UTETEZI WA LULU: Kanumba alitaka kunibaka...

UTETEZI WA LULU: Kanumba alitaka kunibaka...

Huyu binti ana drive,bila shaka ana driving license ambayo ninavyofahamu ni mtu wa kuanzia miaka 18 ndio anapatiwa,

Pili nadhani ni kama 2010 kama sikosei alimaliza F4 unataka kuniaminisha kuwa alimaliza akiwa na miaka 15?

Pia swala la vyeti vya kuzaliwa Bongo sio kitu cha kuaminika sana kwani hata wewe hapo ukitaka hata kesho ni kiasi cha kwenda rita unamaliza kazi,

Sifurahii wakati mgumu alionao binti ila tuache haki atendeke na sio kutafuta visingizio ambavyo kwa upande mwingine hata kama itakuwa ni kweli kumuelewesha mtu mwenye akilizake inakuwa ngumu sana.

hajamaliza form four ameacha shule form three
 
Watajijua na mauchafu yao, mimi ninashika hamsini zangu. Maana kuna Mengi sana hapo, wala sina muda nayo.
 
mimi,kanumba na mh waziri wote tuliamini kuwa Lulu ana miaka 18 kwa mujibu wa maelezo aliyotoa yeye mwenyewe kwenye vyombo vya habari na hakuna aliyewah kukanusha hilo hata mama yake mzazi, sasa je kanumba angejuaje kuwa huyu bint yuko na miaka 17?

adhabu zenu nimezibandika hapo chini......ni kifungo cha maisha tu hakuna utetezi kutojua umri au sheria.......igonrance is not and has never been a defence................DPP anatakiwa akukamate wewe na huyo waziri mchafuzi wa mazingira.lol

[PCh16s131]131. Punishment for rape Act No. 4 of 1998 s. 6

(1) Any person who commits rape is, except in the cases provided for in the renumbered subsection (2), liable to be punished with imprisonment for life, and in any case for imprisonment of not less than thirty years with corporal punishment, and with a fine, and shall in addition be ordered to pay compensation of an amount determined by the court, to the person in respect of whom the offence was committed for the injuries caused to such person.
 
uliposema tu DPP anafanya kazi kwa mashinikizo ya mob justice ndipo umeniondolea hamu ya kusoma post yako. Si angefanya hivyo kwa kesi mliyoishabikia sana ya Zombe?
kwangu mimi hata asipofungwa kwa murder basi angalau kwa manslaughter kwa ushahidi wa kimazingira
kwanza ndiye mtu pekee aliyekuwa nae chumbani wakati hayo yanatokea.
Pili hata kama waligombana, kiasi cha ugomvi wa marehemu kitakuwa less and less kwavile alifariki na kifo chaweza kuwa kilitokana na execessive provocation au kusukumwa hadi chini kutokana na kutokuwa na nguvu kwavile alikunywa etc. Hayo ya simu messages na mengine yatasadia tu kuthibitisha lakini the gal ana hatia bwana. Tusikimbie ukweli

afya ya mwendazake na cocktail za ARV plus pombe kali usiku na mchana............
 
mwendawake kivipi ??hiyo si ndio anachomokea unawezaje kumweka mtoto chini ya miaka 18 kama mwendani wako kwanza wewe ulieandka huna adabu kabisa ...sheria ipi inaruhusu kuweka ndani chini ya miaka 18...labda sheria za nchi zinasemaje

1..mtu akikaa naa mwenzake zaidi ya miaka miwili anahesabika kama mkeewe
kanumba ajafikisha hata mwaka akiwa na lulu
2..kanumba akupata kufunga ndoa na luulu so mahusiano hayo ayajulikani kisheria
3..kanumba atashtakiwa kwa kesi si tu ya kubaka bali ni pamoja na uzinzi kama wale makahaba wanokamatwa pale sinza na kuishia kwenye ma landrover ....
4..nafikiri muda mufaka saasa familia ya kanumba kuingilia kati nakutoa tamko else yanakuja ya ajabu ambayo lulu akipewa funguo la mdomo afungue naamini akuna atakaeamini..sitaki kuingilia sheria wacha tuiache ifwate mkondo wake.......

Hivi kwa nini yule mdogo wake SK hausishwi kabisa na hii kesi
 
Mimi si mwanasheria ingawa ningeshauri kuwa tusiweke maneno yetu na utaalamu wa kisheria katika kinywa cha Lulu. Hakuna anayependa kuona Lulu anaadhibiwa endapo hana kosa lakini pia tusitumie utaalamu wa kisheria kutetea uozo katika jamii. Lulu amekiri kuwa na wapenzi wa umri zaidi ya Babake ..... na hao je wafanywe nini? Hili suala ni pana zaidi ya tunavyolifanya kuonekana. Kwa ujumla maadili yameporomoka katika jamii yetu na nitajifunza kutoka kwa wanaseria kwani inaionekana kuwa wao wanapopita kona kona huwa awali ya youe wanauliza umri na birth ceritificate za hao vidosho? Na kuwataka wakalete Original Birth Certificate .... Mmmmh!

Ati kubakwa ..... suala zima zima halina mazingira ya ubakaji. Ukweli wa Lulu ndio wa muhimu kuliko ubingwa wa sheria.

