ulio watii na kuwatumikia.

Taasisi ya Urais ni ngumu kumlinda ikiwa tayari mpaka sasa anaenda kinyume na taratibu zake.

Kitu kimoja cha cha uhakika ni kuwa Taasisi ya Urais ya sasa inamafungamano makubwa na taasisi ya Urais wakati WA JPM hivyo Kama ni kupewa msaada angekuwa keshapewa muda mrefu
 
Ni wasioelewa tu wanaoweza mlaumu Sabaya Kwa utetezi wake , na ni ukweli mamlaka zilimtuma , hakufanya uhalifu alitekekeza majukumu aliyoagizwa na ushahidi upo.

Rais kumfukuza kazi Sabaya na kuruhusu kudhalilishwa kwake huku akijua ofisi yake inahusika moja Kwa moja ilikuwa wrong move....Sabaya shikilia hapo hapo.
Haitamsaidia lakini
Lakini inadhihilisha wazi kwamba hajakomaa kiujasusi
Ameharibu kabisa ..!!!! Bure kabisa.!!
 
Taasisi ya Urais ni ngumu kumlinda ikiwa tayari mpaka sasa anaenda kinyume na taratibu zake.

Kitu kimoja cha cha uhakika ni kuwa Taasisi ya Urais ya sasa inamafungamano makubwa na taasisi ya Urais wakati WA JPM hivyo Kama ni kupewa msaada angekuwa keshapewa muda mrefu

Endelea kutia maji wakati mwenzako ananyolewa ila ujue uko uwezekano wa zamu yako.
 
Ni wasioelewa tu wanaoweza mlaumu Sabaya Kwa utetezi wake , na ni ukweli mamlaka zilimtuma , hakufanya uhalifu alitekekeza majukumu aliyoagizwa na ushahidi upo.

Rais kumfukuza kazi Sabaya na kuruhusu kudhalilishwa kwake huku akijua ofisi yake inahusika moja Kwa moja ilikuwa wrong move....Sabaya shikilia hapo hapo.
nlishen tu maneno! anazidi kupotea beyond 30 years! maana kaongeza na uongo wa kuisingizia mamlaka!
kile duka halikuwa la forex
 
Endelea kutia maji wakati mwenzako ananyolewa ila ujue uko uwezekano wa zamu yako.

Kama mtu kafanya Uhalifu iwe mi Mimi, wewe au Yule anapaswa kupewa haki yake, ambayo ni adhabu Kwa mujibu WA sheria.

Huo ndio utaratibu sheikhe
 
Sio kila kitu ukiagizwa na Mkuu wako unapaswa kufanya. Ndio maana mtu umepewa akili na utashi WA kung'amua. Sabaya sio roboti, Sabaya sio mtoto, Sabaya halijawahi thibitika kuwa anamapungufu ya akili. Hivyo kivyovyote vile tayari yupo nyavuni.

Na mbaya zaidi kaongea Jambo zito ambalo Kama ni ukweli basi linazidi kumuweka pabaya.

Zingatia;
Hakuna anyemchukia Sabaya, Ila matendo yake ndio yameleta haya yote
The issue is whether there is armed robbery?
 
Kama mtu kafanya Uhalifu iwe mi Mimi, wewe au Yule anapaswa kupewa haki yake, ambayo ni adhabu Kwa mujibu WA sheria.

Huo ndio utaratibu sheikhe

Hebu niambie yule kamanda aliye muweka Huria Mhiti mstari wa mbele katika mapambano ya vita kali ili auwawe kutii amri ya mfalme Daudi alichukuliwa hatua gani baada ya ya Daudi kufa? Acheni ujinga vinginevyo mtawakosa watu wa kuwatuma ama mtahujumiwa.
 
Mambo ni Moto

Katika sakata linaloendelea linalomkabili Ndugu Lengai Ole Sabaya, utetezi wake unaacha watu midomo wazi.
Mimi sio mwanasheria lakini Kwa akili ndogo tuu niliyonayo namuona Ole Sabaya na mawakili wake wakishindwa kutoa utetezi wenye mantiki.

