UTEUZI CCM JUMUIYA: Chama cha Mapinduzi chateua wagombea nafasi ya Taifa katika Jumuiya zake zote, hawa hapa walioteuliwa

UTEUZI CCM JUMUIYA: Chama cha Mapinduzi chateua wagombea nafasi ya Taifa katika Jumuiya zake zote, hawa hapa walioteuliwa

Komredi Mary Chatanda hatakaa asahaulike kwenye viunga vya Ufipa hasa kule Arusha. Namtakia kila la heri huyu mama wa shoka. Aliwashughulisha sana CHADEMA.
Hivi alikuwaga nani wakati ule? Aliwika sana
 
Komredi Mary Chatanda hatakaa asahaulike kwenye viunga vya Ufipa hasa kule Arusha. Namtakia kila la heri huyu mama wa shoka. Aliwashughulisha sana CHADEMA.
Aliwashughulikia kivipi, nafikiri wewe unachomaanisha ni unyanyasaji dhidi ya Chadema lkn ukumbuke kwamba hakuna aliyewanyanyasa kama dikteta Magufuli lkn leo hayupo na huenda na hata huko aliko naye ananyanyaswa kishenzi na ndio dunia ilivyo hakuna bingwa katika dunia hii.
 
Mary Chatanda ana ushupa gani zaidi ya kugawa uroda kwa wakubwa na kibaraka? Chatanda ana nini kichwani? Huyu mama ni walewale tu kama akina Sofia Simba Good for nothing!

Arusha aliwafanya nini Chadema zaidi ya backup ya polisi?
Jamvi la wageni kama wamama wengi wa CCM na jumuiya zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom