UTETEZI WA LULU: Kanumba alitaka kunibaka...

UTETEZI WA LULU: Kanumba alitaka kunibaka...

kwa taratibu za mahakama lazma evidence iwe very strong to prove guiltness ya mtuhumiwa, kwa sasa watu wengi wanaongelea hili suala kwa hisia binafsi tu na ingependeza ushahidi ukamilike afu tuone kesi inaendaje maana mpaka sasa hatujajua kesi itakua juvenile court au itahamishiwa adult court [hapo ndo tutapata muelekeo mzima]
 
Hii thread inasisimua sana kwa sababu mbili kuu: Kuna watu kama Ruta wana front strong legal arguments za kusapoti hoja zao, na kuna wengine wana front strong emotional arguments kusapoti hoja zao, kama vile hakuna sheria. No wonder tunakuwa na mikataba ya ajabu ajabu na kubaki tunalalamika lalamika tunaibiwa. Then what? unapata headlines za magazeti kama "Kanumba Shujaa."
 
pia tusisahau kuna mawasiliano ya simu. Halafu uende kwa mtu saa 6 usiku na una 17 yearz. Na ile party ya mwaka jana kufikisha miaka 18 ataielezeaje mkuu?

Lulu ni mtoto ambaye bosi wake mwendazake ndiye anawajibika kwa kuwa na mtoto mdogo kama yule kwa minajili ya kutuia kwa manufaa yake ya muda mfupi kwa maana ya kumbaka................
 
Ripoti ya madaktari inasema marehemu hakupigwa na kitu chochote huu utakuwa ni ushahidi wako mpya sijui kama ukiitwa mahakamani ukaithibitishie mahakama utakuwa tayari mkuu.
ripoti ya daktari inasema ubongo wa kanumba ulitikisika na kusababisha kukosa pumzi na kumsababishia kifo, na sbb za ubongo kutikisija zaweza kuwa kuanguka,kugongwa na kitu kizito kichwani nk. Na madaktari hawajaeleza kuwa kanumba alidondoka au aligongwa na kitu kizito hvy msijifanye mahakimu wa kusema uongo.
 
kama penal code inazungumza n miaka 16, basi ana kesi ya kujbu, na ikijtetea in a self defnc n sawa tu, bt we cnt appeal or judge a person n emotion..we hv to practc the "law".

Zeticha........wewe ni mwalimu wa wapi na haya tumeyajibu mara nyingi humu tatizo letu wanabongo kni kuwawavivu wakosoma.................nitarudia tena Penal code haifui dafu mbele ya sheria ya makosa ya kujaamiana..........au kwa lugha nyingine Penal code imefifilishwa nguvu zake na sasa umri wa msichana chini ya miaka 18 kama yuko nje ya ndoa anakuwa amebakwa hata kama anapenda kufanyiwa hivyo.......................kwa hiyo akilalamika aliyembaka apaswa kuhukumiwa kifungo cha maisha endapo atapatikana na hatia ya kufanya hivyo................
 
Jamani naomba tutende haki mleta thread ameleta changamoto, sheria jamani zinachanganya sana na zina double standard kwa mujibu wa CPA mtoto ni yule ambaye hajafikisha miaka kumi na sita, lakini wakati wa kupinga kura sheria inasema mtu mzima ni above 18yrs, this is contraversal laws, lakini miaka haiondoi kosa la kubaka hata siku moja hata mkeo unaweza kumbaka, lakini wasanii wasimhukumu Lulu kwani hiyo si kazi yao kama wanataka kutenda haki basi inabidi washiriki kumnasua Lulu hata kwa kumuwekea wakili mahiri lulu, kwani naye mchango wake ni mkubwa katika jamii na bado tunauhitaji kama alivyo mwendazake, kitu alichofanya Lulu ni self defence, kumbuka mdogo wa kanumba aliitwa na Lulu kutoa msaada kwa kaka yake hii ni dhahiri hakuwa na nia ya kuua hata polisi Lulu alienda mwenyewe wala hakukamatwa. Hivi hebu tujiulize kama Lulu angezidiwa nguvu ingebidi afe yeye sijui wasanii wa filamu ndio wangefurahi.

Mwendazake alikufa kifo cha kawaida kabisa hakuna ushahidi wowote wa kuwa aliuawa ni DPP tu ndiye kaanzisha hiyo ngonjera kwa manufaa ya mob-justice ambao wengi wao hata humu wamo.........
 