Haswaaaa!
 
quote_icon.png
By kalaghesye

Mimi si mwanasheria ingawa ningeshauri kuwa tusiweke maneno yetu na utaalamu wa kisheria katika kinywa cha Lulu. Hakuna anayependa kuona Lulu anaadhibiwa endapo hana kosa lakini pia tusitumie utaalamu wa kisheria kutetea uozo katika jamii. Lulu amekiri kuwa na wapenzi wa umri zaidi ya Babake ..... na hao je wafanywe nini? Hili suala ni pana zaidi ya tunavyolifanya kuonekana. Kwa ujumla maadili yameporomoka katika jamii yetu na nitajifunza kutoka kwa wanaseria kwani inaionekana kuwa wao wanapopita kona kona huwa awali ya youe wanauliza umri na birth ceritificate za hao vidosho? Na kuwataka wakalete Original Birth Certificate .... Mmmmh!

Ati kubakwa ..... suala zima zima halina mazingira ya ubakaji. Ukweli wa Lulu ndio wa muhimu kuliko ubingwa wa sheria.

hivi mwizi akikamatwa akijetea siku iba pekee yangu ni utetezi au anakiri kuwa kweli kaiba..........?????????
 
tabia yake haihalalishi abakwe...............kwa hiyo hoja zako Alien 1-9 zinapoteza mwelekeo. Hoja no. 10 ya kuwa mahakama itazingatia mob-justice....................sioni hata umuhimu wa kujibu kwa sababu that is the last thing the court wants to entertain....................pitia polepole hoja zangu utagundua Lulu has no case to answwer ila DPP anafanyakazi kwa mashinikizo ya mob-justice na wala siyo kwa kuongozwa na sheria au ushahidi alionao mikononi mwake..........

nipo nawe mheshimiwa
 
tabia yake haihalalishi abakwe...............kwa hiyo hoja zako Alien 1-9 zinapoteza mwelekeo. Hoja no. 10 ya kuwa mahakama itazingatia mob-justice....................sioni hata umuhimu wa kujibu kwa sababu that is the last thing the court wants to entertain....................pitia polepole hoja zangu utagundua Lulu has no case to answwer ila DPP anafanyakazi kwa mashinikizo ya mob-justice na wala siyo kwa kuongozwa na sheria au ushahidi alionao mikononi mwake..........


Ruta mm sijakuelewa, ina maana Lulu alibakwa??? Kama ni kweli kwa nini aliondoka na kurudi mwenyewe kwa mbakaji??? Naomba unifafanulie tafadhali. Hii inanichanganya mwenzenu.
 
tabia yake haihalalishi abakwe...............kwa hiyo hoja zako Alien 1-9 zinapoteza mwelekeo. Hoja no. 10 ya kuwa mahakama itazingatia mob-justice....................sioni hata umuhimu wa kujibu kwa sababu that is the last thing the court wants to entertain....................pitia polepole hoja zangu utagundua Lulu has no case to answwer ila DPP anafanyakazi kwa mashinikizo ya mob-justice na wala siyo kwa kuongozwa na sheria au ushahidi alionao mikononi mwake..........

Inanikumbusha kesi ya Trevor Martin pale special prosecutor anaposema tunafanya kazi bila mashinikizo wala pledges za watu....
 
Nataka niunge mkono hoja kwamba, kwa mtazamo wa kisheria, Lulu ana nafasi kubwa sana ya kushinda kesi hii, 99%. Na itakuwa ni kutoona mbali kwa upande wa mashtaka ikiwa wamemfungulia kesi ya mauaji (murder) badala ya maauaji ya kutokukusudia (manslaughter), kama ilivyoelezwa tayari.

Jambo jingine la msingi ni kwamba it does not matter kama walikuwa na uhusiano miezi sita au miaka sita. Lulu akisema alitaka kubakwa katika mazingira ambayo Kanumba alikuwa yuko uchi na amekunywa/amelewa, hoja hii ina mshiko sana. Kumbuka hata mkeo anaweza kukufunglia mashtaka ya kumbaka, kwa sababu mwanamke yeyote, mkeo au vinginevyo, akisema "no" ni lazima uheshimu uamuzi wake. Ukilazimisha umebaka, na huwezi kujitetea kuwa nilishatembea naye mara nyingi zaidi ya miaka saba au miezi sita, au sijui eti marafiki zetu wanajua na wazazi wetu walihalalisha! Huo ni utetezi kwenye vikao vya hukumu vya kijijini!
 
Umri wake utata mara 17 mara 18. Kwenye gazeti la mwananchi jana wameandika alichosema kuhusu simu aliyopigiwa kutoka kwa mpenzi wake mwingine tena maarufu. Mwisho wa siku ukweli utajulikana

Ilikuwaje alifanya birthday party ya kutimia 18? Nakumbuka kusoma kwenye magazeti, au ilikuwa ni kujikweza tu?

Na alipata vipi driving licence under 18?
 
LULU NDO ALITAKA KUMBAKA KANUMBA NA BAADA YA KANUMBA KUGOMA LULU AKAMTANDIKA RUNGU LA KICHWA MAREHEMU AKAZIMIKA kwanini nasema hvyo 1. LULU alienda kwa Kanumba usiku wa manane 2. moja kwa moja alizama chumbani 3. Baada ya kanumba kuingia bafuni lulu Alivua nguo zote ili kanumba amkute uchi ashawishike.
 
kaka nimewakubali wanasheria wa jf,
kwanza kwa hoja mnazotoa kila mmoja,
pili kwa kutuelimisha tusio weledi wa sheria na,
tatu mnaonaje tukiifungulia mashitaka serikali ya tanzania kwa kuruhusu bidhaa feki ziingizwe nchini ilihali kuna watu wamepewa dhamana ya kusimamia na kuhakikisha kuwa bidhaa hizo haziingii nchini...!
 
Huo ni utetezi wako unaobuni kunogesha mjadala. Kwani huyo mhuni alikwambia lini kuwa atakuja na utetezi huu?
 
Back
Top Bottom