KabisaNoma sana basi. Mjini shule
Watu wanaserebuka tuu maeneo ya watu[emoji23][emoji28][emoji28][emoji23]Noma sana basi. Mjini shule
ataogeza na nyingine sasa maana kama jamaa mmoja alivyosema fisi kaingia buchaniKabisa
atapitwa na wakati huyoUtasubiri sana signature!
Yaani hapo ndo ujue akili za raia zimefungwa ndani ya boxWatu wanaserebuka tuu maeneo ya watu[emoji23][emoji28][emoji28][emoji23]
Unaukumbuka vizuri mchakato? Probability kubwa ilikuwa imelalia kwa Lowassa, akaja kupozwa na uwaziri mkuu.Mzee Kikwete ilikuwa inatabirika
Sukuma Gang aliyechangamkaMwanasheria mkuu wa serikali aliyeteuliwa si ni sukuma gang mwenzetu au?
Tupa kule team MAGUFULI, ingiza team JM KIKWETE.
January Makamba Waziri wa Nishati?
Lowassa hakuchukua fomu ya urais 2005Unaukumbuka vizuri mchakato? Probability kubwa ilikuwa imelalia kwa Lowassa, akaja kupozwa na uwaziri mkuu.
Acha upuuzi. Inaonekana wewe hata Katiba huijui. Kwani JPM wakati anagombea Urais 2020 na kuendelea kumteua Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea mwenza ambaye anakuwa Makamu wa Rais hukuelewa maana yake?Sasa hapo ndpo tunaanza na tatzo, unafkr tulikuwa tayar kuongozwa na mwanamke?? Na Kama tulikuwa tayar Nan tulimwandaa kuwa?? uRais c bahati nasib mkuu.. unaona Sasa, hata ww unakil hatuko tayar Sasa Ni Lin tulisema tuko tayari??
Mbona anatosha au ulitaka kibatala ndio awe AG!Feleshi kuwa AG nayo ni mambo ya kutia aibu sana ! hivi hakuna wengine ?
Hawezekani wapi wewe, unajua tanesco wanakusanya sh ngapi kwa siku?Kalemani amechomoka kisa siasa chafu. Hapo katolewa kisa issue ya umeme kulipia 27,000/- kwa wateja wa aina zote.
Hiyo ilikuwa unfeasible kabisa hata sisi ma layman tuliliona hilo. Ni issue ambayo haiwezekani.
Hamchoki tu kumuwaza JPM kima nyie ??!,alafu dhalimu baba yako ,,ipo siku na wewe utakufa tu!
Je ninyi hamtakufa? Hivi ninyi waumini wa dhalimu mwendakuzimu, mbona hammfuati huko aliko? Mbona hata leo mnao uhuru huo? Alipokuwa anaagiza watu wapigwe risasi, hakujua kuwa naye siku yake ipo? Asante corona kwa kutuondolea huyo shetwani!Mkuu, sisi sote tutakufa tu.
Hamna hata, Rais anataka laza mpya tuu.[emoji23][emoji23]Kilichomtoa Ndugulile ni nini sasa?
Mbona naona udini vile
Nilikuwa nakuona una akili kumbe ni mshamba kiasi hiki? Acha ukabila na ukandaMaybe the coastal region is regaining back the power! The game of survival of the fittest has started afressh..!
Kule Lameck huku February.. ! Dogo wa Kisimayo na yule Mnyankole bado wanasikilizia ... Maybe tomorrow anything can happen![emoji23]
Pwani wamepiga mbili bila.. Ni bao la kisigino lakini the fight is on! The gang vs the coastal! Piga nikupige... Mwenye kisu kikali ndio mla nyama! Mwenye kisu butu akinoe!
Maybe our mom is gaining grounds! Better be before its too late..! The gang is always sleepless! The struggle is on!
[emoji23]View attachment 1935396