Ukiangalia kwenye mahojiana ya kipindi cha Mkasi, Lulu alitamka waziwazi ana miaka 18, iweje leo aseme tena ana miaka 17? Na je, mtu mwenye umri wa miaka 17 anaruhusiwa kuingia club na kuendesha gari? Amekiri kuwa ugomvi wake na Kanumba ni baada ya yeye kupigiwa simu na mpenzi wake mwingine tena ni kigogo mkubwa serikalini, je huyo kigogo naye hakujua Lulu ni 17? Ndugu yangu Lulu ana yakujibu, inasikitisha binti mdogo kujiingiza kwenye masuala ya ngono na dhambi siku zote huzaa mauti. Amevuna alichopanda.
 
nilipenda sheria nikiwa chuo...ila nimeachana nayo kwa jambo moja tuu...kumtetea mhaifu kuwa mwema na mtuhumu kuwa mwalifu....nyie endeleeni....mie in other field now....tunawasubiri maadvocate wetu...
 
nilipenda sheria nikiwa chuo...ila nimeachana nayo kwa jambo moja tuu...kumtetea mhaifu kuwa mwema na mtuhumu kuwa mwalifu....nyie endeleeni....mie in other field now....tunawasubiri maadvocate wetu...
Mi nipigilie msumari hapo hapo,wanasheria wetu humu kumbekeni mahakamani hakuna haki kuna sheria,asanteni sana,endeleeni kulumbana kwa faida yetu sie maamuma wa sheria lakini waumini wa haki mabayo hupatikana kwa mungu tu
 
DPP utendaji wake ni maruerue tu wakati umefika wa kuangalia ni kwa nini wale walioshindwa darasani ndiyo tunawasukuma waende polisi na matokeo ndiyo haya haki zetu zinapindishwa kwa sababu DPP mwenyewe na wasaidizi wake ni vilaza............hawana uwezo wa kutafakari hata kidogo na nionavyo kuna watuhumiwa weggi wa kesi za mauaji wengi wako mahabusu ambapo hawastahili kuwa huko kwa kulingana na ushahidi uliopo........

HAPOOOOOOOOOOO...sasa unapoelekea ni kujishusha hadhi ndugu yangu! unaifahamu elimu ya DPP? unafahamu uwezo wake in conducting cases??? acha ushabiki wewe..
umemtukana baba yangu mdogo aliyeingia polisi mwaka 1977 baada ya vita vya Iddi amin..kutokea JKT..alifaulu kwa daraja la kwanza form six, akaenda kusomea sheria UDSM akapata second class upper 3.8GPA na bado yuko polisi kama unataka sana nitakupatia na jina lake ujue what he has achieved in there...tafadhali ndugu unakoelekea..chonde chonde|!!! endelea tu na kesi yako na lulu but this on police...SITAKUBALIANA NALO!
 
Ahsante "Allien" kwa hoja zako. Kwa ujumla Lulu pamoja na watu wake wote wa karibu inabidi wafanye kazi ya ziada sana kuishawishi mahakama & umma wa watz wote kuwa Lulu hana hatia, na suala la kwamba atadai alitaka kubakwa au alibakwa kwa mimi binafsi naona haina mashiko. Hv baada ya Lulu kutoka kwa Mwendazake usiku huo alienda polisi kutoa taarifa hizo? & kama sivyo je polisi walimkamatia wapi? kama hakwenda polisi kutoa hizo taarifa mpaka polisi wakamkamata huko walikomkamatia, hilo dai linatoka wapi?
 
baba wa Lulu mzee Kimemeta aja juu kuhusiana na sakata la binti yake.........

SDC11675.JPG


Baba Michael Edward Kimemeta-Baba wa Lulu
 
Mi nipigilie msumari hapo hapo,wanasheria wetu humu kumbekeni mahakamani hakuna haki kuna sheria,asanteni sana,endeleeni kulumbana kwa faida yetu sie maamuma wa sheria lakini waumini wa haki mabayo hupatikana kwa mungu tu

lengo la kujadiliana ni kuboresha mfumo mzima wa uendeshaji wa nchi...hatuwezi kufumbata vidole vyetu na kuwaachia wahuni hawa kudunisha nchi yetu...........lol
 
Ipo kazi. Brain Concussion inasababishwa na kujigonga kichwa. Je Kanumba alianguka mwenyewe? Alisukumwa? Alipogwa?Concussion of the brain: A traumatic injury to the brain as a result of a violent blow, shaking, or spinning. A brain concussion can cause immediate and usually temporary impairment of brain function such as of thinking, vision, equilibrium and consciousness Source: Concussion of the brain definition - MedicineNet - Health and Medical Information Produced by DoctorsMkuu jipange uje na hoja nyingine.Mkuu Allien Brain Concussion haisababishwi na kujigonga kichwa tu.... hata ukinywa pombe kupitiliza inasababisha kuongezeka kwa msukumo wa Damu mwilini kiasi cha kusababisha mtikisiko mkubwa ambao mishipa ya Damu au mishipa inayoshikilia ubongo kupasuka/kukatika na hatimae mtu kupooza au kufa Swali je SK hukukutwa na ulevi?.... na kama ni hivyo LULU will be free.......
 
