Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,920
Wengine tunaona ulimboka alipata alichostahili kupitia ule mgomo jiran yangu alifarik baada ya kukosa huduma, walimfanyia opereshen ya mfumo wa mkojo akatelekezwa wodin bila ya huduma endelevu mpaka alipofarik.Ahmed Msangi wakati huo akiwa Oysterbay. Jamaa ni Mshenzi Sana huyu kwani alimfanyia unyama Sana Dr. Ulimboka.