Huyu binti ana drive,bila shaka ana driving license ambayo ninavyofahamu ni mtu wa kuanzia miaka 18 ndio anapatiwa,
Pili nadhani ni kama 2010 kama sikosei alimaliza F4 unataka kuniaminisha kuwa alimaliza akiwa na miaka 15?
Pia swala la vyeti vya kuzaliwa Bongo sio kitu cha kuaminika sana kwani hata wewe hapo ukitaka hata kesho ni kiasi cha kwenda rita unamaliza kazi,
Sifurahii wakati mgumu alionao binti ila tuache haki atendeke na sio kutafuta visingizio ambavyo kwa upande mwingine hata kama itakuwa ni kweli kumuelewesha mtu mwenye akilizake inakuwa ngumu sana.
hajamaliza form four ameacha shule form three