Utetezi wa RC Paul Makonda RC juu ya ushiriki wake kumpiga risasi Lissu, kuvamia Clouds TV

Utetezi wa RC Paul Makonda RC juu ya ushiriki wake kumpiga risasi Lissu, kuvamia Clouds TV

Makonda anatakiwa atulie afanye vitu vingine aache kujitetea kiuongo uongo vitu ambavyo alivifanya hapo nyuma ili tuendelee na mambo mengine.
Yaani hayo aliyo fanya yafutike/yafunikwe? Inawezekana?

Huyu hastahili hata mara moja kuwa katika utumishi wa umma. Anastahili kuwa jela au futi sita chini ya ardhi.
 
[emoji1787]Wachambuzi uchwara mmesha pata kiki tayari.
 
UCHAFU MTUPU SIJUI UNAANDAIKA NA KUFIKIRIA KWAKUTUMIA NINI?MATOPE KICHWANI
Inawezekana kabisa wakati tukio hili linatokea ulikua kijijini na hujaanza kutumia hata simu Janja.

Inawezekana kabisa tukio hili wewe unasimuliwa tu hasithi na kuona picha na hukupata actual experience ya kilichotokea ikiwemo joto la kisiasa la wakati wa mwenda zake!

Nikuulize: unajua kama Makonda alizuia tamasha la Fiesta la Clouds kutokana na bifu Hilo la Ruge, mpaka Magufuli akaingilia kati na kutuhusu tamasha lifanyike,

Unajua kwamba Magufuli aliwapatanisha Ruge na Makonda mkoani Tanga kwa lazima akawashikisha mkono?
View: https://youtu.be/T3v7MFtVyyg?si=1OsUY6KH90blJfUH .
Kama haya Yote huyajui utakua una uwendawazimu au ulikua Bado shule za kata unakariri periodic table,

Na kama hujui kwamba Makonda aliomba ridhaa kwa Rais Magufufuli kuwashughulikia walosoaji wake. Utakua Bado ulikua una ukoko miguuni au sagamba!

Na kama hujui sababu ya kuvamia clouds ilikua ni bifu kati ya Bishop Gwajima na Albert Bashite kuhusu Binti aliyesadikika kupewa ujauzito na bishop na Bashite aishinikize clouds kupitia kipindi Cha shilawadu waiweke hadharani, utakua ulikua mbwind
 
ACHA UJINGA YAANI WATU NA AKILI ZETU TUKUSIKILIZE WEWE UNAYEONGEA UCHAFU HUMU?
Ndugu vipi? Umelewa ulabu bila shaka, au siyo..?

Kwa sbb kwa jinsi tu unavyopayuka hovyo hovyo kama umbwa Koko, ni wazi kuwa hujatazama video hiyo uone kila kitu yakiwemo maelezo ya utetezi wa Paul Makonda mwenyewe..

Lakini cha ajabu wewe unarusha matusi tu hovyo kama mlevi au mwendawazimu fulani hivi...!
 
[emoji1787]Wachambuzi uchwara mmesha pata kiki tayari.
Mtu wenu huyo (Makonda) hana akili, ni mjinga 100%...

Na kwa sababu ya ujinga wake ametoa sababu ya kushambuliwa ..

Paul Makonda a.k.a Albert Bashite Malyangili anafikiri anajua huku ukweli ukiwa ni hajui lakini hajui kuwa hajui...!!

Ndiyo maana anajilipua tu..
 
Inawezekana kabisa wakati tukio hili linatokea ulikua kijijini na hujaanza kutumia hata simu Janja.

Inawezekana kabisa tukio hili wewe unasimuliwa tu hasithi na kuona picha na hukupata actual experience ya kilichotokea ikiwemo joto la kisiasa la wakati wa mwenda zake!

Nikuulize: unajua kama Makonda alizuia tamasha la Fiesta la Clouds kutokana na bifu Hilo la Ruge, mpaka Magufuli akaingilia kati na kutuhusu tamasha lifanyike,

Unajua kwamba Magufuli aliwapatanisha Ruge na Makonda mkoani Tanga kwa lazima akawashikisha mkono?
View: https://youtu.be/T3v7MFtVyyg?si=1OsUY6KH90blJfUH .
Kama haya Yote huyajui utakua una uwendawazimu au ulikua Bado shule za kata unakariri periodic table,

Na kama hujui kwamba Makonda aliomba ridhaa kwa Rais Magufufuli kuwashughulikia walosoaji wake. Utakua Bado ulikua una ukoko miguuni au sagamba!

Na kama hujui sababu ya kuvamia clouds ilikua ni bifu kati ya Bishop Gwajima na Albert Bashite kuhusu Binti aliyesadikika kupewa ujauzito na bishop na Bashite aishinikize clouds kupitia kipindi Cha shilawadu waiweke hadharani, utakua ulikua mbwind

Timu yake ya mikakati iliyompangia mkakati huu wa kujitetea na kujisafisha ni ya hovyo na ni ya kishamba kweli...

They're very unprofessional...

Huyu kwa Tukio la jaribio la kumuua Tundu Lissu hana la kujitetea. Anatakiwa anyamaze tu na kusubiria fate yake...

Au anachoweza kufanya na kumwendea Tundu Lissu, akiri kosa na kuomba msamaha. Ujanja ujanja wake huu wa kijinga, utamwamgamiza milele...!

Tukio hili la juzi kule Arusha linadhihirisha udhaifu wa wanamikakati wake wa kisiasa kina Zembwela na wenzake...

Aidha yeye mwenyewe anaonesha kuwa hata hana kumbukumbu za matukio yake mabaya ya huko nyumba...

Ipo siku inakuja anaweza kulikana hata jina lake na kujikana mwenyewe...!!
 
Back
Top Bottom