Mkuu nikutoe wasiwasi, humu nishawaambi, matusi kwangu ni maji ya kunywa, kuhusu ulaji mimi hata utawale wewe maisha yangu hayabadiliki. Unadhani kama vetting ipo vizuri hata wiki haija isha unabadili, kuwa rais unaeza kuwa na taarifa nyingi lakini zikawa Wrong, sababu kila mtu anainterest zake.
Unakumbuka ya TPDC hata masaa 12 hatakufika.
Punguza hasira mkuu kama uliumia pole.
Lakini lazima tuwe na wasiwasi kwa nini baadhi ya teuzi mpya zina tenguliwa mda mfupi sana hata madhaifu na ubora wao kwenye nafasi hizo hawajaonesha.