Hakuna wakati hata mmoja kuanzia ukoloni mpaka sasa, Tanganyika na sasa Tanzania ilipojitosheleza kwa umeme.
Kwa sasa na jinsi matumizi yanavyokuwa kwa kasi, na wengi kuhamia mijini na kuona raha ya umeme. Matumizi ya hapo ulipo umeme yameoingezeka maradufu.
Si siri, hakuna awamu iliowekeza katika umeme kuanzia kabla ya Uhuru na mpaka hii leo, zaidi ya awamui hii ya Kikwete. Miradi zaidi ya 20 ya kuzalisha umeme, miradi zaidi ya 50 ya usambazaji wa umeme. Jitihada za makusudi kabisa za kubadili sheria za ufuaji na usambazaji wa umeme, kututoa kutoka mfumo wa kuitegemea Tanesco pekee, umeb uniwa na kutendeka awamu hii.
Kina Mwanakijiji mna yenu mnayoyatafuta lakini ukweli unabaki kuwa ukweli na fumbo hufumbiwa mjinga.