Utetezi wa Sabaya kuwa alitumwa na Wakuu wake wa kazi waliomteua kufanya Uhalifu ni utetezi wa kijinga Sana ambao mtu mwenye akili asingeweza kuusema Mahakamani.
Kusema alitumwa ni dhahiri anakiri kosa kuwa alifanya, na moja Kwa moja anajitia hatiani.

Ole Sabaya Kiujasusi tayari ameshakosa Weledi katika Kazi yake. Anaposemwa alitumwa na Rais Magufuli ambaye Kwa sasa ni Marehemu, Kwa kazi maalumu, hii inamaanisha kuwa Sabaya yupo katika mfumo wa ujasusi iwe direct au indirectly.
Hivyo Jambo la kwanza kwenye majukumu yake lilipaswa kuwa Siri ndipo mengine yafuate

Moja ya kanuni za kazi maalumu ni siri, hasa kazi maalumu/operations zisizokuwa na majina na zisizoundwa kisheria.
Operations ambazo hazifuati kanuni Rasmi, ni unapigiwa simu na unatekeleza.

Operations za hivi, anayetumwa anapaswa azifanye Kwa weledi pasipo kuleta athari mbaya ambazo zitamtia hatiani, kwani zimtiapo hatiani yeye ndiye atahusika 100% katika adhabu.

Kijasusi, mtu anapopewa kazi maalumu hata akikamatwa hapaswi kusema ukweli kuwa alitumwa na wakubwa wake, hapaswi kuwataja waliomtuma, anapaswa kutumia mbinu zingine za kujihamu au kuficha siri.

Sabaya Kama alitumwa na Hayatti Magufuli, hii ilimaanisha taasisi ya Urais ilikuwa inajua misheni hizo, hivyo hakupaswa ajitetee kuwa alitumwa na Rais kufanya Uhalifu kwani Kwa kufanya hivyo anamdhalilisha Hayatti Magufuli na Taasisi ya Urais ya wakati huo.

Kama ni kweli alitumwa, basi angekaa kimya na kujitetea Kwa namna zingine, alafu Kwa vile alitumwa na taasisi ya Urais, basi mabosi wake Kwa vile wengine wapo na wanatambua misheni hiyo, wangetafuta namna ya kumnasua. Lakini sio kuwataja, Kwa kuwataja ni tayari ameshavujisha Siri pasipo yeye kujua.

Sabaya pasipo kujua, kauli yake unazidi kuwapa nguvu Wale wote waliokuwa wakiituhumu serikali na watu wasiojulikana.

Kwa kifupi, Sabaya amekosa Weledi.

Hata Kama akitoka basi tayari ameshavujisha Siri za wakubwa wake, na Hana sifa za kuwa mtu wa vitengo Kwa mambo ya kiusalama.

Ilimpasa afe kiume. Akaze Tai shingoni.Mabosi zake ndio wamnasue. Lakini utetezi wake bado unamuweka pagumu zaidi.

Robert Heriel

Wanasheria wake ni wapumbavu sana, Ila kesi kama hiyo anaweza kujiteteaje jaman? Ni jambo lisilowezekana kabisa! Ashafungwa huyo!

Sema anamrahishia Hakimu kumhukumu, wakati mwingine hakuna haja ya kujitetea, unakuwa kimya tu kabisa bila kusema lolote!
 
Hana atakayemuumbua na sifikirii Kama muelekeo wake utakuwa ni mzuri.

Atawaumbuaje pasipo ushahidi?

Yaani porojo zake ndio ziwe kumuumbua mtu?

Sebaya anapawa awe makini zaidi katika maneno yake, lazima aelewe kuwa pale ni mahakamani sio kijiweni ambapo unaweza sema neno lolote hata bila ya ushahidi.

Alifanya mahakama kiwe kijiwe bado anajitengenezea mazingira mabovu.

Kingine,
Sebaya alisema anashahidi mmoja katika kesi inayomkabili,
Kuwataja wengine Kama Isdori mpango na huyo Gavana bado kunamuweka katika nafasi ngumu zaidi kuliko alivyotegemea.
Inawezekana ikawa hivyo Kama unavyosema lakini kwa hakika na kwa mtazamo wangu kesi ni mbaya kwa baadhi ya watu...pale atakapoanza kuulizwa maswali na mawakili ndipo mtakavyoona ubaya na uzuri wa Hii kesi...
 
