Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Sijajua ila huoni watu wanavyocomment sio freshUnajua waliomba wangapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua ila huoni watu wanavyocomment sio freshUnajua waliomba wangapi?
samia ni mdini.anachokitaka atakipata soon tu!Nimeangalia 90% ya wagombea ni waislam!! Samia anataka kurudisha ile nchi ya enzi za mwembeyanga?
Kumbe huwa inawauma sio? Sasa mbona waislam wanapokuwa wanalalamikia udini huwa mnawashambulia kwa maneno ya kejeli?80% ni waislamu.
Sa100 mdini sana
Ni zamu ya Zanzibar hii, Uko sahihiMwenyekiti UVCCM wote ni Dini moja, anyway.......acha Kazi iendelee
HaipendeziHalafu nafasi ya mwenyekiti uvccm taifa wagombea ni wazanzibari tupu!
Kundi la kifo ni hili la nafasi ya mwenyekiti UWT taifa. Patachimbika hapa.
Hapo ndo utajua kuna upendeleo maalum, mbona kwenye nafasi za ubunge sioni wingi waoNAONA WAISLAMU WAMEPITISHWA WENGI SANA
Chama kimerudi nyumbani....Hamna sukuma gang hata mmoja aisee wamepukutishwa wote
Hivi alikuwaga nani wakati ule? Aliwika sanaKomredi Mary Chatanda hatakaa asahaulike kwenye viunga vya Ufipa hasa kule Arusha. Namtakia kila la heri huyu mama wa shoka. Aliwashughulisha sana CHADEMA.
SureUWT wasifanye makosa Kate Kamba anatosha.
Aliwashughulikia kivipi, nafikiri wewe unachomaanisha ni unyanyasaji dhidi ya Chadema lkn ukumbuke kwamba hakuna aliyewanyanyasa kama dikteta Magufuli lkn leo hayupo na huenda na hata huko aliko naye ananyanyaswa kishenzi na ndio dunia ilivyo hakuna bingwa katika dunia hii.Komredi Mary Chatanda hatakaa asahaulike kwenye viunga vya Ufipa hasa kule Arusha. Namtakia kila la heri huyu mama wa shoka. Aliwashughulisha sana CHADEMA.
ccm majambaz ya kura mapuuz sana na hayo yanayojiita yameteuliwa sijui kugombea uchafu gan
Mama yako?!Mama mdini au
Jamvi la wageni kama wamama wengi wa CCM na jumuiya zake.Mary Chatanda ana ushupa gani zaidi ya kugawa uroda kwa wakubwa na kibaraka? Chatanda ana nini kichwani? Huyu mama ni walewale tu kama akina Sofia Simba Good for nothing!
Arusha aliwafanya nini Chadema zaidi ya backup ya polisi?
Kwa wapigaji na wachuuzi wa rasilimali akina Makamba, Nape & CoChama kimerudi nyumbani....
Sasa hao vijana wa Ufipa ni lini wameanzaa kuaminika?Sijajua ila huoni watu wanavyocomment sio fresh
Hii umekosea hapa haikustahiliAcha wafu wazike wafu wao!
Wewe jinga kweli😂😂😂umeona hamna sukuma gang tu??Mbana hujaona kwamba m/kiti UVCCM ni waislam tu??😂😂Hamna sukuma gang hata mmoja aisee wamepukutishwa wote