UTEUZI: Camilius Wambura ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI)

UTEUZI: Camilius Wambura ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI)

Kuna,uteuzi mwingine unakuja ZPC (ZONAL POLICE COMMENDER ) MA RPC KAENI MGUU SAWA
 
31 May 2021
DCI mpya CP Camilius Wambura anaingia, aliyekuwepo amestaafu ? au amepangiwa kazi nyingine au labda kuwa balozi baadaye n.k

.................................................................

Toka maktaba :

28 Mar 2020
Dodoma, Tanzania

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai DCI Kamishna wa Polisi ROBERT BOAZ





20 May 2021
Dar - es-Salaam, Tanzania



Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro (katikati) akipokea baadhi ya nakala za vitabu vya mwongozo wa kuzuia na kufichua uhalifu katika Kata/Shehia kutoka kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Jamii wa Kampuni ya vinywaji ya Coca Cola, Salum Nassoro, ambapo jumla ya nakala 2000 zilichapishwa na kukabidhiwa kwa Jeshi hilo kupitia ufadhili wa kampuni hiyo ya vinywaji, kushoto anayeshuhudia ni Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai DCI Robert Boaz, hafla hiyo imefanyika leo jijini Dar es salaam. Picha na Jeshi la Polisi

Rais Magufuli amteua mkuu mpya wa jeshi la polisi Tanzania - BBC ...
28 May 2017 — ... Tanzania Dkt. John Magufuli, amemteua kamishina wa polisi Simon Sirro kuwa mkuu wa jeshi la polisi (IGP

24 Feb 2017 — Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) CP Robert Boaz Mikomangwa (kushoto) akila Kiapo cha uadilifu katika utumishi wa umma.

PIX0
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) Robert Boaz Mikomangwa (kushoto) akila Kiapo cha Uadilifu kwa viongozi wa umma mbele ya Kamishna wa Maadili katika Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma. Jaji Mstaafu Mhe. Harold Reginald Nsekela leo jijini Dar es Salaam

https://www.ippmedia.com › news
Top detective rejects Scotland Yard, FBI help in Lissu probe - IPP Media
18 Sept 2017 — Director of Criminal Investigations (DCI) Robert Boaz has ... in the Tanzania Police

Barua ipo incomplete hatujaelezwa DCI aliyekuwepo amekwenda wp!!??
 
Kumbe Drs La 12 Hawapashwi Kupata Uteuzi?
Grade 12 Hastahili uteuzi wa RAS... wanaruhusiwa kwenye udiwani na ubunge. RAs ni CEO wa ofisi ya mkuu wa mkoa kama ilivyo kwa katibu mkuu wa wizara kuwa CEO wa wizara
 
Dr Ulimboka hatamsahau maisha yake yote!

Hawa watu wanapokuwa kwenye nafasi wanajisahau na kusahau utu, kwamba kuna kesho na kesho kutwa! Siyo ajabu siku moja Ulimboka akamnunulia soda!
Kwa Mungu chochote kinawezekana.. Au mwana hata mjukuu wake akaja kuolewa nae..
 
Diwani Athuman alishindwa kuishi katika taaluma yake sijui wanafeli wapi hata kama ni maagizo darasani ulisomea kuagizwa au kujisimamia kwenye eneo lako
 
Mwishowe hili litakuwa kero, kama sio tatizo kabisa!

Inaonyesha huko ndani hawana utulivu bado; sijui itawachukua muda gani waanze kuonekana kufanya mambo kwa uhakika.
Huwa hawafanyi bahati mbaya, ni makusudi ili kukomoa. Hata mimi ningepewa hayo mamlaka ya kuteua na kutengua ningemteua bashite kuwa katibu mkuu kiongozi then masaa machache kabla ya kuapishwa namtengua nachagua mwingine. Kwani sh. Ngapi bana?
 
Tatizo SSH ameruhusu vimemo, baadhi ya majina yanapenyezwa ikija kufanyika proper vetting unakuta mtu hafai hiyo nafasi. SSH anahitaji kuwa mkali akiendelea kulegezea wapiga deal itakula kwake, haiwezekani kila siku kunakuwa na makosa kwenye uteuzi.
Haya ni mapungufu makubwa yanayojirudia mara ya pili, ingekuwa ni mimi ningefagia hicho kitengo cha upekuzi chote waingie wapya ambao wapo makini na wenye uadilifu, wanaharibu legacy ya SSH na ataonekana hana umakini.

Ninashauri awe na timu nyingine ndogo kabisa isiyo rasmi itakayopitia majina ya wateule ambao tayari wameshafanyiwa upekuzi ili kuhakiki zaidi. Uhakiki huu wa kuwahakiki wahakiki ufanywe kabla ya majina kutangazwa rasmi na siyo uhakiki wa wahakiki unafanyika baada ya tukio.

Pia SSH awe na wasifu wa kila mteule wa page moja au nusu page ambayo anaweza kuipitia kwa haraka sana bila kuathiri majukumu yake mengine.
 
Rais Mama SSH yuko makini. The guy"Wambura " is very good and smart katika utendaji wake.
 
Tatizo SSH ameruhusu vimemo, baadhi ya majina yanapenyezwa ikija kufanyika proper vetting unakuta mtu hafai hiyo nafasi. SSH anahitaji kuwa mkali akiendelea kulegezea wapiga deal itakula kwake, haiwezekani kila siku kunakuwa na makosa kwenye uteuzi.
Natamani hii comment mama aione kwenye jalada. Well said
 
Anaharaka gani ya kuteua?
Inaonekana anawaamini sana wanaompelekea majina ya uteuzi. Inatakiwa sasa na yeye awe ana jiridhisha kwanza kwa njia nyingine. Asiendelee kutegemea njia moja tu.

Kuna mijitu haina aibu kabisa kuchomeka majina ya wasiostahili ili wapate teuzi wakati hawana sifa stahiki. Au iñawezekana zikawa ni njama za kumharibia rais wetu ili ionekane hafai.
 
Inaonekana anawaamini sana wanaompelekea majina ya uteuzi. Inatakiwa sasa na yeye awe ana jiridhisha kwanza kwa njia nyingine. Asiendelee kutegemea njia moja tu.

Kuna mijitu haina aibu kabisa kuchomeka majina ya wasiostahili ili wapate teuzi wakati hawana sifa stahiki. Au iñawezekana zikawa ni njama za kumharibia rais wetu ili ionekane hafai.
Kweli unateuaji form 4 kuwa RAS? Sitashangaa siku nikiona Msukuma au Kibajaji ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.
 
Back
Top Bottom