HAPOOOOOOOOOOO...sasa unapoelekea ni kujishusha hadhi ndugu yangu! unaifahamu elimu ya DPP? unafahamu uwezo wake in conducting cases??? acha ushabiki wewe..
umemtukana baba yangu mdogo aliyeingia polisi mwaka 1977 baada ya vita vya Iddi amin..kutokea JKT..alifaulu kwa daraja la kwanza form six, akaenda kusomea sheria UDSM akapata second class upper 3.8GPA na bado yuko polisi kama unataka sana nitakupatia na jina lake ujue what he has achieved in there...tafadhali ndugu unakoelekea..chonde chonde|!!! endelea tu na kesi yako na lulu but this on police...SITAKUBALIANA NALO!

Mentor.......elimu haina maana kama huwezi kuitumia kuboeresha maisha ya jamii unayoishi mengineyo yote uliyoyaongelea hayana sababu ya kujibiwa ............
 
Ukiangalia kwenye mahojiana ya kipindi cha Mkasi, Lulu alitamka waziwazi ana miaka 18, iweje leo aseme tena ana miaka 17? Na je, mtu mwenye umri wa miaka 17 anaruhusiwa kuingia club na kuendesha gari? Amekiri kuwa ugomvi wake na Kanumba ni baada ya yeye kupigiwa simu na mpenzi wake mwingine tena ni kigogo mkubwa serikalini, je huyo kigogo naye hakujua Lulu ni 17? Ndugu yangu Lulu ana yakujibu, inasikitisha binti mdogo kujiingiza kwenye masuala ya ngono na dhambi siku zote huzaa mauti. Amevuna alichopanda.

baba yake Lulu Mzee Kimemeta amesema mtoto wake alizaliwa tarehe 17 September 1995 kwa hiyo yuko chini ya miaka 18............
 
Ipo kazi. Brain Concussion inasababishwa na kujigonga kichwa. Je Kanumba alianguka mwenyewe? Alisukumwa? Alipogwa?Concussion of the brain: A traumatic injury to the brain as a result of a violent blow, shaking, or spinning. A brain concussion can cause immediate and usually temporary impairment of brain function such as of thinking, vision, equilibrium and consciousness Source: Concussion of the brain definition - MedicineNet - Health and Medical Information Produced by DoctorsMkuu jipange uje na hoja nyingine.Mkuu Allien Brain Concussion haisababishwi na kujigonga kichwa tu.... hata ukinywa pombe kupitiliza inasababisha kuongezeka kwa msukumo wa Damu mwilini kiasi cha kusababisha mtikisiko mkubwa ambao mishipa ya Damu au mishipa inayoshikilia ubongo kupasuka/kukatika na hatimae mtu kupooza au kufa Swali je SK hukukutwa na ulevi?.... na kama ni hivyo LULU will be free.......

wape vidonge vyao wakishindwa kuvimeza wateme ni shauri lao............
 
Ipo kazi. Brain Concussion inasababishwa na kujigonga kichwa. Je Kanumba alianguka mwenyewe? Alisukumwa? Alipogwa?Concussion of the brain: A traumatic injury to the brain as a result of a violent blow, shaking, or spinning. A brain concussion can cause immediate and usually temporary impairment of brain function such as of thinking, vision, equilibrium and consciousness Source: Concussion of the brain definition - MedicineNet - Health and Medical Information Produced by DoctorsMkuu jipange uje na hoja nyingine.Mkuu Allien Brain Concussion haisababishwi na kujigonga kichwa tu.... hata ukinywa pombe kupitiliza inasababisha kuongezeka kwa msukumo wa Damu mwilini kiasi cha kusababisha mtikisiko mkubwa ambao mishipa ya Damu au mishipa inayoshikilia ubongo kupasuka/kukatika na hatimae mtu kupooza au kufa Swali je SK hukukutwa na ulevi?.... na kama ni hivyo LULU will be free.......
kumbe mtu akinywa pombe ubongo unavibrate?
 
Mentor.......elimu haina maana kama huwezi kuitumia kuboeresha maisha ya jamii unayoishi mengineyo yote uliyoyaongelea hayana sababu ya kujibiwa ............

Je ndiyo sababu ya kutukana maafisa wote wa jeshi la polisi? je una proof ya usemi wako kwamba "wale walioshindwa darasani ndiyo tunawasukuma waende polisi ?" isnt that what we call a fallacy? hasty generalization?
je umeshafika makao makuu ya polisi of late...are you aware of the ICT systems they use over there? je ni vilaza walitengeneza?
Je, unaproof of cases the DPP has conducted? ngapi amepoteza? ngapi ameshinda?ngapi ziliamuliwa unfairly towards either the DPP or the victim?
ndugu, unless u have answers to any of these questions, i beg...just be quiet..si lazima uongee ili ujulikane mwerevu..silence is also a virtue!
Naomba kuwasilisha bwana learned fellow!
 
Back
Top Bottom