Utetetezi wa Sabaya, haupo kisheria, na pia unavunja kanuni za Kijasusi

Kaona waliomtuma wameuchuna. Akaamua kujilipua kama Mbwai na iwe Mbwai
 


Akipewa Backup anachomoa
 
Eti kanuni za kijasusi..,unafanya ujasusi nchi kwako mwenyewe wkti ww ni mtawala tena wa juu kbsa😂😂
 
Eti kanuni za kijasusi..,unafanya ujasusi nchi kwako mwenyewe wkti ww ni mtawala tena wa juu kbsa😂😂


😃😃😃

Ndivyo anajaribu Kuieleza Mahakama.

Sasa anapaswa aiambie Mahakama mbali na kazi yake ya UDC alikuwa na kazi gani nyingine hata Kama ni yasiri, maana keshaanza kuongea ambayo huenda yangekuwa yasirini.

Yaani ukishasema kazi maalumu moja Kwa moja ukawaambia watu wewe ni mtu wa kitengo
 
Amejieleza vizuri na kwakuwagusa wakubwa watashtuka na kutafuta namna ya kuimaliza kesi juu kwa juu! Wanajua wanaweza hitajika mahakamani kwa ushahidi na kwao hiyo in fedheha kubwa!! Ndotudai katiba mpya maana MTU mwenyekinga anatuma watu operesheni za kigaidi alafu eti hatakiwi kushtakiwa.
Waendelee kumweka ndani ili tuujue ukweli wrote kumbe hata yule wa Dar alitumwa pia na wanamirembe
 


Ataambiwa atoe ushahidi na sio maneno matupu/porojo zake.

Akitoa ushahidi hiyo inaweza muweka pazuri.
 

Katumia mbinu ya Prof Mahalu.
 
Kwa hiyo mpaka sasa inaonekana yupo pekeake, anatumia utashi wake kujibu maswali, si ndivyo?

Unajua Magufuli aliamua kuiba uchaguzi bila aibu, kama Hii itakuwa mbinu ya kumtoa ni sawa, maana Hakuna sana!

ILA ili Sanaa iwezekana lazima kuwe na maandalizi, Mfano angemtaja Magufuli akawaacha waliopo etc!

Huu utopokaji ni ngumu sana kumtoa kwa Sana’a, labda umtoe kwa mabavu bila kujali mijadala, and it so, kwa nini umpeleke mahakaman ili waje mtoa Kizembe
 


Ni Sawa.

Kama Hakuwa na urafiki mzuri na wakubwa sidhani Sana.
Atapambana kivyake, sheria imuokoe
 
Sabaya ni mjinga pamoja na nguvu zake na ukatili wake lakini akili yake finyu.

Hii kesi yake ilikuwa ni spinning tu na publicity stunt kuonesha kwamba Utawala uliopo unaondoa makandokando yaliyolalamikiwa nyuma. Lakini yeye nadhani hakuwa briefed na huyu ilikuwa anachomokea mahakamani lakini kwa sababu akili yake ndogo kaanza kubwabwaja. Lakini sababu ni jamhuri huyu atatoka na ataachiwa.

Hili limedhirisha kwamba yale ya kukusanya kodi kwa taskforce za kibabe, mamalaka kutumia nguvu kubana wananchi hii sio misingi ya demokrasia na wananchi tutaendelea kuhoji nafasi za ma dc uhalali wake haswa kuendelea kuwepo ili hali tunahitaji kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kuinua uchumi wetu. # Katibampyahaikwepeki # Katibailiyopoikufutwaingesaidia
 

Generali Ulimwengu juzi kati alizungumzia sifa ya kuijua nchi kwa anayepewa madaraka. Achutame tu hajachelewa. Heri ya nusu shari.
 
Labda huwezi jua msema kweli ni__
 


Umeongea ukweli kabisa.
 
Ole sabaya hakuna aliyemtuma kufanya upuuzi wake. Ajitetee bila kuhusisha wengine japo tunajuwa marehemu alikuwa mpuuzi kwa mambo mengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…