UTEUZI: Jaffar Haniu ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu); amrithi Gerson Msigwa

UTEUZI: Jaffar Haniu ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu); amrithi Gerson Msigwa

Yes Ni Watu hawajui Kwamba Haniu Alikuwaga Mwandishi Wa Hotuba Wa Hayati, akiwa na Akina Bohoela(Sjui Kama nimeandika sahh Hilo Jina) Haniu akapelekwa AMG na Bohoela akapelekwa Mambo Ya Nje Kama Mkuu Wa Mawasiliano Mambo Ya Nje
Palitokea figisu pale Ikulu ikabidi wahamishwe sema Jiwe akawapeleka sehemu nzuri. Ikulu ni sehemu kuna Figisu, Mizengwe na Roho mbaya sana kila mtu anataka awe yeye pale.
 
Sawa sawa kabisa. Kipindi cha Sefue kile na kile kipindi hakika walishibana sana ndio maana ikawa rahisi kumkabidhi media za ccm azisimamie na mpunga ulimwagwa mrefu kweli kweli pale ingekuwa ngumu sana mwendazake kumuweka mtu ambaye hamuamini na hayupo kwenye circle yake! Nina stori yake moja kuhusu kuachana na mkewe huwa inachekesha sana
Hahahaaa ikikupendeza tuwekee chombezo tusome na sie
 
Urais ni taasisi kamili ina vyombo vyake na hata bendera yake.

Serikali nayo ni taasisi yenye vyombo vyake na hata bendera.

Ikulu Kuna bendera 2: ya rais na ya serikali.
Kwa hiyo Rais na serikali ni vitu/ mambo mawili tofauti kabisa?

Bendera ya serikali ikoje na ya Rais ikoje?
 
Nilitegema hili litaibuka kwa watu wasio na hoja.
Tena nafikiri imefika wakati sasa hoja zote zenye udini ziwe zinafutiliwa mbali. Mtu dini yake aibebe moyoni asituletee humu! Akihitaji kuhubiri dini aende zake Kanisani au Msikitini akahubirie waliokwenda kusikiliza wahubiri. HAPA SIYO MSIKITINI NA WALA SI KANISANI!
 
Zile trip za leo Dar, Kesho Zanzibar na keshokutwa Dodoma zimekwisha ..... Maisha ya Msigwa kwa nika 6 yalikuwa ni kulala 5 Star hotel tu!!
Nimekusoma mkuu. Uko sahihi kabisa.
 
Bora Msingwa amefutika rasmi kwenye Ikulu yetu
Hopeless! Ninyi ndio msiopenda watendaji mnawaonea gere. Sasa suala sio kutoweka tu sisi tunataka output basi. Sio huyu kayoweka ooh huyu kaletwa . Tunachotaka vigezo. Kumbe mlikuwa mnamuonea wivue eeh mwenye nyota ana nyota tu hata kama sio Ikulu!
 
Sasa ni zamu za kina Mudi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hopeless! Ninyi ndio msiopenda watendaji mnawaonea gere. Sasa suala sio kutoweka tu sisi tunataka output basi. Sio huyu kayoweka ooh huyu kaletwa . Tunachotaka vigezo. Kumbe mlikuwa mnamuonea wivue eeh mwenye nyota ana nyota tu hata kama sio Ikulu!
Labda nyota ya angani
 
Back
Top Bottom