Mambo ni Moto

Katika sakata linaloendelea linalomkabili Ndugu Lengai Ole Sabaya, utetezi wake unaacha watu midomo wazi.
Mimi sio mwanasheria lakini Kwa akili ndogo tuu niliyonayo namuona Ole Sabaya na mawakili wake wakishindwa kutoa utetezi wenye mantiki.

Utetezi wa Sabaya kuwa alitumwa na Wakuu wake wa kazi waliomteua kufanya Uhalifu ni utetezi wa kijinga Sana ambao mtu mwenye akili asingeweza kuusema Mahakamani.
Kusema alitumwa ni dhahiri anakiri kosa kuwa alifanya, na moja Kwa moja anajitia hatiani.

Ole Sabaya Kiujasusi tayari ameshakosa Weledi katika Kazi yake. Anaposemwa alitumwa na Rais Magufuli ambaye Kwa sasa ni Marehemu, Kwa kazi maalumu, hii inamaanisha kuwa Sabaya yupo katika mfumo wa ujasusi iwe direct au indirectly.
Hivyo Jambo la kwanza kwenye majukumu yake lilipaswa kuwa Siri ndipo mengine yafuate

Moja ya kanuni za kazi maalumu ni siri, hasa kazi maalumu/operations zisizokuwa na majina na zisizoundwa kisheria.
Operations ambazo hazifuati kanuni Rasmi, ni unapigiwa simu na unatekeleza.

Operations za hivi, anayetumwa anapaswa azifanye Kwa weledi pasipo kuleta athari mbaya ambazo zitamtia hatiani, kwani zimtiapo hatiani yeye ndiye atahusika 100% katika adhabu.

Kijasusi, mtu anapopewa kazi maalumu hata akikamatwa hapaswi kusema ukweli kuwa alitumwa na wakubwa wake, hapaswi kuwataja waliomtuma, anapaswa kutumia mbinu zingine za kujihamu au kuficha siri.

Sabaya Kama alitumwa na Hayatti Magufuli, hii ilimaanisha taasisi ya Urais ilikuwa inajua misheni hizo, hivyo hakupaswa ajitetee kuwa alitumwa na Rais kufanya Uhalifu kwani Kwa kufanya hivyo anamdhalilisha Hayatti Magufuli na Taasisi ya Urais ya wakati huo.

Kama ni kweli alitumwa, basi angekaa kimya na kujitetea Kwa namna zingine, alafu Kwa vile alitumwa na taasisi ya Urais, basi mabosi wake Kwa vile wengine wapo na wanatambua misheni hiyo, wangetafuta namna ya kumnasua. Lakini sio kuwataja, Kwa kuwataja ni tayari ameshavujisha Siri pasipo yeye kujua.

Sabaya pasipo kujua, kauli yake unazidi kuwapa nguvu Wale wote waliokuwa wakiituhumu serikali na watu wasiojulikana.

Kwa kifupi, Sabaya amekosa Weledi.

Hata Kama akitoka basi tayari ameshavujisha Siri za wakubwa wake, na Hana sifa za kuwa mtu wa vitengo Kwa mambo ya kiusalama.

Ilimpasa afe kiume. Akaze Tai shingoni.Mabosi zake ndio wamnasue. Lakini utetezi wake bado unamuweka pagumu zaidi.

Robert Heriel
Sabaya hajachomwa hata msumari kwenye mguu analialia hivyo na kutaja taja watu kama mlevi.
 
Inawezekana ikawa hivyo Kama unavyosema lakini kwa hakika na kwa mtazamo wangu kesi ni mbaya kwa baadhi ya watu...pale atakapoanza kuulizwa maswali na mawakili ndipo mtakavyoona ubaya na uzuri wa Hii kesi...


😃😃😃😃

Na pale unaulizwa wewe Kama wewe, sio cheo chako sio?

Yaani hapo mawakili wanaweza kukuoshea vilivyo
 
Back
Top Bottom